MAOMBI YA KIBALI
🖊 *MAOMBI YA KIBALI* 🖊
SOMO LA KWANZA
Mwl Peter Francis Masanja
0679392829
http://peterfrancismasanja.blogspot.com
🔰 1 Lakini sasa, Bwana aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.
Isaya 43 :1
2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
Isaya 43 :2
3 Maana mimi ni Bwana, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.
Isaya 43 :3
4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako.
Isaya 43 :4
🖊 Mungu hajakuumba kwa bahati mbaya bali anampango mzuri kabisa juu yako .
🖊 Lakini ili yale aliyoyapanga kwako yatimie unahitaji ujitambue .
🖊 Umehangaika miaka na miaka hupati au hufanikiwi kabisaa
🖊 Unajuhudi katika kazi za mikono yako lakini hujamtambua Mungu amekuandalia kitu gani kwaajili ya maisha yako .
🖊 Somo la mafanikio wengi hulihubiri vibaya saaana .
🖊 Ili ufanikiwe unahitaji kupatana na Mungu kwanza .
🖊 Ili ufanikiwe unahitaji uwe mnyenyekevu kwa Mungu .
🖊 Huwezi kumwomba Mungu akupe kitu kama huna uhusiano naye mzuri .
🖊 Mungu akiwa na uhusiano na wewe vizuri atasema na wewe moja kwa moja kuhusu uchumi wako na siyo kuitwa na mtumishi ukaombewe upate gari .
🖊 Jambo la kuzingatia sana ni kwamba Mungu ukiwa na uhusiano naye vizuri anakufanya rafiki yake .
🖊 Katika maombi ya leo unachotakiwa kuomba ni kibali na siyo kazi wala mali .
🖊 Mali ni matokeo ya kibali unachopewa na Mungu .
🖊 Kama Mungu hajakupa kibali cha kumiliki mali utahangaika sana .
🖊 Mungu akikupa kibali anakufanya ukubalike mbele za watu wamchao na wasiomcha yeye .
🖊 Unapokuwa na kibali atakupa uimara mzuri sana .
🖊 Ninapokwambia omba kibali cha kumiliki na kutawala ninamaana kubwa saana .
🖊 Ili Mungu atoe watu kwaajili yako ujue ametoa kibali kwako .
🖊 Kama hajatoa kibali utapatana na watu wa kukufilisi kila siku .
🖊 Omba kibali kwenye biashara yako na ndoa yako .
🖊 Unapokuwa umeomba kibali ujue mpaka amekupa kibali ameona uhusiano wako na yeye umekuwa mzuri .
🖊 Amesema atatoa watu kwaajili yako .
🔰 Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao.
Isaya 60:11
🖊 Anapotaka kukufanikisha huanza kuangalia uhusiano wako na yeye .
🖊 Kibali ni cha muhimu sana kuliko kazi uombayo .
🖊 Unapokuwa na kibali Mungu atakukutanisha na watu sahihi na kazi sahihi
🖊 Unapokuwa na kibali vitu vingine utaletewa na vingine utaitiwa .
🖊 Unapokuwa na kibali utaanzisha kitu kitafanikiwa.
🖊 Mruhusu Mungu atawale maisha yako.
Mungu akubariki saana
SOMO LA KWANZA
Mwl Peter Francis Masanja
0679392829
http://peterfrancismasanja.blogspot.com
🔰 1 Lakini sasa, Bwana aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.
Isaya 43 :1
2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
Isaya 43 :2
3 Maana mimi ni Bwana, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.
Isaya 43 :3
4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako.
Isaya 43 :4
🖊 Mungu hajakuumba kwa bahati mbaya bali anampango mzuri kabisa juu yako .
🖊 Lakini ili yale aliyoyapanga kwako yatimie unahitaji ujitambue .
🖊 Umehangaika miaka na miaka hupati au hufanikiwi kabisaa
🖊 Unajuhudi katika kazi za mikono yako lakini hujamtambua Mungu amekuandalia kitu gani kwaajili ya maisha yako .
🖊 Somo la mafanikio wengi hulihubiri vibaya saaana .
🖊 Ili ufanikiwe unahitaji kupatana na Mungu kwanza .
🖊 Ili ufanikiwe unahitaji uwe mnyenyekevu kwa Mungu .
🖊 Huwezi kumwomba Mungu akupe kitu kama huna uhusiano naye mzuri .
🖊 Mungu akiwa na uhusiano na wewe vizuri atasema na wewe moja kwa moja kuhusu uchumi wako na siyo kuitwa na mtumishi ukaombewe upate gari .
🖊 Jambo la kuzingatia sana ni kwamba Mungu ukiwa na uhusiano naye vizuri anakufanya rafiki yake .
🖊 Katika maombi ya leo unachotakiwa kuomba ni kibali na siyo kazi wala mali .
🖊 Mali ni matokeo ya kibali unachopewa na Mungu .
🖊 Kama Mungu hajakupa kibali cha kumiliki mali utahangaika sana .
🖊 Mungu akikupa kibali anakufanya ukubalike mbele za watu wamchao na wasiomcha yeye .
🖊 Unapokuwa na kibali atakupa uimara mzuri sana .
🖊 Ninapokwambia omba kibali cha kumiliki na kutawala ninamaana kubwa saana .
🖊 Ili Mungu atoe watu kwaajili yako ujue ametoa kibali kwako .
🖊 Kama hajatoa kibali utapatana na watu wa kukufilisi kila siku .
🖊 Omba kibali kwenye biashara yako na ndoa yako .
🖊 Unapokuwa umeomba kibali ujue mpaka amekupa kibali ameona uhusiano wako na yeye umekuwa mzuri .
🖊 Amesema atatoa watu kwaajili yako .
🔰 Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao.
Isaya 60:11
🖊 Anapotaka kukufanikisha huanza kuangalia uhusiano wako na yeye .
🖊 Kibali ni cha muhimu sana kuliko kazi uombayo .
🖊 Unapokuwa na kibali Mungu atakukutanisha na watu sahihi na kazi sahihi
🖊 Unapokuwa na kibali vitu vingine utaletewa na vingine utaitiwa .
🖊 Unapokuwa na kibali utaanzisha kitu kitafanikiwa.
🖊 Mruhusu Mungu atawale maisha yako.
Mungu akubariki saana
Nimebarikiwa sana na ujumbe huu Mungu akubariki
JibuFuta