KIPIMAJOTO KWA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA TANO )

*💥🌍PART FIVE🌍💥*

_✍21 TYPES OF PASTORS/ MINISTERS_

*🍋Ev. Dr. Jonas Michael*
🍋Phone: +255755931662
🍋Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com



*💊GROUP 5💊*

*📚5. POLITICAL PASTORS*
_✍WACHUNGAJI WA KISIASA_

🎉Jeremiah 10:21;
🎉Jeremiah 23:11;
🎉 Micah 3:11

*Description:* (Maelezo)

*🎯They were once Servants of the Lord, but are now backslidden.*
_✍Mwanzoni walikuwa watumishi wazuri wa Bwana Yesu lakini sasa wamesharudi nyuma_

*🎯At the beginning they valued Fasting and prayers but now after success they are no longer praying*
_✍Hawa mwanzoni walikuwa wanaheshinu sana maombi na kufunga ila sasa hawaombi tena_


*🎯These Pastors they started as people of mountains to seek the face of God but now they no longer seeking the face of God after being surrounded with wealth*
_✍Watumishi hawa walianza kama wazamia Milimani kwenye maombi lakini sasa wameacha baada ya utajiri_

*🎯In the past they were people of Overnight and Vigilant but now very busy with files*
_✍Zamani walikuwa watu wenye mzigo na mikesha na kuomba sasa hivi wako busy na Mafaili na makabrasha_

*🎯They used to seek the face of God before climbing the pulpit but now they just pick sermons from Their files*
_✍Walikuwa wakimtafuta Mungu kabla ya kupanda madhabahuni lakini sasa hawana huo muda_



*🎯They no longer have time to preach, pray, nourish people and prepare them for heaven.*
_✍Hawana muda wa kuhubiri,kuomba na kkuwaandaa watu kwenda mbinguni_


 *🎯All their time is taken up with meetings upon meetings.*
_⏲Muda wao mwingi umechuliwa na VIKAO VIKAO_

*🎯They are no longer interested with spiritual activities like doing Evangelism, fasting and vigils*
_✍Hawana hamu tena na majukumu ya kiroho kama kufanya uinjilist, kufunga na kufanya mikesha ya maombi_


 *🎯They have become servants of meetings*
_✍Wamekuwa watumishi wa vikao_


*🎯Bad friends, economic hardship  and strange teachings have changed them.*
_✍Marafiki wabaya na hali mbaya ya kiuchumi na mafundisho yasiyo na uzima yamewageuza_





*Basic Motive:*
_🏹MSUKUMO WAO🏹_

*🎯To make things happen, *either by force or by fire.*
_✍Kusukuma mambo yatokee iwe kwa nguvu au kwa moto_

*🎯They hire Other ministers and tell them what they are suppose to preach because they don't move with the Holy Ghost*
_✍Huweza kuazima watumishi wengine na kuwaambia wahubiri nini maana hawana haja na Roho Mtakatifu_

*🎯They Are not interested with the function of Spiritual gifts for the purpose of security*
_✍Hawana haja na Karama za Roho Mtakatifu kwasababu ya usalama wao_

*🎯They are enemies of Spiritual gifts*
_✍Ni maadui wa Karama za Roho Mtakatifu_


*🎯They therefore engage in Church politics.*
_✍Hivyo hujiingiza kwenye Siasa ya Kanisa_

 *🎯They become cunning, crafty, arm-twisting and they can speak from both sides of the mouth.*
_✍Hivyo huendesha mambo kwa ujanja ujanja na usanii na kuwa na lugha mbili_

 *🎯Their strategic closeness to Church authority make them to determine the transfer, promotion, discipline  and suspension of other Pastors that are many times better than them.*
_✍Huwa karibu sana mamlaka za juu za kanisa kwa manufaa kama ya uhamisho,  _kupewa vyeo,_ na kupanda HILA
za kuwahamisha na kuwavuruga_ _WACHUNGAJI wengine wanaofanya vizuri kuliko wao_


*🎯 Character assassination is their modus–operandi.*
_✍Kuwaua watu wengine kwa kuwazushia mambo yasiyo ya msingi ndio mtindo wao wa kuendesha mambo_

*🎯They are not ready to see anyone within the Church is ahead of them in anything in terms of anointing and spiritual gifts*
_✍Hawako tayari kuona kuna mtu yeyote ndani ya kanisa anawazidi kitu na katika mambo ya upako au karama za Roho_

*🎯These Pastors they are ready to kill anybody who is a threat to their ministry for purpose of securing their positions*
_✍Watumishi hawa wako tayari kumuua mtu yeyote ambaye anatishia usalama wao_

*Demerits:*
_💊MAPUNGUFU YAO💊_

*✍Their Churches always suffer because they are not always around due to frequent meetings.*
_🎯Washirika wao wanapata shida ya kimalezi kwasababu hawapatikani wako kwenye vikao vya mara kwa mara_


 *✍They are spiritually dry,*
🎯Ni wakame sana kiroho

*✍They are unable to get fresh insight from God*
_🎯Hawapati tena maono ya Kimungu_


 *✍Their Church suffers spiritually.*
_🎯Makanisa yao yana matatizo ya kiroho_

*✍They get problem of frequent loose of members*
_🎯Wanapata matatizo ya kuondokewa na washirika mara kwa mara_

 *✍They get involve in scandals which they use for their *political manouvering* to cover up.
_🎯Huwa wanapata Tuhuma mbalimbali lakini hutumia Usanii wa kisiasa kukwepa na kuyamaliza kisiasa_



*✍Political Pastors needs to return back to the Lord, or else end up in Hell*
_🎯Watumishi hawa wanapaswa kumrudia Mungu lasivyo wataishia Jehanamu ya moto_

*Way Out:*
_💫Jinsi ya kufanya_

*✍Remember where you have fallen, repent and return back to the Lord.*
_🎯Kumbuka wapi ulipoanguka ukatubu na kumrudia Mungu kikamilifu_

 *❌Stop Church politics and have no nourishing and preparing people for heaven.*
_✍Acha siasa kanisani Jikite katika kuliongoza na kuliandaa kanisa kwa UNYAKUO_



*❌Don't miss part Six*
_USIKOSE SEHEMU YA SITA_

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*