DARASA LA MAOMBI*
π Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 π *DARASA LA MAOMBI* ππ β Kunawakati maombi yako yanakuwa yanaudhaifu fulani na kushindwa kufikia viwango ambavyo Mungu anavikusudia kwako . π Tambua kwamba kila aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake amefanyika hivi ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» π. 12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa *kufanyika watoto wa Mungu* , ndio wale waliaminio jina lake; Yohana 1:12 π Umefanyika kuwa mwana wa Mungu . β Baada ya kufanyika kuwa mtoto wa Mungu ukapewa uwezo yaani nguvu zitakazokusaidia kupigana . π Mungu amekuona wa maana saana kwahiyo alikupa nguvu za kiroho kwasababu adui Yaani shetani anafanya vita na wote wanaomwamini Yesu Kristo kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao . π Ndyo maana neno linasema ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» π 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pep...