*KUFANYIKA IMARA KIROHO
π«TAFAKARI YA LEO π
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
SAUTI YA MUNGU MINISRTY
SOMO :
π *KUFANYIKA IMARA KIROHO* π«
π» 22 wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwaonya wakae katika ile Imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.
Matendo ya Mitume 14:22
π« Mpendwa neno la Mungu linasema kwamba kuokoka tu haitoshi bali mtu anapookoka atafute kufanyika imara kiroho .
π« Kufanyika imara kiroho maana yake ni kudumu katika kusoma neno la Mungu na kulifanyia kazi .
π«Pia njia nyingine ya kufanyika imara kiroho ni pamoja na kushiriki semina za kiroho .
π« Njia nyingine ni kudumu katika imani .
➡ Ishike imani ya Kristo kwa uaminifu na ukitenda haki na kweli ya Mungu .
Mungu akubariki sana
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
SAUTI YA MUNGU MINISRTY
SOMO :
π *KUFANYIKA IMARA KIROHO* π«
π» 22 wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwaonya wakae katika ile Imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.
Matendo ya Mitume 14:22
π« Mpendwa neno la Mungu linasema kwamba kuokoka tu haitoshi bali mtu anapookoka atafute kufanyika imara kiroho .
π« Kufanyika imara kiroho maana yake ni kudumu katika kusoma neno la Mungu na kulifanyia kazi .
π«Pia njia nyingine ya kufanyika imara kiroho ni pamoja na kushiriki semina za kiroho .
π« Njia nyingine ni kudumu katika imani .
➡ Ishike imani ya Kristo kwa uaminifu na ukitenda haki na kweli ya Mungu .
Mungu akubariki sana
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni