KIPIMO CHA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA SITA)

*💥🌍PART SIX🌍💥*

_✍21 TYPES OF PASTORS/ MINISTERS_

*🍋Ev. Dr. Jonas Michael*
🍋Phone: +255755931662
🍋Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com



*💊GROUP 6💊*

*📚6. OCCULTIC PASTORS*

 📞Revelation 2:20,24:

 📞Revelation 3:9

*Description:*(Maelezo)


 *✍These are the people who have no business being in the ministry, but they are there all the same.*
_🎯Hawa ni watumishi ambao shida yao kubwa siyo kuwa kwenye huduma wao huwepo kwenye huduma kwa nia tofauti kabisaa_

*✍Some are former occult practitioners*
_🎯Wengine walikuwa waganga wa kienyeji wa zamani_

_🎯Wengine walikuwa ni wale Wafanya mazingayombwe wa zamani_


*✍Who claim to be born-again, while *others are herbalists and magicians*
_🎯Kwa sasa wanakiri kuwa wameokoka lakini bado ni Waganga na wanaendelea na mambo yao ya kichawi na kimazingayombwe_

*✍Who decide to hood-wink people by modernizing as Pastors.*
_🎯Wameamua kuvaa vazi la kichungaji ili kuwadanganya watu na kujifanya ni wachungaji wa kisasa_

*✍ They live double lives.*
_🎯Wanaishi maisha yaliyomchanganyiko_

 *✍They appear to eat at the Lord’s table but also deal with the devil in secret.*
_🎯Wanaonekana wanakula chakula mezani pa Bwana baada ya hapo SIRINI wanakula meza moja na Shetani tena_

 *✍They use means and demonic power to perform spurious miracles.*
_🎯Wanatumia njia za kipepo na kichawi kufanya miujiza ya kichawi_

*✍Some of them they charms in their services*
_🎯Wengine wao wanatumia Hirizi kwenye huduma zao_

*✍Some they Bury Charms in their Altars even dead goats and dead people*
_🎯Wengine bado ni wachawi na wanazika Hirizi kwenye madhabahu zao na wengine wanazika Mbuzi au watu waliokufa_

*✍They wear the coat of the sheep during day time but they wear Coat of bears during night time*
_🎯Wakati wa mchana huvaa koti la kondoo lakini wakati wa usiku huvaa vazi la Dubu na MBWA MWITU WAKALI_

*✍They use charms to be promoted as Bishops and getting other great positions*
_🎯Wanatumia Hirizi kupata nyazifa mbalimbali za kiuongozi na hata kupata nafasi kubwa kubwa_

*Basic Motives:*
_🏹MISUKUMO YAO YA MSINGI_

*✍Their motive is gain, power and control over people.*
_🎯Dhamira yao kubwa ni kujipatia faida, kupata nguvu na kuwatawala watu_

*✍They therefore use different things as prayer support*
_🎯Wanatumia vitu mbalimbali kama Visaidizi vya maombi_

*✍They impose different materials to be used as SOLUTION TO PEOPLE'S PROBLEMS and they cover those materials with the name of ANOINTING*
_🎯Wanatumia vitu mbalimbali kama msaada wa kutatua matatizo ya watu na kuvipa JINA VINA UPAKO_

*✍They will sell those materials as a Free market movement*
_🎯Watauza hivyo vitu kama soko huru linalotembea_


*🏹Anointed water $ 3 us dollars*
📞Maji ya upako Tsh. 5000/=

*🏹Anointed bathing Soap Us dollar 2.5*
_📞Sabuni ya upako tsh 5000/=_

*🏹Anointed Salt us dollar 3*
_🏹Chumvi ya upako tsh 6000/=_

*🏹Anointed oil us dollar 3*
_📞Mafuta ya upako tsh 6000/=_

*🏹Anointed pen us dollar 2*
_📞Peni ya upako tsh 4000/=_

*🏹Anointed Bracelet us dollar 5*
_📞Bangili za upako tsh 10000/_

*🏹Anointed Juice us Dollar 10*
_📞Juisi ya upako tsh 20000/=_

*🏹Anointed Aprons and cloth us dollar 3*
_📞Leso za upako na nguo tsh 6000/=_

*🏹To see the Pastors in one on one meeting is Us dollar 125*
_📞Kumuona Mchungaji kumweleza shida zako tsh 250000/=_

*✍They engage in fake vision,*
_🎯Wanajiingiza kwenye maono bandia_


*✍They engage in false prophecy*
_🎯Wanajiingiza kwenye nabii za Uongo_

*✍Sometimes they will prophesies True prophecies but using the spirit of divination and not the Holy Spirit*
_🎯Wakati mwingine wanaweza wakatabiri mambo ya kweli ila wanatumia Roho ya Utambuzi na wala siyo Roho Mtakatifu_

 *✍They engage in performing fake miracles.*
_🎯Wanajiingiza kwenye kufanya miujiza ya kiuongo_

*✍They read the sixth and seventh books of Moses.*
_🎯Watajikita zaidi katika vitabu vya Musa na torati_

 *✍They are usually polygamous  and womanizers.*
_🎯Wengi wao kutembea na kuzini na wanawake na hawaoni shida kuwa na mitala_

*✍Many of these pastors they have issues with their marriage because of womanizer*
_🎯Watumishi wengi wa kundi hili ndoa zao zina migogoro kwasababu ya wanawake_

*Demerits:*
_🏹MAPUNGUFU YAO🏹_


*✍Using other means to ‘Jazz’ up the work so that crowds can come*
_🎯Hutumia mbinu mbalimbali za kisanii ili watu waweze kujazana_

*✍They put people under bondage and oppression;*
_🎯Huwafanya watu kuwa kwenye utumwa mzito na mateso_

 *✍They are making people sure children of hell; immorality thrives; witchcraft and calamities in Churches;*
_🎯Huwafanya watu kuwa wana wa jehanamu na kuishi maisha ya uzinzi ushirikina na upotevu ndani ya kanisa_

*✍Many people dying and losing their destiny in such Churches.*
_🎯Watu wengi wanakufa kiroho na kupoteza uhalisia wao katika makanisa ya namna hii_

*✍No form of godly spirituality among the people.*
_🎯Hamna hali ya UTAUWA katika maisha ya watu wanaabudu makanisa hayo_

*✍Occultic Pastors will always be exposed by their traits and they will lose their ministries sooner or later.*
_🎯Wavhungaji hawa wachawi na washirikina muda sio muda watapoteza hizo huduma zao na matendo yao kufichuliwa_

*Way Out:*
_🏹JINSI YA KUFANYA🏹_

 *✍True repentance and knowing the Lord afresh, turning away from synagogue of Satan.*
_🎯Wanapaswa kuingia kwenye toba ya kweli na kumjua Bwana kiuhalisia na kugeuka na kuachana na masinagogi ya kishetani_


*❌Don't miss part seven*

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*