KIPIMO CHA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA NNE)

*🌍PART FOUR 4🌍*
_✍21 TYPES OF PASTORS/MINISTERS_

📞Ev. Dr. Jonas Michael
📞Phone: +255755931662
📞Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com


*💊GROUP NO. 4*

*4. YESTERDAY’S PASTORS*
_✍WACHUNGAJI WENYE MTAZAMO WA JANA_

*Description:* (MAELEZO)


✍They are called by the Lord, but *they are not in tune with the moves of God today.*
_⏲Wameitwa na Mungu lakini hawaendani na Kasi ya Mungu ya kipindi hiki_


*✍They are holy, godly and righteous  but they are trapped in *yesterday’s ways* because they are ultra-conservative.
_⏲Ni watakatifu na wenye haki kabisa lakini wametawaliwa na mambo ya jana au kipindi kilichopita na ni watu wasiopenda mabadiliko_


*✍They want to use the Old ways of evangelizing*
_📞Hutumia njia za kizamani katika kushuhudia injili_

*✍They spend only on their *one gift* *to lead the Church*
_📞Hutumia Karama moja au huduma moja kuliongoza kanisa_

*✍They detest learning and change.*
_📞Hawataki kujifunza na kubadilika_



*Basic Motive:*
_🏹Msukumo wao🏹_


*✍To survive and bring back old time religion.*
_📞Kuweka na kurudisha aina ya dini ya zamani_

 *✍They are therefore prejudiced against growth, change and new strategies.*
_📞Hawapendi kuona kuna makuzi, mabadiliko au mbinu mpya za utendaji_

 *✍They are good in hymnals, and order of service that has become routine and lifeless  today.*
_📞Ni Wazuri katika tenzi na kusimamia taratibu za ibada na kufuata mifumo kama ya liturujia katika kuendesha ibada_

*✍They have no time with the Holy Spirit guidance*
_📞Hawana muda na kumruhusu Roho Mtakatifu awaongoze_

*✍ Their relational skills are weak and very low.*
_📞Maarifa yao ya kimahisiano na watu ni dhaifu na yako chini sana_

*Demerits:*
_🔨MAPUNGUFU YAO_


*✍Lack of vision, purpose and direction in the Church.*
_📞Hukosa maono, lengo na mwelekeo wa kanisa_

*✍The Church remain stagnated on growth at all*
_📞Kanisa linabaki halina makuzi_


 *✍Instead of moving forward the work is going backward*
_📞Baada ya huduma kusonga mbele wanaona huduma inadidimia kwa kurudi nyuma_

*✍They are confused because changes that have occurred have left them behind.*
_📞Wamefurugikiwa kwasababu mabadiliko yanayojitokeza yamewaacha nyuma_

 *✍They therefore experience crisis, breakaway, stagnation and  backdoor losses.*
_📞Wanakabiliana na ukame mzito, kuondokewa na washirika, huduma kutokusogea na mambo kubaki vilevile_

*✍They do everything in the Church because they don’t trust anybody.*
_📞Wanafanya kila kitu ndani ya kanisa kwasababu hawamwamini mtu yeyote yule_



 *✍They are skeptic of people and change.*
_📞Wanahofu juu ya watu na mabadiliko_

 *✍Pastors of yesterday usually don’t know the new moves of God for today;*
_📞Wachungaji wenye mtazamo ya jana hawawezi kutambua majira ya mtembeo wa kimungu wa sasa_

*✍ Because they are too busy looking at yesterday.*
_📞Kwasababu wao bado wako buze kuangalia jana ilikuwaje_


*✍instead of learning they are busy throwing stones to new ministers and new pastors*
_📞Badala wajifunze wako buze kurushia mawe huduma zingine na watumishi wapya_


*✍Instead of copying the move without loosing focus they separate themselves from the nowadays move*
_📞Badala kuendana na mabadiliko bila kupoteza lengo kuu bali wao hujiepusha na mabadiliko yaayoedelea sasa_

*Way Out:*
_🔨Namna ya kufanya_

*✍Change, personal growth, disabused mindset and new focus of the move of God today*
_📞Wanapaswa wayakubali mabadiliko yasiyowaondoa kwenye lengo kuu pia waachaane na misimamo ya kizamani isiyo na tija litchi au kipindi hiki_





*❌Don't miss part five*
✍Usikose sehemu ya tano

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*