KUWATUNZA WATUMISHI WA MUNGU
*🌐KUWATUNZA MAKUHANI🌐*
Mwlm. Peter Francis Masanja
,0679392829
The Voice of God Ministry
💻 13 Hamjui ya kuwa wale wazifanyao kazi za hekaluni hula katika vitu vya hekalu, na wale waihudumiao madhabahu huwa na fungu lao katika vitu vya madhabahu?
1 Wakorintho 9 :13
14 Na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwamba wale waihubirio Injili wapate riziki kwa hiyo Injili.
1 Wakorintho 9 :14.
👉🏻Kuwatunza watumishi wa Mungu ni agizo toka kwa Mungu .
💫Hii ni kwa sababu wanajitaabisha kwaajili ya roho za watu wasipotee.
💫 Kwahiyo unatakiwa kujua kuwa wanaowatumikia makanisani wanafungu lao katika madhabahu ya Mungu.
💻 Hamjui ya kuwa wale wazifanyao kazi za hekaluni hula katika vitu vya hekalu, na wale waihudumiao madhabahu huwa na fungu lao katika vitu vya madhabahu?
1 Wakorintho 9:13
💫 Neno hili linamaana sana unatakiwa kulifahamu.
Mungu akubariki sana
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni