Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2019

MAFANIKIO YA KIUCHUMI

*πŸ”°MAFANIKIO YA KIUCHUMI πŸ”°* SOMO LA PILI Mwl Peter Francis Masanja 0679392829 https://peterfrancismasanja.blogspot.com πŸ”° 20 Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; Mwanzo 28 :20 21 nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana atakuwa Mungu wangu. Mwanzo 28 :21 22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi. Mwanzo 28 :22 πŸ–Š Katika somo la kwanza nilifundisha somo la malango yako ya kiuchumi na mambo ya kushughulikia kwenye malango yako . πŸ–ŠLeo nakukaribisha katika somo hili la pili tujifunze jambo moja kwa ufupi. πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ ✍🏻 *MAFANIKIO YA KIUCHUMI NI AGANO* πŸ–Š Kila aliyefanikiwa kiuchumi alifanya agano kati ya uchumi wake na kile anachokiabudu . πŸ–Š Inawezekana ikawa kafanya agano na mashetani akapokea masharti fulani ayafuate ili apate

MAFANIKIO YA KIUCHUMI

MAFANIKIO YA KIUCHUMI SOMO LA KWANZA Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 https://peterfrancismasanja.blogspot.com  Ni muhimu sana kujua kuwa juhudi za kutafuta kufanikiwa bila kupatana na Mungu mwanadamu hawezi kufanikiwa.  Waangalie hao waabudu mizimu kabla hawajaenda kufanya chochote huenda kutambika kwa mizimu yao au kuangalia milango yao ya mafanikio kwamba waendako watafanikiwa au hawatafanikiwa.  Wapo watu wananguvu sana hapa duniani wanachimba mitaro ili wapate hela ya kuwasaidia kupata chakula chao cha kila siku na siyo kuwafanya waanzishe kitu chao.  Lakini pia wapo walioanzisha kitu chao na bado kile kinawapa chakula tu na siyo kuwapa kitu cha ziada kitakachowasaidia kujitanua zaidi kiuchumi.  Hali hii ikionekana kwa watu kama hawa huwa ni vigumu sana kutoka kwenye umaskini.Maana mtu yeyote ambaye anapata cha kula tu na hana ziada kufanikiwa kwake huwa ni ngumu bali hubaki mtumwa.  Mungu ameweka utaratibu katika maalumu ili aweze kukufanikisha

MAOMBI YA KIBALI

*πŸ”° MAOMBI YA KIBALI πŸ› * πŸ–ŠSOMO LA PILIπŸ–Š Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 http://peterfrancismasanja.blogspot.com πŸ”° Lakini Bwana akawa pamoja na Yusufu, akamfadhili, akampa kibali machoni pa mkuu wa gereza. Mwanzo 39:21 πŸ–ŠKati ya vitu vya muhimu katika maisha ya wokovu ni pamoja na kuomba Mungu akupe kibali . πŸ–ŠUnaweza ukasota miaka mingi sana huendelei kama kaini na kubaki unajaa wivu na kinyongo kwa watu wanaofanikiwa kumbe hujamwomba Mungu akupe kibali . πŸ–Š Maisha ya mtu ya kuweza kufanya vitu vikubwa yamebebwa na kibali . πŸ–Š Ukitaka kuanzisha biashara lazima uwe na leseni ya biashara . πŸ–Š Ukitaka kuwa dereva anayetambulika na anayeweza kuomba kazi ya udereva lazima uwe na leseni .Hiyo leseni ndiyo kibali cha kupata hiyo kazi . πŸ–Š Katika mambo yako yote tambua kuwa chochote utakacho kukifanya kina uhusiano na maisha yako ya kiroho. πŸ–Š Wafalme hawakuweza kwenda vitani bila kuomba kibali toka kwa Mungu. πŸ”° Daudi akamwuliza Mungu, kusema, J