DARASA LA MAOMBI*
🖊 Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
📖 *DARASA LA MAOMBI* 📖🖊
✍ Kunawakati maombi yako yanakuwa yanaudhaifu fulani na kushindwa kufikia viwango ambavyo Mungu anavikusudia kwako .
🖊 Tambua kwamba kila aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake amefanyika hivi
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖. 12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa *kufanyika watoto wa Mungu* , ndio wale waliaminio jina lake;
Yohana 1:12
🖊 Umefanyika kuwa mwana wa Mungu .
✍ Baada ya kufanyika kuwa mtoto wa Mungu ukapewa uwezo yaani nguvu zitakazokusaidia kupigana .
🖊 Mungu amekuona wa maana saana kwahiyo alikupa nguvu za kiroho kwasababu adui
Yaani shetani anafanya vita na wote wanaomwamini Yesu Kristo kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao .
🖊 Ndyo maana neno linasema
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Waefeso 6:12
✍ Maana yake adui anapambana nasi kiroho .
✍ Mungu hajaishia hapo tu pia alikupa silaha ,yaani neno lake
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
Waefeso 6:11
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.
Waefeso 6:13
17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
Waefeso 6:17
✍ Pia akasema kwamba
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 29 Je! Neno langu si kama moto? Asema Bwana; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?
Yeremia 23:29
✍ Siyo tu ni kama moto pia neno la Mungu ni nyundo ivunjayo vipandevipande.
✍ Hajaishia pale akaendelea kusema kwamba yeye ni mkombozi wako na kiongozi wako pia .
Soma hapa
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48:17
✍ Sasa huyu Mungu anataka toba kwanza kabla ya kuingia vitani .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 16 Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya;
Isaya 1:16
17 jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Isaya 1:17
18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Isaya 1:18
19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;
Isaya 1:19
✍ Baada ya toba anataka uite nguvu ya Roho wake Mtakatifu
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 26 Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.
Warumi 8:26
✍ Pia anataka ujifunike kwa damu ya Yesu wewe na kila kitu ulichonacho .
Achilia damu ya Yesu kwenye eneo unapofanyia maombi .
✍ Pia Mungu anataka uamini kuwa anaweza kufanya jambo kwako .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 37 kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
Luka 1:37
✍ Kisha imekupasa uombe chochote utakacho Mungu atakupa / kujibu
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 14 Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
Yohana 14:14
Mungu akubariki saana
Nakutakia tafakari njema
0679392829
📖 *DARASA LA MAOMBI* 📖🖊
✍ Kunawakati maombi yako yanakuwa yanaudhaifu fulani na kushindwa kufikia viwango ambavyo Mungu anavikusudia kwako .
🖊 Tambua kwamba kila aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake amefanyika hivi
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖. 12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa *kufanyika watoto wa Mungu* , ndio wale waliaminio jina lake;
Yohana 1:12
🖊 Umefanyika kuwa mwana wa Mungu .
✍ Baada ya kufanyika kuwa mtoto wa Mungu ukapewa uwezo yaani nguvu zitakazokusaidia kupigana .
🖊 Mungu amekuona wa maana saana kwahiyo alikupa nguvu za kiroho kwasababu adui
Yaani shetani anafanya vita na wote wanaomwamini Yesu Kristo kuwa BWANA na mwokozi wa maisha yao .
🖊 Ndyo maana neno linasema
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Waefeso 6:12
✍ Maana yake adui anapambana nasi kiroho .
✍ Mungu hajaishia hapo tu pia alikupa silaha ,yaani neno lake
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
Waefeso 6:11
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.
Waefeso 6:13
17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
Waefeso 6:17
✍ Pia akasema kwamba
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 29 Je! Neno langu si kama moto? Asema Bwana; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?
Yeremia 23:29
✍ Siyo tu ni kama moto pia neno la Mungu ni nyundo ivunjayo vipandevipande.
✍ Hajaishia pale akaendelea kusema kwamba yeye ni mkombozi wako na kiongozi wako pia .
Soma hapa
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48:17
✍ Sasa huyu Mungu anataka toba kwanza kabla ya kuingia vitani .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 16 Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya;
Isaya 1:16
17 jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Isaya 1:17
18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Isaya 1:18
19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;
Isaya 1:19
✍ Baada ya toba anataka uite nguvu ya Roho wake Mtakatifu
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 26 Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.
Warumi 8:26
✍ Pia anataka ujifunike kwa damu ya Yesu wewe na kila kitu ulichonacho .
Achilia damu ya Yesu kwenye eneo unapofanyia maombi .
✍ Pia Mungu anataka uamini kuwa anaweza kufanya jambo kwako .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 37 kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
Luka 1:37
✍ Kisha imekupasa uombe chochote utakacho Mungu atakupa / kujibu
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
📖 14 Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
Yohana 14:14
Mungu akubariki saana
Nakutakia tafakari njema
Maoni
Chapisha Maoni