MCHUMBA ASIYEKUFAA ❌*

👫 MCHUMBA ASIYEKUFAA ❌*



Mwl.Peter Francis Masanja


0679392829
0744056901

francispeter424@gmail.com


💒 SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💒



💻 Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.

Mithali 22:3



Tafakari hii ikupe maono upate mwenzi sahihi maishani mwako .




Unamwambia mchumba wako akutumie picha ya maziwa

Acha ujinga


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


 💫 Unamwambia mchumba wako akutumie picha za uchi 🙆🏻‍♂

Acha ujinga , Okoka ndugu

✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



💫 Mwanaume ambaye hakupendi anataka akuchezee na kukuacha ataomba picha za uchi au nusu uchi

Huyo hakuoi kamwe .

Nawewe binti unayemtumia mchumba wako picha za aina hiyo ukome

Okoka na ukatubu


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



✍🏻 Kama anataka picha kwanini usimtumie ulizovaa mavazi ya heshima ❓


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



💫 Acha kujidhalilisha kumtumia mwanaume picha za nusu uchi au za uchi ukisingizia ni mchumba kumbe ni chatu anakuvizia akumeze .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


 💫 Mwanaume anayekupenda hawezi kukuomba picha za uchi au za nusu uchi .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


💫 Mwanaume anayekupenda akiona umeweka profile picha au status ya picha yako haina maadili atakukaripia sana na kukuonya uache .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


✍🏻 Mwanaume anayekupenda atakujali na utaona unabahati sana duniani

Atakujulia hali asbhi , mchana na jioni .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


✍🏻 Mwanaume anayekupenda atataka kujua unafanya nini


✍🏻 Mwanaume anayekupenda atazungumzia maisha yenu ya badae na siyo kila saa kuomba picha za utupu

✍🏻 Mwanaume anayekupenda hutaka awafahamu wazazi wako na ndugu zako


✍🏻 Mwanaume anayekupenda atataka kujua changamoto zipi zinakupata maishani mwako .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


✍🏻 Kwanini ujisumbue na kupoteza muda na mwanaume anayakutamani tu hakupendi ❓


✍🏻 Mwanaume akupendaye unapaswa pia uheshimu muda wake heshimu hisia zake .


 ✍🏻 Akikutafta acha kiburi cha kumkalia kimya na kutokusema samahani .


 ✍🏻 Usimdharau mwanaume anayekupenda ukimpoteza utakuja kuangukia pabaya.

✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



✍🏻 Wanawake wengi wanamtaka halafu wewe unatumia nafasi yako vibaya kumdharau shauri yako akiondoka kwako utajuta .

✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


✍🏻 Mwanaume akupendaye mshikilie usimwache maana biblia inaweka wazi mume lazima akupende .



 💻 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;

Waefeso 5:25



 ✍🏻 mheshimu sana maana anakupenda na amejitoa kwako .


 ✍🏻 Nawewe mwanaume usijichoshe na kumsumbukia mwanamke asiyejua thamani ya kupendwa .


✍🏻 Ukipendwa upendeke , acha kutomjali utamfukuza aende kwa mwingne .


✍🏻 Makosa anayoyafanya mwanamke apoteze vigezo vya kupendwa na kuaminiwa .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



1⃣ Ubishi

👉🏻 Kukataa kurekebishwa  amekosea lakini anahalalisha kosa kuwa ni la kawaida tu .



2⃣ Utani kupita kiasi

👉🏻 Utani uliochangamana na mambo mazito kama magonjwa, kuzaa na uongo wa mitandao ni hatari sana .



3⃣ Alikuwa anavaa nguo za ajabu

Alipopishana kauli na mtu wake anavaa tena ili amwone akidai anamkomoa kumbe anajikomoa mwenyewe .


4⃣ Kupingana na kweli ya Mungu na kuhalalisha matakwa ya dunia hii .

👉🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻


 5⃣ Kujifanya mjuaji sana kila kitu wewe unajua .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



6⃣ Kupenda starehe sana na kujifanya ombaomba sana

✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



7⃣ Kutokukubadishwa
Mfano hutaki unachoambiwa ukiache , yaani hukiachi ukijidai kwamba wazazi wako hawakuambii halafu mchumba anamamlaka gani ❓

👉🏻 Huu ni ujinga


Tii uambiwacho kama kinamtukuza Mungu utii huanzia kabla ya ndoa , unayemwona anataka akuoe ameona utii wako .


https://peterfrancismasanja.blogspot.com




💒

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

🔰 MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA 🛐*