VIGEZO VYA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU
*✝ VIGEZO VYA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU ✝*
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
π» Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.
1 Timotheo 4:12
π Ili kijana Mkristo awe kielelezo lazima aishi kwa kufuata yafuataya
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
✍ Usemi wake uwe mzuri
Asiwe na majibu ya kiburi kwa watu wote .Ajue jinsi ya kumjibu kila mtu kwa hekima , busara ,na upole .
π» Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.
Wakolosai 4:6
✍ Mwenendo au tabia yake na matendo yake yampendeze Mungu .
Usemi wake na mwenendo wake viambatane .Kama anakemea zinaa huku mwenyewe anaishi maisha hayo kwa siri atakosa kielelezo kwa Mungu .
✍ Aishi maisha kuwapenda watu wote .Upendo ni amri kuu ya Mungu .
✍ Ailinde imani yake .Yaani aisimamie imani yake adumu katika maombi asije akaanguka.
π» Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni kiume, mkawe hodari.
1 Wakorintho 16:13
Kijana asimame imara asiyumbishwe na adui .
✍ Azingatie usafi ( Utakatifu ) wa mwili na roho
Zaburi 119:9
1 Wakorintho 7:32, 34
Mungu akubariki sana
πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
π» Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.
1 Timotheo 4:12
π Ili kijana Mkristo awe kielelezo lazima aishi kwa kufuata yafuataya
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
✍ Usemi wake uwe mzuri
Asiwe na majibu ya kiburi kwa watu wote .Ajue jinsi ya kumjibu kila mtu kwa hekima , busara ,na upole .
π» Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.
Wakolosai 4:6
✍ Mwenendo au tabia yake na matendo yake yampendeze Mungu .
Usemi wake na mwenendo wake viambatane .Kama anakemea zinaa huku mwenyewe anaishi maisha hayo kwa siri atakosa kielelezo kwa Mungu .
✍ Aishi maisha kuwapenda watu wote .Upendo ni amri kuu ya Mungu .
✍ Ailinde imani yake .Yaani aisimamie imani yake adumu katika maombi asije akaanguka.
π» Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni kiume, mkawe hodari.
1 Wakorintho 16:13
Kijana asimame imara asiyumbishwe na adui .
✍ Azingatie usafi ( Utakatifu ) wa mwili na roho
Zaburi 119:9
1 Wakorintho 7:32, 34
Mungu akubariki sana
πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂πΆπ»♂
Maoni
Chapisha Maoni