KIPIMAJOTO CHA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA TATU )

*🌍PART THREE🌍*
_💥SEHEMU YA TATU💥_

*✍21 TYPES OF PASTORS/MINISTERS*

🎉By Ev. Dr. Jonas Michael
🎉Phone: +255755931662
🎉Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com

*💊GROUP NUMBER 3*

*📚3. VOCATIONAL Or TOURIST PASTORS*
_🏹Wachungaji wa KUTALII_


✍(Ezekiel 34:2, 3)



*Description:*(MAELEZO)

 ✍They are in the ministry, *not as a result of God’s call, but by the call of men.*
_🔨Wako kwenye huduma  siyo kwasababu ya WITO WA KIMUNGU bali ni Wito wa wanadamu_

 *✍They see pastoring as a hobby.*
_🎉Huona kama huduma ya kichungaji ni Fani ya kupenda_


*✍They don't have the real call of God*
_🔨Hawana wito sahihi wakimungu_

 *✍They love the honour and respect being given to Pastors.*
_🎉Wanapenda masifa na heshima zile ambazo wachungaji huwa wanapewa_

*✍They entered into pastoral ministry basing on their Tribal*
_🎉Wameingia kwenye huduma kupitia kujuana KIKABILA_


*✍Wealth was used to make them pastors*
_🎉Utajiri ulitumika kuwafanya kuwa wachungaji_


*✍They are ready to campaign to be chosen as pastors*
_🎉Wako tayari kufanya kampeni ili wachaguliwe kuwa wachungaji_

*✍They pay Money in order to be ordained as pastors*
_🎉Hulipa pesa nyingi sana ili wasimikwe kama wachungaji_

*✍They entered into pastoral ministry because their father and mother Wanted*
_🎉Huingia kwenye huduma kwasababu wazazi wao walitaka wawe hivyo_


*✍They entered into ministry by being known by Top leaders of their Denomination*
_🎉Huingia kwenye huduma kwasababu ya kujulikana na Viongozi wa juu wa Madhehebu yao_

*✍They entered pastoral ministry by being invited with their friends*
_🎉Huingia kwenye utumishi kwasababu ya ukaribisho wa marafiki zao_


*✍They entered into pastoral ministry because of their Academic qualifications*
_🎉Huingia kwenye huduma kwasababu ya sifa za kitaaluma_


*Basic Motive:*
_📞MSUKUMO WAO📞_


*✍To rule over others*
_📞Kuwatawala wengine_


*✍To be seen*
📞Kuonekana

*✍ They are ready to buy respected*
_📞Wako tayari kununua heshima_

 *✍They don't have vision rather than protecting their Position,*
_📞Hawana maono zaidi ya kulinda nafasi zao_


*✍To them position is more important than the ministry*
_📞Kwao nafasi ni ya muhimu sana kuliko huduma_

*✍They are ready to fight for position by using any costs*
_📞Wako tayari kufanya kila wawezalo ilimradi kutetea nafasi kwa gharama yeyote ile_



 *✍They don't have purpose and  commission from the Lord.*
_📞Hawana maagizo na malengo toka kwa Mungu_

*✍They therefore lord themselves over the people, *using threats and  position to oppress those who are genuinely called.*
_📞Wanajifanya wenyewe kuwa mabwana juu ya watu na watatumia nafasi walizonazo kuwatishia wengine ikiwemo wale wenye wito wa kweli_

*Demerits:*
_❌Mapungufu yako_


*✍They are not concerned with anyone or the Church once their position is secured.*
_📞Hawana habari na mtu yeyote wala kanisa ilimradi tu nafasi zao zimelindwa na ziko salama_

*✍They lead Church backward through *secular management systems.*
_📞Wanalirudisha kanisa nyuma kwa kutumia mifumo ya dunia hii kuliongoza kanisa_

 *✍They don’t train, develop or empower  anyone.*
_📞Hawana mpango wa kuandaa wengine wala kukaiisha madaraka kwa mtu yeyote_



 *✍The Church is always malnourished and spiritually weak under such Pastors.*
_📞Kanisa wakati wote litakuwa na kwashakoo na dhaifu kiroho kwa kuwa chini ya mchungaji huyu_


*✍Their ministrations are always devoid of God’s power and their sermons always make people sick.*
 _📞Huduma zao wakati wote huwezi kuona uwepo wa Mungu na jumbe zao zinawafanya watu kuwa wagonjwa_




*✍Vocational or honorary Pastors have caused much havoc for the Church today.*
_📞Waxhungaji wa namna hii wameleta ubovu mkubwa ndani ya kanisa_



*Way Out:*
_🎉Namna ya kufanya_


*✍Repentance*
📞Toba


*✍Restitution*
📞Fanya malipizo

*✍Seek the face of God as to His plan for your life, resignation and functioning where God wants you.*
_📞Utafute uso wa Mungu ili ujue mpango wa maisha yako na akuweke pale alipokupangia umtumikie_


*✍Some are now Pastors while they were supposed to be bus conductors*
_📞Kuna wengine ni wachungaji sasa wakati walipaswa kuwa UTINGO wa mabasi_

*✍Some are now pastors while they were supposed to be mechanics*
_📞Wengine kwa sasa ni wachungaji wakati walipaswa wawe mafundi gereji_

*✍There will be no flowing of God's anointing upon you because you have invaded the call which is not yours*
_📞Hakutakuwa na upako wa kimungu ukitembea juu yako kwasababu umevamia wito ambao siyo wako_


*✍You better go and be a fisherman than wasting your time in a wrong call*
_📞Ni heri uende ukawe mvuvi wa samaki badala ya kupoteza muda kwenye wito usiowako_



*❌Don't miss part four*
✍Usikose sehemu ya nne

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*