URAFIKI,UCHUMBA NA NDOA

👫 *URAFIKI ,UCHUMBA NA NDOA* ⛪

The Voice of God Ministry

✍🏻Sir.Peter Francis ✍🏻

francispeter424@gmail.com

Mtwara _Tanzania





🤰🏻👙Usiolewe na mwanaume kwa kuwa una mimba yake.

😀Usiolewe na mwanaume kisa anakufurahisha.

💻Usiolewe na mwanaume kwa sababu huna ajira.

👫Usiolewe na mwanaume kwa sababu umekua nae ktk uhusiano kwa muda mrefu.

💃🏾Usiolewe na mwanaume kwa sababu umejiwekeza kwake kiuchumi.

💍👫OLEWA nae kwa sababu umemchunguza kwa makini na umejiaminisha kwamba anafaa kuwe mume bora na baba bora wa watoto wako.


👫Usiolewe kisa unamhurumia 🏃‍♂🏃‍♂🏃‍♂

Share


⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪⛪

https://peterfrancismasanja.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*