MAHUSIANO YANAHITAJI UTAKATIFU

SIKILIZA

*BINTI HUKUZALIWA DUNIANI KUGUSWA NA KILA MWANAUME*


👉Mwili wako ni wa mtu mmoja tu yaani mume wako peke yake

👉Biblia inasema mwili wako siyo wa mume mtarajiwa yaani kumruhusu mchumba akufunue utupu kabla ya ndoa ni laana .🔥na kunauwezekano wa 99.999% kutokuolewa kabsa .

👉Utaishia kufananishwa na fulani

La haula akigundua wewe huwezei tendo vzr kuliko fulani tegemea kuachwa hapohapo .

🔥Umekuwa uchafu kwake amekukinai 🔥

📖👨🏻‍💻 8 Yerusalemu amefanya dhambi sana; Kwa hiyo amekuwa kama kitu kichafu; Wote waliomheshimu wanamdharau, Kwa sababu wameuona uchi wake; Naam, yeye anaugua, Na kujigeuza aende nyuma.
Maombolezo 1 :8

9 Uchafu wake ulikuwa katika marinda yake; Hakukumbuka mwisho wake; Kwa hiyo ameshuka kwa ajabu; Yeye hana mtu wa kumfariji; Tazama, Bwana, teso langu; Maana huyo adui amejitukuza.
Maombolezo 1 :9

10 Huyo mtesi amenyosha mkono wake Juu ya matamaniko yake yote; Maana ameona ya kuwa makafiri wameingia Ndani ya patakatifu pake; Ambao kwa habari zao wewe uliamuru Wasiingie katika kusanyiko lako.
Maombolezo 1 :10

11 Watu wake wote hupiga kite, Wanatafuta chakula; Wameyatoa matamaniko yao wapate chakula Cha kuihuisha nafsi; Ee Bwana, tazama, uangalie; Kwa maana mimi nimekuwa mnyonge.
Maombolezo 1 :11



KATAA ROHO YA NYOKA NDANI YAKO



👉Mwili wako syo wa kuuza ovyo msubiri mumeo akufurahie umfurahie pia na upendo wa Mungu utadumu kwenu













*👉ACHA KUTANGA TANGA TULIA NA MKE MMOJA*

📖👨🏻‍💻 15 Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.
Mithali 5 :15

16 Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu?

Mithali 5 :16

17 Yawe yako mwenyewe peke yako, Wala si ya wageni pamoja nawe.

Mithali 5 :17

18 Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako.

Mithali 5 :18

19 Ni ayala apendaye na paa apendezaye; Maziwa yake yakutoshe sikuzote; Na kwa upendo wake ushangilie daima.

Mithali 5 :19

👉Umegizwa umfurahie mkeo peke yake sasa mbona watafta makahaba ❓

Unatafta kufa


📖👨🏻‍💻 20 Mwanangu! Mbona unashangilia malaya, Na kukikumbatia kifua cha mgeni?
Mithali 5 :20

21 Kwa maana njia za mwanadamu zi mbele za macho ya Bwana, Na mienendo yake yote huitafakari.
Mithali 5 :21

22 Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.
Mithali 5 :22

23 Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.
Mithali 5 :23


👉MBONA UNAZINI NA WAKE ZA WATU ❓

*UNATAFUTA KUFA* 🔥

📖👨🏻‍💻 3 Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia, Umekuwa mfu wewe kwa sababu ya mwanamke huyu uliyemtwaa, maana ni mkewe mtu.
Mwanzo 20 :3


Tulia na mmoja usitangetange


https://Peterfrancismasanja.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*