MACHO YA MWANADAMU 2

*π MACHO YA MWANADAMU π* SOMO LA PILI Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 BWANA YESU ASIFIWE π Napenda nikukumbushe kuwa mwanadamu anamacho ambayo yanaweza kumletea matokeo mazuri au mabaya katika maisha yake π Kupitia macho mwanadamu huona ,kisha hutafakari na kufanya maamuzi mazuri au mabaya . π Maamuzi hayo ya mwanadamu yanaweza kumponza siku zote za maisha yake . π Tambua kuwa mtu hawezi kupenda bila kuona au kusikia lakini katika kupenda kwake hutangulia kuona , kisha kutamani na kupenda . π Kwasababu macho ya mwanadamu ni taa ya mwili wake yanaweza yakamkosesha na Mungu . π Macho kwa sababu ya kuona mwanadamu huingia katika majaribu na kutenda dhambi ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» π 22 Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru. Mathayo 6 :22 23 Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo! Mathayo 6 :2...