WANAPODHIDI KUTENDA DHAMBI ENDELEA KUOMBA TOBA KWAAJILI YAO

*WANAPODHIDI KUTENDA DHAMBI ENDELEA KUOMBA TOBA KWAAJILI YAO* _

ASOMAYE NA AJIFUNZE_

Mwlm .Peter Francis

0679392829

5 nikasema, Nakusihi, Ee Bwana, Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, mwenye kutimiza agano lake na rehema zake kwa hao wampendao na kuzishika amri zake;

Nehemia 1 :5

6 tega sikio lako, macho yako yakafumbuke, upate kuyasikiliza maombi ya mtumishi wako, ninayoomba mbele zako wakati huu, mchana na usiku, kwa ajili ya wana wa Israeli, watumishi wako; hapo ninapoziungama dhambi za wana wa Israeli, tulizozifanya juu yako; naam, mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.

Nehemia 1 :6 📖👨🏻‍💻

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*