Machapisho maarufu kutoka blogu hii
NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA
NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA TAREHE 15/6/2018. SIKU YA TANO Mwl. Lameck Kijalo UTANGULIZI Bwana Yesu asifiwe sana wana wa Mungu. Baada ya kujifunza mambo mengi kuhusu "MSAMAHA" kutoka kwa Watumishi wa Mungu . Karibu tena katika mwendelezo wa somo letu katika semina hii. Na hakika utazidi kujifunza mengi zaidi. VIPENGELE TUTAKAVYOENDA KUVIANGALIA Vipengele hivyo yamkini vimeisha fundishwa au bado lakini ni wakati wako mzuri wa kurudia au kujifunza upya. Vipengele hivyo ni: 1. Je neno msamaha au kitendo cha msamaha kilianzaje? 2. Je Sifa za mtoa msamaha ni zipi? 3. Je sifa za Muomba msamaha ni zipi? 4 .Njia unazoweza kutumia kuomba msamaha ni zipi? 1.CHANZO CHA MSAMAHA. Msamaha ni neno linalomaanisha "Kuachilia" Luka 6:37 ".achilieni nanyi mtaachiliwa." Sasa jiulize ms...
🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*
🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 🔰 BWANA YESU ASIFIWE 🖊 Nakukaribisha tena katika somo hili wewe ndugu au rafiki yangu wa imani tujifunze kwa pamoja . 🖊 Kufunga na kuomba kuna faida kubwa sana kwa kila aliyempokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake 🛐 *NAMNA GANI UTAFUNGA NA KUOMBA* ? 🖊 Utakapoanza kufunga na kuomba utaona mafanikio makubwa sana kiroho .Sasa unatakiwa upitie hatua fulani ili upate muda mzuri wa kuzungumza na Mungu . 🛐 *HATUA ZA KUFUATA KATIKA KUFUNGA NA KUOMBA* 🔰 1⃣ _WEKA MALENGO YAKO📖🖊 🔰 Kwanini unafunga ? Je unafunga kwa sababu ipi ama kwa 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 🖊 Kurudisha uhusiano wako na Mungu 🖊 Kutafta uongozi wa Mungu 🖊 Kutafta uponyaji . 🖊 Kwa ajili ya suluhu ya tatizo 🖊 Kutafta namna ya kutatua tatizo . Mwambie Roho Mtakatifu akuongoze na kukupa maelekezo katika malengo ya kufunga kwako . Hii itakusaidia uombe kwa kulenga kwenye eneo maalumu na kwa...
Maoni
Chapisha Maoni