TENDA HAKI NA KWELI YA MUNGU

TENDA HAKI NA KWELI YA MUNGU

Mwlm.Peter Francis

https://peterfrancismasanja.blogspot.com


πŸ“–πŸ‘¨πŸ»β€πŸ’» _UNAJISIKIAJE UNAPOSEMA UNAENDA MBINGUNI HALAFU HUKU HUNA KWELI NA HAKI YA MUNGU NDANI YAKO_ ❓

πŸ‘‰Mpendwa salamu hii ya asbhi ikufikie inataka ushikamane na Mungu kweli kweli  .

πŸ“–πŸ‘¨πŸ»β€πŸ’» 1 Sikieni haya, enyi watu wa nyumba ya Yakobo, mnaoitwa kwa jina la Israeli, mliotoka katika maji ya Yuda; mnaoapa kwa jina la Bwana, na kumtaja Mungu wa Israeli, lakini si kwa kweli, wala si kwa haki.

Isaya 48 :1

πŸ‘‰ Usimtaje tu Yesu bure bali uishi katika kweli na haki

πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

πŸ”° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA πŸ›*