UKWELI KUHUSU ROHO MTAKATIFU
π UKWELI KUHUSU ROHO MTAKATIFU π*
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
SAUTI YA MUNGU MINISTRY
π« Roho Mtakatifu ni nani ❓
ππ» Ni Mungu katika nafsi ya tatu ambaye anafanya ushirika na mtu amwaminiye Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ili afanyike kuwa raia wa ufalme wa mbinguni ( mrithi wa uzima wa milele ).
π« Roho Mtakatifu kwa aliyeokoka ni wamuhimu sana kumjua
π» Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.
Isaya 6:3
π«Roho Mtakatifu ni mtakatifu maana yake hachangamani na uchafu wowote .
π« Katika kitabu cha Isaya 6:3 tunaona neno Mtakatifu limerudiwa mara tatu .yaani
ππ» Mtakatifu , Mtakatifu , Mtakatifu
✍π» Maana yake ni
1⃣ Mtakatifu -Mungu baba
2⃣ Mtakatifu - Mungu mwana
na
3⃣ Mtakatifu - Roho Mtakatifu .
π« Roho Mtakatifu akikaa ndani ya mtu , hubadilisha mfumo mzima wa maisha yake .
π«Roho Mtakatifu hubadilisha mfumo wa imani .
π«Roho Mtakatifu akifanya makao ndani ya mtu humpa nguvu ya kushinda dhambi ( tamaa za mwili ).
π» Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
Wagalatia 5:16
π« Roho Mtakatifu akitulia ndani ya mtu humpa maarifa na hekima .
π» 8 Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule;
1 Wakorintho 12:8
π« Roho Mtakatifu ni maji ya uzima wa milele
π» 13 Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
Yohana 4:13
14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Yohana 4:14
π«Yesu alikuwa akizungumza kwa habari ya Roho Mtakatifu
π«Roho Mtakatifu anatutua nguvu za kumshinda shetani ( upako wa kumshinda shetani ).
π» 1 Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.
Isaya 61:1
2 Kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;
Isaya 61:2
3 kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji ya maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na Bwana, ili atukuzwe.
Isaya 61:3
π« Upako wa Roho Mtakatifu unatupa nguvu ya kuamuru watu wawekwe huru kutoka kwenye vifungo vya ibilisi .
π» 38 habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye akazunguka huko na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye.
Matendo ya Mitume 10:38
Mungu akubariki sana
[5/11, 08:34] Rev.Peter Francis Masanja: https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
SAUTI YA MUNGU MINISTRY
π« Roho Mtakatifu ni nani ❓
ππ» Ni Mungu katika nafsi ya tatu ambaye anafanya ushirika na mtu amwaminiye Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ili afanyike kuwa raia wa ufalme wa mbinguni ( mrithi wa uzima wa milele ).
π« Roho Mtakatifu kwa aliyeokoka ni wamuhimu sana kumjua
π» Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.
Isaya 6:3
π«Roho Mtakatifu ni mtakatifu maana yake hachangamani na uchafu wowote .
π« Katika kitabu cha Isaya 6:3 tunaona neno Mtakatifu limerudiwa mara tatu .yaani
ππ» Mtakatifu , Mtakatifu , Mtakatifu
✍π» Maana yake ni
1⃣ Mtakatifu -Mungu baba
2⃣ Mtakatifu - Mungu mwana
na
3⃣ Mtakatifu - Roho Mtakatifu .
π« Roho Mtakatifu akikaa ndani ya mtu , hubadilisha mfumo mzima wa maisha yake .
π«Roho Mtakatifu hubadilisha mfumo wa imani .
π«Roho Mtakatifu akifanya makao ndani ya mtu humpa nguvu ya kushinda dhambi ( tamaa za mwili ).
π» Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
Wagalatia 5:16
π« Roho Mtakatifu akitulia ndani ya mtu humpa maarifa na hekima .
π» 8 Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule;
1 Wakorintho 12:8
π« Roho Mtakatifu ni maji ya uzima wa milele
π» 13 Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
Yohana 4:13
14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Yohana 4:14
π«Yesu alikuwa akizungumza kwa habari ya Roho Mtakatifu
π«Roho Mtakatifu anatutua nguvu za kumshinda shetani ( upako wa kumshinda shetani ).
π» 1 Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.
Isaya 61:1
2 Kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;
Isaya 61:2
3 kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji ya maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na Bwana, ili atukuzwe.
Isaya 61:3
π« Upako wa Roho Mtakatifu unatupa nguvu ya kuamuru watu wawekwe huru kutoka kwenye vifungo vya ibilisi .
π» 38 habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye akazunguka huko na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye.
Matendo ya Mitume 10:38
Mungu akubariki sana
[5/11, 08:34] Rev.Peter Francis Masanja: https://peterfrancismasanja.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni