Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2018

DARASA LA MAOMBI*

🖊 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 📖 *DARASA LA MAOMBI* 📖🖊 ✍ Kunawakati maombi yako yanakuwa yanaudhaifu fulani na kushindwa kufikia viwango ambavyo Mungu anavikusudia kwako . 🖊 Tambua kwamba kila aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake amefanyika hivi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 📖. 12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa *kufanyika watoto wa Mungu* , ndio wale waliaminio jina lake; Yohana 1:12 🖊 Umefanyika kuwa mwana wa Mungu . ✍ Baada ya kufanyika kuwa mtoto wa Mungu ukapewa uwezo yaani nguvu zitakazokusaidia kupigana . 🖊 Mungu amekuona wa maana saana kwahiyo alikupa nguvu za kiroho kwasababu adui Yaani shetani anafanya vita na wote wanaomwamini Yesu Kristo kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao . 🖊 Ndyo maana neno linasema 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 📖 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pep

VIGEZO VYA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU

*✝ VIGEZO VYA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU ✝* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 💻 Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi. 1 Timotheo 4:12 🖊 Ili kijana Mkristo awe kielelezo lazima aishi kwa kufuata yafuataya 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 ✍ Usemi wake uwe mzuri Asiwe na majibu ya kiburi kwa watu wote .Ajue jinsi ya kumjibu kila mtu kwa hekima , busara ,na upole . 💻 Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu. Wakolosai 4:6 ✍ Mwenendo au tabia yake na matendo yake yampendeze Mungu . Usemi wake na mwenendo wake viambatane .Kama anakemea zinaa huku mwenyewe anaishi maisha hayo kwa siri atakosa kielelezo kwa Mungu . ✍ Aishi maisha kuwapenda watu wote .Upendo ni amri kuu ya Mungu . ✍ Ailinde imani yake .Yaani aisimamie imani yake adumu katika maombi asije akaanguka. 💻 Kesheni

UHUSIANO ULIOPO KATI YA TOBA NA UTAKATIFU NA SADAKA AITOAYO MTU 💒*

 UHUSIANO ULIOPO KATI YA TOBA NA UTAKATIFU NA SADAKA AITOAYO MTU 💒* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 Bwana Yesu asifiwe ✍  Jana tuliangalia maana ya toba na utakatifu . ✍ Leo naomba tuangalie uhusiano kati ya toba ,utakatifu na Sadaka . ✍ Nikukumbushe tu kwamba Mungu ili aweze kuikubali sadaka yako lazima uwe msafi . ✍ Usafi huu ninaousefa ni usafi wa mwili na roho yaani Utakatifu . 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 💻 11 Huu wingi wa sadaka zenu mnazonitolea una faida gani? Asema Bwana. Nimejaa mafuta ya kafara za kondoo waume, na mafuta ya wanyama walionona; nami siifurahii damu ya ng'ombe wala ya wana-kondoo wala ya mbuzi waume. Isaya 1:11 12 Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi mwenu, kuzikanyaga nyua zangu? Isaya 1:12 13 Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada. Isaya 1:13  💻 16 Jiosheni, jitakaseni