TENDA HAKI NA KWELI YA MUNGU
TENDA HAKI NA KWELI YA MUNGU
Mwlm.Peter Francis
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
ππ¨π»βπ» _UNAJISIKIAJE UNAPOSEMA UNAENDA MBINGUNI HALAFU HUKU HUNA KWELI NA HAKI YA MUNGU NDANI YAKO_ β
πMpendwa salamu hii ya asbhi ikufikie inataka ushikamane na Mungu kweli kweli .
ππ¨π»βπ» 1 Sikieni haya, enyi watu wa nyumba ya Yakobo, mnaoitwa kwa jina la Israeli, mliotoka katika maji ya Yuda; mnaoapa kwa jina la Bwana, na kumtaja Mungu wa Israeli, lakini si kwa kweli, wala si kwa haki.
Isaya 48 :1
π Usimtaje tu Yesu bure bali uishi katika kweli na haki
ππππππ
Maoni
Chapisha Maoni