NGUVU YA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI πŸ›*

 NGUVU YA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI πŸ›*



Mwl.Peter Francis Masanja

0679392829


SAUTI YA MUNGU MINISTRY

francispeter424@gmail.com









πŸ’» 11 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa. 

Ufunuo wa Yohana 12:11



 πŸ’« Damu ya Yesu inanguvu sana ikitumika wakati wa maombi .


πŸ’«Damu ya Yesu inanguvu za kumshinda shetani .



πŸ’« Damu ya Yesu inatakasa ( inafuta makosa ) .



πŸ’» 22 Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo. 

Waebrania 9:22



πŸ’«Damu ya Yesu inamnyang'anya shetani umiliki.



πŸ’» 9 Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa, 

Ufunuo wa Yohana 5:9

10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi. 

Ufunuo wa Yohana 5:10



πŸ’« Damu ya Yesu inanguvu za uponyaji .


πŸ’«Damu ya Yesu inavunja nguvu za mauti .



 πŸ’» 14 Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi, 

Waebrania 2:14


: πŸ’«Damu ya Yesu inafuta maneno mabaya


: πŸ’« Itumie damu ya Yesu kuvunja madhabahu ya ukoo inayokuunganisha kwenye ibada za mizimu ,  mashambulizi ya ndoto za wafu na ndoto za nyoka .


πŸ’’: πŸ’«Kila kitu kinachokuhusu maishani mwako ambacho shetani amekishikilia au amekificha leo tunakidai , tunamnyang'anya kwa damu ya Yesu .


πŸ’’: πŸ’«mpendwa , nikuibie siri kwamba shetani akimiliki malango yako ya kiroho anasumbua sana



.πŸ’« Shetani anatumia wachawi na waganga kufunga maisha ya mtu



πŸ’’: πŸ’« Ardhi iliyofungwa na waganga kupitia matambiko na mazindiko inamadhara sana kiroho


πŸ’’: πŸ’« Achilia damu ya Yesu iondoshe kila mambo ya matambiko na mazindiko yaliyofanyika katika ardhi ya familia , ardhi unayoikalia , na ardhi ya ukoo .


πŸ’’: πŸ’« Peleka damu kwenye kwenye eneo ambalo unafanyia kazi yako au ofisini kwako .



πŸ’’: πŸ’« mpendwa kunaofisi zingine hazikaliki yaani kuna madhabahu ya shetani imesimama kwa lengo la kutafuna wafanya kazi kwa kufukuzwa au kuugua au kufa kabisa .


πŸ’« Kuna kampuni kila meneja akiajiriwa anakimbia kazi , kumbe kuna madhabahu ya shetani imesimamishwa .

πŸ’« Mimina damu ya Yesu iondoshe ile madhabahu .



πŸ’’: πŸ’« Kuna ofisi moja mameneja walikuwa hawadumu lakini kumbe maombi yalipofanyika roho wa Mungu akatuonyesha chini ya kiti kuna kitu kimechimbiwa



πŸ’’: πŸ’« Tuliamkia kuchimba tukatoa hirizi tukaichoma , kuanzia siku hiyo wafanyakazi walikuwa hawasalimiani wakaanza kusalimiana .


.πŸ’’: πŸ’«Damu ya Yesu inanena mema .


πŸ’’: πŸ’« Mungu akubariki sana

πŸ’’: ➡ God bless you


https://peterfrancismasanja.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

πŸ”° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA πŸ›*