HONEYMOON ( FUNGATE) MNAFANYIA WAPI ?

*πŸ‘«HONEYMOON YENU MNAIFANYIA WAPI ❓* SIKILIZA *πŸ”₯ARDHI ILIYOFANYIWA UGANGA _UCHAWI, UASHERATI NA UZINZI INA ROHO ZA MASHETANI πŸ”₯ πŸ‘‰ Hasira ya Mungu ipo juu ya ardhi hiyo na vitu vyote vikaavyo hapo πŸ‘‰Ikiwa umeenda honeymoon na mkewako hukuomba toba juu ya ardhi uliyoingia na kutakasa kwa damu ya Yesu usiniulize kwanini ndoa yenu inasumbua sana baada ya kutoka guest ( honeymoon) . πŸ“–πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 13 Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa watu hukuambia, wewe nchi u mwenye kula watu, nawe umekuwa mwenye kufisha watu wa taifa lako; Ezekieli 36 :13 14 basi hutakula watu tena, wala hutafisha watu wa taifa lako tena, asema Bwana MUNGU; Ezekieli 36 :14 15 wala sitakusikizisha tena aibu yao wasioamini, wala hutachukua matukano ya watu tena; wala hutalikwaza taifa lako tena, asema Bwana MUNGU. Ezekieli 36 :15 πŸ‘‰Wapo watu wapohamia nyumba za kupanga ndoa zao zikaanza kusumbua na wengi wao zimevunjika Kumbe tatzo ardhi imebeba roho za mashetani πŸ‘‰ROHO ZA UZINZI πŸ‘‰ROHO ZA UASHERATI πŸ‘‰ROHO ZA ULEVI πŸ‘‰ROHO ZA UKAHABA πŸ–Utashangaa mumeo au mkeo alikuwa hachepuki mlipohamia tu hapo kachepuka πŸ–Utashangaa binti yako alikuwa anajitunza mlipohamia hapo kaanza ukahaba πŸ‘‰Siyo tatizo lako wala la mkeo wala la binti Tatzo ni zile roho zilizopo kwenye ardhi zinakula watu πŸ–πŸ“– 2 Tuma watu, ili waende wakaipeleleze nchi ya Kanaani, niwapayo wana wa Israeli; katika kabila ya baba zao mtamtuma mtu mmoja, kila mtu na awe mkuu kati yao. Hesabu-Numbers 13 :2 18 mkaitazame nchi ni ya namna gani; na watu wanaokaa ndani yake, kwamba ni hodari au dhaifu, kwamba ni wachache au wengi; Hesabu-Numbers 13 :18 19 na nchi wanayoikaa kwamba ni njema au mbaya; kwamba wanakaa katika matuo au katika ngome; Hesabu-Numbers 13 :19 20 nayo nchi ni ya namna gani, kwamba ni nchi ya unono au ya njaa, kwamba ina msitu au sivyo. Iweni na moyo mkuu, mkayalete matunda ya nchi. Basi wakati ule ulikuwa wakati wa kuiva zabibu za kwanza. Hesabu-Numbers 13 :20 25 Wakarejea baada ya kuipeleleza nchi, mwisho wa siku arobaini. Hesabu-Numbers 13 :25 πŸ‘‰Huhitaji haja ya kupeleza ardhi ya gest ina roho gani inabdi utambue kuna roho chafu zitameza ndoa yako . πŸ–πŸ“–πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 32 Wakawaletea wana wa Israeli habari mbaya ya ile nchi waliyoipeleleza, wakasema, Ile nchi tuliyopita kati yake ili kuipeleleza, ni nchi inayowala watu wanaoikaa; na watu wote tuliowaona ndani yake ni watu warefu mno. Hesabu-Numbers 13 :32 πŸ‘‰Ndoa yako inaweza ikaliwa na ardhi πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’ https://peterfrancismasanja.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

πŸ”° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA πŸ›*