Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2018

DARASA LA MAOMBI*

πŸ–Š Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 πŸ“– *DARASA LA MAOMBI* πŸ“–πŸ–Š ✍ Kunawakati maombi yako yanakuwa yanaudhaifu fulani na kushindwa kufikia viwango ambavyo Mungu anavikusudia kwako . πŸ–Š Tambua kwamba kila aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake amefanyika hivi πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ» πŸ“–. 12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa *kufanyika watoto wa Mungu* , ndio wale waliaminio jina lake; Yohana 1:12 πŸ–Š Umefanyika kuwa mwana wa Mungu . ✍ Baada ya kufanyika kuwa mtoto wa Mungu ukapewa uwezo yaani nguvu zitakazokusaidia kupigana . πŸ–Š Mungu amekuona wa maana saana kwahiyo alikupa nguvu za kiroho kwasababu adui Yaani shetani anafanya vita na wote wanaomwamini Yesu Kristo kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao . πŸ–Š Ndyo maana neno linasema πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ» πŸ“– 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pep...

VIGEZO VYA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU

*✝ VIGEZO VYA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU ✝* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 πŸ’» Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi. 1 Timotheo 4:12 πŸ–Š Ili kijana Mkristo awe kielelezo lazima aishi kwa kufuata yafuataya πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ» ✍ Usemi wake uwe mzuri Asiwe na majibu ya kiburi kwa watu wote .Ajue jinsi ya kumjibu kila mtu kwa hekima , busara ,na upole . πŸ’» Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu. Wakolosai 4:6 ✍ Mwenendo au tabia yake na matendo yake yampendeze Mungu . Usemi wake na mwenendo wake viambatane .Kama anakemea zinaa huku mwenyewe anaishi maisha hayo kwa siri atakosa kielelezo kwa Mungu . ✍ Aishi maisha kuwapenda watu wote .Upendo ni amri kuu ya Mungu . ✍ Ailinde imani yake .Yaani aisimamie imani yake adumu katika maombi asije akaanguka. πŸ’» Kesheni...

UHUSIANO ULIOPO KATI YA TOBA NA UTAKATIFU NA SADAKA AITOAYO MTU πŸ’’*

 UHUSIANO ULIOPO KATI YA TOBA NA UTAKATIFU NA SADAKA AITOAYO MTU πŸ’’* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 Bwana Yesu asifiwe ✍  Jana tuliangalia maana ya toba na utakatifu . ✍ Leo naomba tuangalie uhusiano kati ya toba ,utakatifu na Sadaka . ✍ Nikukumbushe tu kwamba Mungu ili aweze kuikubali sadaka yako lazima uwe msafi . ✍ Usafi huu ninaousefa ni usafi wa mwili na roho yaani Utakatifu . πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ» πŸ’» 11 Huu wingi wa sadaka zenu mnazonitolea una faida gani? Asema Bwana. Nimejaa mafuta ya kafara za kondoo waume, na mafuta ya wanyama walionona; nami siifurahii damu ya ng'ombe wala ya wana-kondoo wala ya mbuzi waume. Isaya 1:11 12 Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi mwenu, kuzikanyaga nyua zangu? Isaya 1:12 13 Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada. Isaya 1:13  πŸ’» 16 Jiosheni, ...