SHIDA YAKO NI FURSA MBELE ZA MUNGU* π
π«TAFAKARI YA ASBHI π
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
The Voice of God Ministry
Somo :
*π SHIDA YAKO NI FURSA MBELE ZA MUNGU* π
π« Je , unapitia katika hali ngumu ya maisha ❓
➡ Mungu anaiangalia hiyo hali ya ugumu ili kupitia huo ugumu kuna saa inakuja atakuondolea na kukuweka pazuri .
ππ» Siyo kwamba Mungu kakusahau , hapana ila kunajambo anataka kulifanya kwako ili wengine waamini kuwa yeye ni Mungu anaweza .
ππ» Endelea kumwita Mungu katika shida uliyonayo ili aachilie msaada juu yako.
ππ» Ni Mungu pekee ndiye anayeinua watu viwango vya juu .
π« Yakupasa kumwita Mungu katika shida yako .
π» 1 Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.
Zaburi 20 :1
2 Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.
Zaburi 20 :2
3 Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.
Zaburi 20 :3
4 Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote.
Zaburi 20 :4
5 Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu tuzitweke bendera zetu. Bwana akutimizie matakwa yako yote.
Zaburi 20 :5
6 Sasa najua kuwa Bwana amwokoa masihi wake;Atamjibu kutoka mbingu zake takatifu.
Zaburi 20 :6
7 Hawa wanataja magari na hawa farasi, Bali sisi tutalitaja jina la Bwana, Mungu wetu.
Zaburi 20 :7
8 Wao wameinama na kuanguka, Bali sisi tumeinuka na kusimama.
Zaburi 20 :8
9 Bwana, umwokoe mfalme, Utuitikie siku tuitayo.
Zaburi 20 :9
Hitimisho
π« Usichoke kumwita Mungu katika shida yako .
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
The Voice of God Ministry
Somo :
*π SHIDA YAKO NI FURSA MBELE ZA MUNGU* π
π« Je , unapitia katika hali ngumu ya maisha ❓
➡ Mungu anaiangalia hiyo hali ya ugumu ili kupitia huo ugumu kuna saa inakuja atakuondolea na kukuweka pazuri .
ππ» Siyo kwamba Mungu kakusahau , hapana ila kunajambo anataka kulifanya kwako ili wengine waamini kuwa yeye ni Mungu anaweza .
ππ» Endelea kumwita Mungu katika shida uliyonayo ili aachilie msaada juu yako.
ππ» Ni Mungu pekee ndiye anayeinua watu viwango vya juu .
π« Yakupasa kumwita Mungu katika shida yako .
π» 1 Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.
Zaburi 20 :1
2 Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.
Zaburi 20 :2
3 Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.
Zaburi 20 :3
4 Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote.
Zaburi 20 :4
5 Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu tuzitweke bendera zetu. Bwana akutimizie matakwa yako yote.
Zaburi 20 :5
6 Sasa najua kuwa Bwana amwokoa masihi wake;Atamjibu kutoka mbingu zake takatifu.
Zaburi 20 :6
7 Hawa wanataja magari na hawa farasi, Bali sisi tutalitaja jina la Bwana, Mungu wetu.
Zaburi 20 :7
8 Wao wameinama na kuanguka, Bali sisi tumeinuka na kusimama.
Zaburi 20 :8
9 Bwana, umwokoe mfalme, Utuitikie siku tuitayo.
Zaburi 20 :9
Hitimisho
π« Usichoke kumwita Mungu katika shida yako .
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni