*πΉKUMTAMBUA MWANAMKE ANAYEKUPENDA πΉ*
Mwlm.Peter Francis Masanja
0679392829
The Voice of God Ministry
π«ππΉπΉππππ
πΉπ Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo, Wala mito haiwezi kuuzamisha; Kama mtu angetoa badala ya upendo Mali yote ya nyumbani mwake, Angedharauliwa kabisa.
Wimbo Ulio Bora 8:7
Dalili za mwanamke anayekupenda na anania na wewe .
✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»
1⃣ Lazima atakusalimia kila siku na kukutakia majukumu mema .
2⃣ Lazima atataka kukushirikisha changamoto zinazomkabili
3⃣ Lazima atakushauri mambo ya maendeleo yako ili uwe katika nafasi nzuri
4⃣ Atakupa ratiba zake na atakuwa anakwambia kama atakuwa busy kwa mda fulani .
5⃣Atataka uwajue ndugu zake
6⃣ Atakushauri kuhusu masuala ya imani
7⃣ Atataka kujua kama unamchumba au huna
πLazima ahakikishe huna mchumba au girlfriend mwingine .
πakishajua huna mtu mpendwa atajitahidi awe karibu na wewe katika mambo 6 niliyoyataja hapo juu
π Kama anapafahamu kwenu anaweza kuja kukusalimia siyo kwamba anajipendekeza .
π Kama mnafanya naye kazi ofisi moja usipokuwepo atakuulizia unatatzo gani.
Atataka kujua
πAnamshahara wake , akipokea atataka muende out kidogo mkaongee mambo ya maendeleo zaidi
πpia akitaka kufanya jambo likimtatza atakuomba ushauri
Mungu akubariki
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Mwlm.Peter Francis Masanja
0679392829
The Voice of God Ministry
π«ππΉπΉππππ
πΉπ Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo, Wala mito haiwezi kuuzamisha; Kama mtu angetoa badala ya upendo Mali yote ya nyumbani mwake, Angedharauliwa kabisa.
Wimbo Ulio Bora 8:7
Dalili za mwanamke anayekupenda na anania na wewe .
✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»✍π»
1⃣ Lazima atakusalimia kila siku na kukutakia majukumu mema .
2⃣ Lazima atataka kukushirikisha changamoto zinazomkabili
3⃣ Lazima atakushauri mambo ya maendeleo yako ili uwe katika nafasi nzuri
4⃣ Atakupa ratiba zake na atakuwa anakwambia kama atakuwa busy kwa mda fulani .
5⃣Atataka uwajue ndugu zake
6⃣ Atakushauri kuhusu masuala ya imani
7⃣ Atataka kujua kama unamchumba au huna
πLazima ahakikishe huna mchumba au girlfriend mwingine .
πakishajua huna mtu mpendwa atajitahidi awe karibu na wewe katika mambo 6 niliyoyataja hapo juu
π Kama anapafahamu kwenu anaweza kuja kukusalimia siyo kwamba anajipendekeza .
π Kama mnafanya naye kazi ofisi moja usipokuwepo atakuulizia unatatzo gani.
Atataka kujua
πAnamshahara wake , akipokea atataka muende out kidogo mkaongee mambo ya maendeleo zaidi
πpia akitaka kufanya jambo likimtatza atakuomba ushauri
Mungu akubariki
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni