TAFAKARI YA LEO* π
π *TAFAKARI YA LEO* π
π«Mwl.Peter Francis Masanja .
0679392829
francispeter424@gmail.com
πThe Voice of God Ministry π
π» 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48 :17
Somo :
π« Bwana Yesu asifiwe .
Karibu katika tafakari ya asbhi ya leo .
π«Kulingana na maandiko matakatifu katika
ISAYA 48:17
π» 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48 :17
π« Tunajifunza mambo makuu matano ambayo anayasema juu ya maisha yetu kuhusu kutembea katika njia
ππ» Nakukumbusha tena wazo kuu katika tafakari ya leo ni kutembea katika uongozi wa Bwana Mungu .
π Ili tutembee katika uongozi wa BWANA lazima tujue mambo matano yafuatayo :
1β£ Mungu ni mkombozi wako
ππ»Shida yote uipatayo tambua kuwa Mungu ndye atafanya njia ili aiondoe hiyo shida maishani mwako .
Hii ndiyo tafsiri ya kwamba Mungu ni mkombozi wako .
2β£ Mungu ni mtakatifu
π«Kama yeye ni mtakatifu na sisi yatupasa kuishi maisha matakatifu .
3β£ Mungu anasema yeye ni Mungu wako .
ππ» Kama yeye ni Mungu wako tambua kuwa anakupenda na anataka utembee katika uongozi wake ( ufuate yale anayotaka uyatende )
4β£ Anasema yeye anakufundisha
π« Mungu anakufundisha maagizo au sheria zake na uweze kuzitii .
π«Anakufundisha ili uzifuate hizo sheria zake ili upate faida yaani ufanikiwe kiroho na kimwili.
5β£ Anakuongoza katika njia nzuri unayopaswa uifuate ili usipotee( njia iletayo wokovu)
Mungu akubariki sana
Nakutakia asbh njema
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
π«Mwl.Peter Francis Masanja .
0679392829
francispeter424@gmail.com
πThe Voice of God Ministry π
π» 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48 :17
Somo :
π *KUTEMBEA KATIKA UONGOZI WA BWANA* π
π« Bwana Yesu asifiwe .
Karibu katika tafakari ya asbhi ya leo .
π«Kulingana na maandiko matakatifu katika
ISAYA 48:17
π» 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48 :17
π« Tunajifunza mambo makuu matano ambayo anayasema juu ya maisha yetu kuhusu kutembea katika njia
ππ» Nakukumbusha tena wazo kuu katika tafakari ya leo ni kutembea katika uongozi wa Bwana Mungu .
π Ili tutembee katika uongozi wa BWANA lazima tujue mambo matano yafuatayo :
1β£ Mungu ni mkombozi wako
ππ»Shida yote uipatayo tambua kuwa Mungu ndye atafanya njia ili aiondoe hiyo shida maishani mwako .
Hii ndiyo tafsiri ya kwamba Mungu ni mkombozi wako .
2β£ Mungu ni mtakatifu
π«Kama yeye ni mtakatifu na sisi yatupasa kuishi maisha matakatifu .
3β£ Mungu anasema yeye ni Mungu wako .
ππ» Kama yeye ni Mungu wako tambua kuwa anakupenda na anataka utembee katika uongozi wake ( ufuate yale anayotaka uyatende )
4β£ Anasema yeye anakufundisha
π« Mungu anakufundisha maagizo au sheria zake na uweze kuzitii .
π«Anakufundisha ili uzifuate hizo sheria zake ili upate faida yaani ufanikiwe kiroho na kimwili.
5β£ Anakuongoza katika njia nzuri unayopaswa uifuate ili usipotee( njia iletayo wokovu)
Mungu akubariki sana
Nakutakia asbh njema
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni