UHUSIANO ULIOPO KATI YA TOBA NA UTAKATIFU NA SADAKA AITOAYO MTU 💒*
UHUSIANO ULIOPO KATI YA TOBA NA UTAKATIFU NA SADAKA AITOAYO MTU 💒*
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
Bwana Yesu asifiwe
✍ Jana tuliangalia maana ya toba na utakatifu .
✍ Leo naomba tuangalie uhusiano kati ya toba ,utakatifu na Sadaka .
✍ Nikukumbushe tu kwamba Mungu ili aweze kuikubali sadaka yako lazima uwe msafi .
✍ Usafi huu ninaousefa ni usafi wa mwili na roho yaani Utakatifu .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
💻 11 Huu wingi wa sadaka zenu mnazonitolea una faida gani? Asema Bwana. Nimejaa mafuta ya kafara za kondoo waume, na mafuta ya wanyama walionona; nami siifurahii damu ya ng'ombe wala ya wana-kondoo wala ya mbuzi waume.
Isaya 1:11
12 Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi mwenu, kuzikanyaga nyua zangu?
Isaya 1:12
13 Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada.
Isaya 1:13
💻 16 Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya;
Isaya 1:16
17 jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Isaya 1:17
18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Isaya 1:18
19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;
Isaya 1:19
💻 8 Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.
Mithali 15:8
9 Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana; Bali humpenda mtu afuatiaye wema.
Mithali 15:9
💻 20 Yafaa nini niletewe ubani kutoka Sheba, na uudi kutoka nchi iliyo mbali? Sadaka zenu za kuteketezwa hazikubaliwi, wala dhabihu zenu haziniridhii.
Yeremia 6:20
💻 22 Naam, ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, sitazikubali; wala sitaziangalia sadaka zenu za amani, na za wanyama walionona.
Amosi 5:22
✍ Toba na Utakatifu ni njia pekee inayomfanya Mungu aikubali sadaka yako .
✍ Unaweza ukawa unanung'unika kwanini unatoa sana lakini hubarikiwi .
✍ Chunguza vizuri uhusiano wako na Mungu .
✍ Kaa ujihoji , hivi maisha ninayoishi ni ya kumpendeza Mungu ❓
✍ Kama maisha yako hayampendezi Mungu hawezi kupendezwa na sadaka yako pia .
✍ Lazima uishi maisha ya kiroho ya viwango ambavyo Mungu anataka uishi .
✍ Uishi maisha ya toba na Utakatifu yaani ni kuachana na kutenda maovu .
✍ Lazima ukikubali kumpendeza Mungu ukubali gharama ya kupunguza marafiki wanaokuvutia kwenye uovu .
✍ Hii itamfanya Mungu akupende na ataikubali sadaka yako .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
💻 1 Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.
Zaburi 20:1
2 Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.
Zaburi 20:2
3 *Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.*
Zaburi 20:3
✍ Ili Mungu apendezwe na sadaka yako tafta kwanza apendezwe na wewe .
✍ Akipendezwa na wewe ataikubali sadaka yako .
✍ Je , atapendezwaje na wewe bila kudumu katika kuishi maisha ya toba na Utakatifu ❓
🖊 Hawezi kupendezwa na mtu asiyetaka kutubu yaani kutubia dhambi zake .
✍ Kuna wakati watu hukiri matari huu wakiwa wanasali
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
💻 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
Mathayo 6:12
🖊 Huu mstari wengi huusema kimazoea tu lakini hawajasamehe kabisa .
✍ Kutokusamehe ni uchafu mbele za Mungu yaani huondoa Utakatifu .
🖊 Usitoe sadaka kama hujasamehe maana haitakubaliwa na Mungu wako kabisa .
💻 iache sadaka yako mbele ya madhabahu, uende zako, upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe sadaka yako.
Mathayo 5:24
🖊 Maisha ya toba na Utakatifu ni maisha ya kuwa na amani na watu wote .
🖊 Kupatana na mliyekoseana ni kanuni ambayo Mungu anaiangalia ili aikubali sadaka ya mtu aitoaye .
✍ Kuna mengi sana ya kuandika lakini naomba niishie hapa kwa leo .
✍ Kumbuka toba na Utakatifu ndyo inamfanya Mungu aikubali sadaka yako .
Mungu akubariki sana ,nakutakia tafakari njema .
💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
Bwana Yesu asifiwe
✍ Jana tuliangalia maana ya toba na utakatifu .
✍ Leo naomba tuangalie uhusiano kati ya toba ,utakatifu na Sadaka .
✍ Nikukumbushe tu kwamba Mungu ili aweze kuikubali sadaka yako lazima uwe msafi .
✍ Usafi huu ninaousefa ni usafi wa mwili na roho yaani Utakatifu .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
💻 11 Huu wingi wa sadaka zenu mnazonitolea una faida gani? Asema Bwana. Nimejaa mafuta ya kafara za kondoo waume, na mafuta ya wanyama walionona; nami siifurahii damu ya ng'ombe wala ya wana-kondoo wala ya mbuzi waume.
Isaya 1:11
12 Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi mwenu, kuzikanyaga nyua zangu?
Isaya 1:12
13 Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada.
Isaya 1:13
💻 16 Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya;
Isaya 1:16
17 jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Isaya 1:17
18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Isaya 1:18
19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;
Isaya 1:19
💻 8 Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.
Mithali 15:8
9 Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana; Bali humpenda mtu afuatiaye wema.
Mithali 15:9
💻 20 Yafaa nini niletewe ubani kutoka Sheba, na uudi kutoka nchi iliyo mbali? Sadaka zenu za kuteketezwa hazikubaliwi, wala dhabihu zenu haziniridhii.
Yeremia 6:20
💻 22 Naam, ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, sitazikubali; wala sitaziangalia sadaka zenu za amani, na za wanyama walionona.
Amosi 5:22
✍ Toba na Utakatifu ni njia pekee inayomfanya Mungu aikubali sadaka yako .
✍ Unaweza ukawa unanung'unika kwanini unatoa sana lakini hubarikiwi .
✍ Chunguza vizuri uhusiano wako na Mungu .
✍ Kaa ujihoji , hivi maisha ninayoishi ni ya kumpendeza Mungu ❓
✍ Kama maisha yako hayampendezi Mungu hawezi kupendezwa na sadaka yako pia .
✍ Lazima uishi maisha ya kiroho ya viwango ambavyo Mungu anataka uishi .
✍ Uishi maisha ya toba na Utakatifu yaani ni kuachana na kutenda maovu .
✍ Lazima ukikubali kumpendeza Mungu ukubali gharama ya kupunguza marafiki wanaokuvutia kwenye uovu .
✍ Hii itamfanya Mungu akupende na ataikubali sadaka yako .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
💻 1 Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.
Zaburi 20:1
2 Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.
Zaburi 20:2
3 *Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.*
Zaburi 20:3
✍ Ili Mungu apendezwe na sadaka yako tafta kwanza apendezwe na wewe .
✍ Akipendezwa na wewe ataikubali sadaka yako .
✍ Je , atapendezwaje na wewe bila kudumu katika kuishi maisha ya toba na Utakatifu ❓
🖊 Hawezi kupendezwa na mtu asiyetaka kutubu yaani kutubia dhambi zake .
✍ Kuna wakati watu hukiri matari huu wakiwa wanasali
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
💻 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
Mathayo 6:12
🖊 Huu mstari wengi huusema kimazoea tu lakini hawajasamehe kabisa .
✍ Kutokusamehe ni uchafu mbele za Mungu yaani huondoa Utakatifu .
🖊 Usitoe sadaka kama hujasamehe maana haitakubaliwa na Mungu wako kabisa .
💻 iache sadaka yako mbele ya madhabahu, uende zako, upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe sadaka yako.
Mathayo 5:24
🖊 Maisha ya toba na Utakatifu ni maisha ya kuwa na amani na watu wote .
🖊 Kupatana na mliyekoseana ni kanuni ambayo Mungu anaiangalia ili aikubali sadaka ya mtu aitoaye .
✍ Kuna mengi sana ya kuandika lakini naomba niishie hapa kwa leo .
✍ Kumbuka toba na Utakatifu ndyo inamfanya Mungu aikubali sadaka yako .
Mungu akubariki sana ,nakutakia tafakari njema .
💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒
Kama mtu amemkosea nabii anafaa atoe sadaka au dhabihu kiasi gani?
JibuFuta