Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2019

MAOMBI YA KIBALI

πŸ–Š *MAOMBI YA KIBALI* πŸ–Š SOMO LA KWANZA Mwl Peter Francis Masanja 0679392829 http://peterfrancismasanja.blogspot.com πŸ”° 1 Lakini sasa, Bwana aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu. Isaya 43 :1 2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza. Isaya 43 :2 3 Maana mimi ni Bwana, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako. Isaya 43 :3 4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako. Isaya 43 :4 πŸ–Š Mungu hajakuumba kwa bahati mbaya bali anampango mzuri kabisa juu yako . πŸ–Š  Lakini ili yale aliyoyapanga kwako yatimie unahitaji ujitambue . πŸ–Š Umehangaika miaka na m

USINIHUKUMU

Picha
*πŸ”° USINIHUKUMU WEWE SIYO MUNGU MPAKA UTOE HUKUMU 😑* Morning Glory 10 April 2019 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 πŸ”° 1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Mathayo 7 :1 πŸ–ŠUsitumie hili andiko kukataa maonyo kwamba ukiambiwa usipotubu hiyo dhambi itakupeleka motoni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ πŸ–Š Sikiliza nikwambie wewe usemaye kuonywa ni kuhukumiwa . πŸ–Š Katika pitapita zangu za kuonya na kushauri watu huenda nilikusikia ukiambiwa tubu dhambi hiyo uliyoikumbatia la sivyo itakuua yaani itakupeleka jehanamu .πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ πŸ–ŠLakini wewe ukamwambia anayekwambia tubu ukisema 🎀tena kwa herufi kubwa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡  *USINIHUKUMU WEWE SIYO MUNGU MPAKA UTOE HUKUMU KWANGU* πŸ–Š Ole wako , Ole wako , Ole wako πŸ—£πŸ—£πŸ—£ πŸ–Š Upo kanisani na unasema umeokoka huku unakataa maonyo ya watu ambao Mungu kawatuma ili wakuonyeshe njia sahihi ya kuiendea ili usiende jehanamu πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ πŸ–Š BWANA amenituma akisema πŸ—£πŸ—£πŸ—£πŸ—£ πŸ”° 1 Siku hizo Hezekia akaugua, akawa katika hatari ya kufa. Isaya, nabii