YESU NI MPATANISHI
*๐นYESU NI MPATANISHI ๐น*
18 March 2018
๐๐ป 17 Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.
Waebrania 2 :17
18 Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia watu wanaojaribiwa.
Waebrania 2 :18
๐Mpatanishi ni yule anayesimama katikati ya watu wawili waliogombana.
๐Ili uwepo lazima kuwe na msamaha kati ya pande mbili
๐ซKwanini Yesu awe mpatanishi ❓
๐Tunakumbuka mwanadamu alifarakana na Mungu kwa kutenda dhambi .
๐๐ป 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
Mwanzo 3 :18
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
Mwanzo 3 :19
๐Mwanadamu alikuwa katika mafarakano na Mungu .
๐Lakini Yesu alijitoa kama kuhani ili alete upatanisho kati ya Mungu na mwanadamu.
๐Yesu alisimama katikati ya mwanadamu ili kuleta upatanisho.
๐ซIli upatane na Mungu lazima usamehe.
๐ป๐ 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
Mathayo 6 :12
๐ซBaada ya kusamehe patana .
๐ซOndoa habari mbaya ndani ya moyo wako ili upatane na Mungu.
๐Maneno mabaya yanakutenga mbali na Mungu.
๐ซWaheshimu wanaokuongoza .
๐๐ป Watiini wenye kuwaongoza, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa kuugua; maana isingewafaa ninyi.
Waebrania 13:17
๐ซwaheshimu wazazi wako
1⃣Wazazi wa mwili
2⃣wazazi wa kiroho .
๐ป๐ Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
Kutoka 20:12
๐ซAcha manung'uniko.
๐๐ป 1 Kisha Miriamu na Haruni wakamnenea Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa; maana, alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi.
Hesabu-Numbers 12 :1
๐ป๐ 2 Kisha wana wa Israeli wote wakamnung'unikia Musa na Haruni; mkutano wote wakawaambia, Ingekuwa heri kama tungalikufa katika nchi ya Misri, au, ingekuwa heri kama tungalikufa katika jangwa hili.
Hesabu-Numbers 14 :2
๐ซTupendane
๐ป๐ 1 Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
1 Wakorintho 13 :1
2 Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.
1 Wakorintho 13 :2
3 Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
1 Wakorintho 13 :3
4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
1 Wakorintho 13 :4
5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
1 Wakorintho 13 :5
6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
1 Wakorintho 13 :6
7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
1 Wakorintho 13 :7
8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.
1 Wakorintho 13 :8
๐Upendo ukikosekana Mungu anakuwa mbali nasi .
Mungu akubariki
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
18 March 2018
๐๐ป 17 Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.
Waebrania 2 :17
18 Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia watu wanaojaribiwa.
Waebrania 2 :18
๐Mpatanishi ni yule anayesimama katikati ya watu wawili waliogombana.
๐Ili uwepo lazima kuwe na msamaha kati ya pande mbili
๐ซKwanini Yesu awe mpatanishi ❓
๐Tunakumbuka mwanadamu alifarakana na Mungu kwa kutenda dhambi .
๐๐ป 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
Mwanzo 3 :18
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
Mwanzo 3 :19
๐Mwanadamu alikuwa katika mafarakano na Mungu .
๐Lakini Yesu alijitoa kama kuhani ili alete upatanisho kati ya Mungu na mwanadamu.
๐Yesu alisimama katikati ya mwanadamu ili kuleta upatanisho.
๐ซIli upatane na Mungu lazima usamehe.
๐ป๐ 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
Mathayo 6 :12
๐ซBaada ya kusamehe patana .
๐ซOndoa habari mbaya ndani ya moyo wako ili upatane na Mungu.
๐Maneno mabaya yanakutenga mbali na Mungu.
๐ซWaheshimu wanaokuongoza .
๐๐ป Watiini wenye kuwaongoza, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa kuugua; maana isingewafaa ninyi.
Waebrania 13:17
๐ซwaheshimu wazazi wako
1⃣Wazazi wa mwili
2⃣wazazi wa kiroho .
๐ป๐ Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
Kutoka 20:12
๐ซAcha manung'uniko.
๐๐ป 1 Kisha Miriamu na Haruni wakamnenea Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa; maana, alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi.
Hesabu-Numbers 12 :1
๐ป๐ 2 Kisha wana wa Israeli wote wakamnung'unikia Musa na Haruni; mkutano wote wakawaambia, Ingekuwa heri kama tungalikufa katika nchi ya Misri, au, ingekuwa heri kama tungalikufa katika jangwa hili.
Hesabu-Numbers 14 :2
๐ซTupendane
๐ป๐ 1 Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
1 Wakorintho 13 :1
2 Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.
1 Wakorintho 13 :2
3 Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
1 Wakorintho 13 :3
4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
1 Wakorintho 13 :4
5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
1 Wakorintho 13 :5
6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
1 Wakorintho 13 :6
7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
1 Wakorintho 13 :7
8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.
1 Wakorintho 13 :8
๐Upendo ukikosekana Mungu anakuwa mbali nasi .
Mungu akubariki
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni