KWANINI ZAMANI WAKIKOSEA WALIKUWA WANADHIBIWA NA KUTUNDIKWA JUU YA MTI ❓
π KWANINI ZAMANI WAKIKOSEA WALIKUWA WANADHIBIWA NA KUTUNDIKWA JUU YA MTI ❓
Mwlm.Peter Francis Masanja
0679392829
The Voice of God Ministry
ππ»Harmani alitundikwa juu ya nguzo za miti .
ππ» Yesu pia aliwekwa juu msalabani .
ππ» Unatakiwa uelewe vitu hivi vitatu .
ππ»Asili ya maovu ( dhambi ) ipo kwenye mti .
π» 16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
Mwanzo 2 :16
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2 :17
ππ»Tunaliona shina la dhambi lipo kwenye mti
π» 3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.
Mwanzo 3 :3
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3 :4
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Mwanzo 3 :5
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Mwanzo 3 :6
ππ» Dhambi iliingia duniani kupitia mti
ππ» mti unachukuliwa kama shina la dhambi ndyo maana katika agano la kale utaona mtu akikosea akiadhibiwa anatundikwa juu ya mti .
π» Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
Kumbukumbu la Torati 21:22
ππ» Yachunguze maandiko utaona habari za makosa yote yapo juu ya mti .
π» Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.
Esta 7:10
Mfalme Ahasuero akawaambia malkia Esta na Mordekai, Myahudi, kusema, Tazama, nimekwisha kumpa Esta nyumba yake Hamani, naye mwenyewe wamekwisha kumtundika juu ya mti, kwa sababu aliwatia mikono Wayahudi.
Esta 8:7
π« Kwahiyo makosa yote asili yake ni juu ya mti ndyo maana mtu akikosea alitundikwa juu ya mti kwa maana hiyo alirudishwa kwenye dhambi ilikotokea au kuanzia .
ππ» Juu ya mti pia kuna mauti
π«Jiulize kwanini Musa alimtundika nyoka juu ya mti na aliyekuwa anamwangalia akiumwa na nyoka alipona ❓
ππ» Yule nyoka aliyetundikwa alivunja mauti ( kifo)
π» Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi.
Hesabu-Numbers 21:9
ππ»Kwanini Yesu alitundikwa msalabani ❓
π«Kwanza tambua huo msalaba ni mti , na tafsiri ya mti kiroho ni shina la dhambi .
Kwahiyo dhambi iliingia ulimwenguni kupitia vitu vitatu .
1⃣ Nyoka
2⃣ Mti
3⃣ mtu
ππ» mauti na uzima zipo kwenye mti
ππ» Yesu alipotundikwa msalabani maana yake alirudishwa kule dhambi ilikoanzia ili aifute
π« Ukimtazama Yesu pale msalabani usimtazame tu ukaona msalaba hauna maana .
π«Msalaba huo maana yake ni shina la mauti , kwahiyo kufa kwake Yesu pale msalabani kulivunja nguvu zote za mauti , ( dhambi , kifo , magonjwa) n.k
π» 14 Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,
Waebrania 2 :14
15 awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
Waebrania 2 :15
π«ile damu ya Yesu iliyomwagika msalabani ilifuta makosa yote na kuharibu kazi zote za shetani .
Mungu akubariki sana.
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Mwlm.Peter Francis Masanja
0679392829
The Voice of God Ministry
ππ»Harmani alitundikwa juu ya nguzo za miti .
ππ» Yesu pia aliwekwa juu msalabani .
ππ» Unatakiwa uelewe vitu hivi vitatu .
ππ»Asili ya maovu ( dhambi ) ipo kwenye mti .
π» 16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
Mwanzo 2 :16
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2 :17
ππ»Tunaliona shina la dhambi lipo kwenye mti
π» 3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.
Mwanzo 3 :3
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3 :4
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Mwanzo 3 :5
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Mwanzo 3 :6
ππ» Dhambi iliingia duniani kupitia mti
ππ» mti unachukuliwa kama shina la dhambi ndyo maana katika agano la kale utaona mtu akikosea akiadhibiwa anatundikwa juu ya mti .
π» Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
Kumbukumbu la Torati 21:22
ππ» Yachunguze maandiko utaona habari za makosa yote yapo juu ya mti .
π» Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.
Esta 7:10
Mfalme Ahasuero akawaambia malkia Esta na Mordekai, Myahudi, kusema, Tazama, nimekwisha kumpa Esta nyumba yake Hamani, naye mwenyewe wamekwisha kumtundika juu ya mti, kwa sababu aliwatia mikono Wayahudi.
Esta 8:7
π« Kwahiyo makosa yote asili yake ni juu ya mti ndyo maana mtu akikosea alitundikwa juu ya mti kwa maana hiyo alirudishwa kwenye dhambi ilikotokea au kuanzia .
ππ» Juu ya mti pia kuna mauti
π«Jiulize kwanini Musa alimtundika nyoka juu ya mti na aliyekuwa anamwangalia akiumwa na nyoka alipona ❓
ππ» Yule nyoka aliyetundikwa alivunja mauti ( kifo)
π» Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi.
Hesabu-Numbers 21:9
ππ»Kwanini Yesu alitundikwa msalabani ❓
π«Kwanza tambua huo msalaba ni mti , na tafsiri ya mti kiroho ni shina la dhambi .
Kwahiyo dhambi iliingia ulimwenguni kupitia vitu vitatu .
1⃣ Nyoka
2⃣ Mti
3⃣ mtu
ππ» mauti na uzima zipo kwenye mti
ππ» Yesu alipotundikwa msalabani maana yake alirudishwa kule dhambi ilikoanzia ili aifute
π« Ukimtazama Yesu pale msalabani usimtazame tu ukaona msalaba hauna maana .
π«Msalaba huo maana yake ni shina la mauti , kwahiyo kufa kwake Yesu pale msalabani kulivunja nguvu zote za mauti , ( dhambi , kifo , magonjwa) n.k
π» 14 Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,
Waebrania 2 :14
15 awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
Waebrania 2 :15
π«ile damu ya Yesu iliyomwagika msalabani ilifuta makosa yote na kuharibu kazi zote za shetani .
Mungu akubariki sana.
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni