PASIPO TOBA NDOA ITAKUSUMBUA










Nakatika mahusiano ukikosea tu ukazaa na mwanamke mwingine kabla ya ndoa


πŸ‘‰Roho ya uharibifu inakuandama kama ifuatavyo :



✍Kuvunja ndoa


✍Kuoa wake wengi

✍ Roho ya uzinzi


✍Roho ya umaskini


✍ Roho ya kukosa makao


✍ Na utakuja kushangaa mkeo anafungwa tumbo asizae


✍Mkeo anazaa nje ya ndoa



πŸ–πŸ“–πŸ˜‚ Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake.

Kumbukumbu la Torati 28:30




✍Utafanya kazi miaka mingi lakini hutajenga utakuwa wa kutangatanga



UKIONA UMEZALISHA KABLA YA NDOA TUBU

USIPOTUBU UKIJA KUOA NDOA ITASUMBUA SANA




https://peterfrancismasanja.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

πŸ”° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA πŸ›*