MTEGEMEE MUNGU

*📖 MTEGEMEE MUNGU UPATE UZIMA 💻*

👉 Umepitia majaribu mbalimbali mwite Mungu .

👉Usimtegemee mwanadamu kama kinga yako

👉Mwanadamu hawezi kulinda roho yako bali Mungu akupaye pumzi ya uhai anaweza mtegemee yeye peke yake.

📖💻 5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana.

Yeremia 17 :5


👉 Msaada wako utegemee kwa Mungu .

👉Siyo kila shida umwambie mwanadamu ataishia kukusema na hakusaidii anaanza kueneza shida zako .

📖💻 1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Zaburi 121 :1

2 Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.
Zaburi 121 :2

3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
Zaburi 121 :3

MUNGU AKUBARIKI SANA



Mwl.Peter Francis Masanja

0679392829

francispeter@gmail.com

https://peterfrancismasanja.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*