Machapisho

  USTAWI (PROSPERITY) Mch & Mwl Peter Francis Masanja 0744056901 Mwanzo 26:13 13 Na mtu huyu akawa mkuu, akazidi kusitawi, hata akawa mkuu sana.   Kibiblia maana yake ni Rehobothi Mwanzo 26:22 Akaondoka huko akachimba kisima kingine, wala hicho hawakukigombania. Akakiita jina lake REHOBOTHI, akasema, Kwa kuwa sasa BWANA ametufanyia nafasi, nasi tutazidi katika nchi.   MAANA YA NENO: REHOBOTHI Neno hili   limebeba maana mbili 1. Kufanyiwa au kuwekwa katika   nafasi na BWANA. Zaburi 118:5 Katika shida yangu nalimwita BWANA; BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.     Nafasi ni nini? a). Nafasi ni eneo la umiliki wa kitu. b). Ni eneo la utenda kazi wa kitu au mtu. c). Ni eneo la makazi( Mahali pa kukaa). d). Ni eneo la utawala au mamlaka juu ya jambo Fulani au vitu. e). Nafasi ni kitu kilichobeba sifa zako( kama vile mke, mume, watoto,mahali pa kuabudia, biashara n.k) Usitawi wako upo katika uwezo wa kutendea kazi nafasi ambayo Mungu a

MATENDO MEMA BILA KUOKOKA

*MATENDO MEMA BILA KUOKOKA(WOKOVU) YANA MAANA?* *MATENDO MEMA YANAWEZA KUWA MBADALA WA WOKOVU BILA KUPITIA WOKOVU WA YESU MSALABANI?* Mwl Raphael Mtui(0762 731869)  _Naomba sana usiache kusoma makala hii, na naomba uisome kwa unyenyekevu kabisa_. Tuanze kwanza kwa kusema ukweli huu: HAKUNA MWANADAMU AMBAYE HAKUWAHI KUINGIA KWENYE KITABU CHA DHAMBI NA HUKUMU! HAKUNA MTU HATA MMOJA AMBAYE ETI HAJAWAHI KUHITAJI MSAMAHA WA MUNGU KISA ANA MATENDO MEMA SANA!! HAKUNA MTU AMBAYE ETI HAHITAJI KUTUBU NA KUOKOKA, KISA AMEKUWA MTENDA MEMA SANA. NI YESU PEKE YAKE HAJAWAHI KUHITAJI TOBA NA MSAMAHA WA MUNGU, MAANA YEYE HAKUWAHI KAMWE KUWA MDHAMBI. SIFA HII YA KUTOHITAJI MSAMAHA WA MUNGU KUTOKANA NA UTAKATIFU WAKE, NDIO KIGEZO KILICHOPELEKEA YEYE KUFAA KUWA MWOKOZI WETU, NA DAMU YAKE KUPATA UHALALI WA KUTUFANYIA UPATANISHO KWENYE MADHABAHU YA MUNGU, MAANA HAIKUWA NA HATIA KABISA! WATU WENGINE WOTE KABISA WAMEWAHI KUWA WADHAMBI, *HATA KABLA WAO HAWAJATENDA DHAMBI ZAO WENYEWE!*

KIJANA JITAMBUE

Picha
KUJITAMBUA Somo la Kwanza Mwl Peter Francis Masanja 0679392829 ๐Ÿ–ŠNi muhimu sana kuongea na vijana wenzangu katika kizazi hiki . ๐Ÿ–ŠNeno la Mungu linasema sana mambo mazuri kuhusu vijana . *๐Ÿ”ฐ Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.* 1 Timotheo 4:12 ๐Ÿ–ŠMungu hajamuumba kijana ili ujana wake udharaulike ๐Ÿ–ŠKijana yeyote hajazaliwa ili aaibike katika ujana wake . ๐Ÿ–Š Ni jambo la aibu kijana kushindwa kujitambua .Pale anaposhindwa kujitambua ndipo huja kudharauliwa katika ujana wake . ๐Ÿ–ŠKijana anayejitambua kwanza anatambulishwa na mambo haya mawili ya kwanza 1⃣ USEMI ๐Ÿ–ŠKatika usemi , kijana ambaye anampenda Mungu lazima kinywa chake pia kibadilike ,yaani usemi wake . ๐Ÿ–ŠSiyo kila misemo kijana utaisema kama vile kumwita mkristo mwenzako ๐Ÿ‘‰Oyaaaa ๐Ÿ‘‰Msela vipi ๐Ÿ‘‰ Mchizi wangu vipi ๐Ÿ–ŠHata katika salamu siyo kila salamu zinafaa uziongee mfano ๐Ÿ‘‰ mzuka

MAFANIKIO YA KIUCHUMI

*๐Ÿ”ฐMAFANIKIO YA KIUCHUMI ๐Ÿ”ฐ* SOMO LA PILI Mwl Peter Francis Masanja 0679392829 https://peterfrancismasanja.blogspot.com ๐Ÿ”ฐ 20 Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; Mwanzo 28 :20 21 nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana atakuwa Mungu wangu. Mwanzo 28 :21 22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi. Mwanzo 28 :22 ๐Ÿ–Š Katika somo la kwanza nilifundisha somo la malango yako ya kiuchumi na mambo ya kushughulikia kwenye malango yako . ๐Ÿ–ŠLeo nakukaribisha katika somo hili la pili tujifunze jambo moja kwa ufupi. ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ✍๐Ÿป *MAFANIKIO YA KIUCHUMI NI AGANO* ๐Ÿ–Š Kila aliyefanikiwa kiuchumi alifanya agano kati ya uchumi wake na kile anachokiabudu . ๐Ÿ–Š Inawezekana ikawa kafanya agano na mashetani akapokea masharti fulani ayafuate ili apate

MAFANIKIO YA KIUCHUMI

MAFANIKIO YA KIUCHUMI SOMO LA KWANZA Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 https://peterfrancismasanja.blogspot.com  Ni muhimu sana kujua kuwa juhudi za kutafuta kufanikiwa bila kupatana na Mungu mwanadamu hawezi kufanikiwa.  Waangalie hao waabudu mizimu kabla hawajaenda kufanya chochote huenda kutambika kwa mizimu yao au kuangalia milango yao ya mafanikio kwamba waendako watafanikiwa au hawatafanikiwa.  Wapo watu wananguvu sana hapa duniani wanachimba mitaro ili wapate hela ya kuwasaidia kupata chakula chao cha kila siku na siyo kuwafanya waanzishe kitu chao.  Lakini pia wapo walioanzisha kitu chao na bado kile kinawapa chakula tu na siyo kuwapa kitu cha ziada kitakachowasaidia kujitanua zaidi kiuchumi.  Hali hii ikionekana kwa watu kama hawa huwa ni vigumu sana kutoka kwenye umaskini.Maana mtu yeyote ambaye anapata cha kula tu na hana ziada kufanikiwa kwake huwa ni ngumu bali hubaki mtumwa.  Mungu ameweka utaratibu katika maalumu ili aweze kukufanikisha

MAOMBI YA KIBALI

*๐Ÿ”ฐ MAOMBI YA KIBALI ๐Ÿ› * ๐Ÿ–ŠSOMO LA PILI๐Ÿ–Š Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 http://peterfrancismasanja.blogspot.com ๐Ÿ”ฐ Lakini Bwana akawa pamoja na Yusufu, akamfadhili, akampa kibali machoni pa mkuu wa gereza. Mwanzo 39:21 ๐Ÿ–ŠKati ya vitu vya muhimu katika maisha ya wokovu ni pamoja na kuomba Mungu akupe kibali . ๐Ÿ–ŠUnaweza ukasota miaka mingi sana huendelei kama kaini na kubaki unajaa wivu na kinyongo kwa watu wanaofanikiwa kumbe hujamwomba Mungu akupe kibali . ๐Ÿ–Š Maisha ya mtu ya kuweza kufanya vitu vikubwa yamebebwa na kibali . ๐Ÿ–Š Ukitaka kuanzisha biashara lazima uwe na leseni ya biashara . ๐Ÿ–Š Ukitaka kuwa dereva anayetambulika na anayeweza kuomba kazi ya udereva lazima uwe na leseni .Hiyo leseni ndiyo kibali cha kupata hiyo kazi . ๐Ÿ–Š Katika mambo yako yote tambua kuwa chochote utakacho kukifanya kina uhusiano na maisha yako ya kiroho. ๐Ÿ–Š Wafalme hawakuweza kwenda vitani bila kuomba kibali toka kwa Mungu. ๐Ÿ”ฐ Daudi akamwuliza Mungu, kusema, J