URAFIKI UCHUMBA NA NDOA
*π«URAFIKI , UCHUMBA NA NDOA* π
MWL. Peter Francis Masanja
francispeter424@gmail.com
ππΌHatua ya kwanza katika
mahusiano ni
1β£ URAFIKI
πKatika urafiki kila mtu atataka kumfahamu mwenzake
ππΌAnapenda nini
ππΌAnachukia nini
ππΌHali yake ya kiroho ikoje
π ° Ameimarika
π
±Hajaimarika
ππΌAnaishi wapi
ππΌAna wazazi
ππΌAnamchumba
ππΌ Umri wake
ππΌ Elimu yake
ππΌ Anajishughulisha na nini
HAYA NI MASWALI YA KUULIZANA KIPINDI CHA URAFIKI
πKipindi cha urafiki ndicho kipindi cha kumsoma mwenzako kabla ya kufanya maamuzi ya kumwambia ukweli unampenda na unatamani muingie hatua ya pili ya mahusiano
Ambayo ni
ππΌUCHUMBA
πKijana ukiruka hatua ya kwanza ya mahusiano ukakimbilia ya pili utaacha wengi sana
πUsiharakie kisa umeona sura tu ukaamua kuanzisha uchumba
Mfanye rafiki kwanza ili upate nafasi ya kumfahamu zaidi
Ukifanya hivyo utapata mke mwema kabisa.
π Ukishamfahamu tabia na mwenendo wake sasa unaweza kuingia hatua ya pili ya mahusiano , yaani UCHUMBA
π Naongezea katika kipindi cha urafiki
ππΌ mjue anavaaje akiwa kanisani na mtaani
π °Anavaa nguo zisizomstiri
Je unapenda kumuoa mtu wa namna hiyo β
π
± Jitahidi ujue aina ya marafiki zake
Ukishajiridhisha ingia hatua ya pili
πππππππ
2β£UCHUMBA
Katika uchumba unatakiwa uzingatie yafuatayo :
ππππππππ
HATUA YA PILI YA MAHUSIANO*
πUCHUMBA
Uchumba ni nini β
πUchumba ni makubaliano ya hiari ya watu wawili wanaotarajia kuishi pamoja kama mke na mume .
π Ndani ya uchumba kuna neno hiari.Hiari maana yake bila kulazimishwa
π Uchumba siyo ndoa
πHivyo msifanye mambo ya wanandoa kabla ya ndoa
πKANUNI ZA UCHUMBA
ππΌZingatieni utakatifu
π ° Msizini
ππΌzungatieni kuwa tendo la ndoa ni kwa wanandoa tu
ππ Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Mithali 22:3
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.
Mithali 27:12
πNimekupa hayo maandiko ujue kuwa ukiona ubaya usilazimishe usije ukaendelea ukaumia
πKwa tamaa za mwili kila mwanaume anafaa kuwa mume
Lakini kwa kuangalia kanuni za Mungu siyo kila mwanaume anakufaa haijalishi ameokoka ππππππ
π Kama nilivyosema mwanzoni kuwa uchumba ni jambo la kujichunga sana ili msiende kinyume na mpango wa Mungu
πHASARA ZA KULALA PAMOJA ( KUJUANA KIMWILI KABLA YA NDOA
1β£ Binti lazima utachukiwa NA kuonwa mchafu
ππ 14 Walakini yeye hakukubali kusikiliza sauti yake; naye akiwa na nguvu kuliko yeye, akamtenza nguvu, akalala naye.
2 Samweli 13 :14
15 Kisha Amnoni
ππππππππππ
akamchukia machukio makuu sana; kwa kuwa machukio aliyomchukia yakawa makuu kuliko yale mapenzi aliyokuwa amempenda kwanza. Amnoni akamwambia, Ondoka, nenda zako.
2 Samweli 13 :15
πMwone Tamari alipokubali kulala na Amnoni alichukiwa sana
ππ 8 Yerusalemu amefanya dhambi sana; Kwa hiyo amekuwa kama kitu kichafu; Wote waliomheshimu wanamdharau, Kwa sababu wameuona uchi wake; Naam, yeye anaugua, Na kujigeuza aende nyuma.
Maombolezo 1 :8
πππππππππππ
9 Uchafu wake ulikuwa katika marinda yake; Hakukumbuka mwisho wake; Kwa hiyo ameshuka kwa ajabu; Yeye hana mtu wa kumfariji; Tazama, Bwana, teso langu; Maana huyo adui amejitukuza.
Maombolezo 1 :9
10 Huyo mtesi amenyosha mkono wake Juu ya matamaniko yake yote; Maana ameona ya kuwa makafiri wameingia Ndani ya patakatifu pake; Ambao kwa habari zao wewe uliamuru Wasiingie katika kusanyiko lako.
Maombolezo 1 :10
ASOMAYE NA AJIFUNZE
βͺβͺβͺβͺβͺβͺβͺβͺ
Good, stay blessed
JibuFuta