πŸ‘« URAFIKIπŸ’ UCHUMBA na NDOAπŸ‘ͺ

πŸ‘« URAFIKIπŸ’ UCHUMBA na NDOAπŸ‘ͺ* 







Mwl.Peter Francis Masanja

0679392829



SIKU YA KWANZA



SOMO :


πŸ’« KANUNI ZA KUMPATA MWENZI SAHIHI WA MAISHA YAKO πŸ’’




πŸ’« Kijana uliyeokoka na upo ndani ya Yesu sawawa πŸ’ͺ🏻


πŸ‘‰πŸ» Tafuta kwanza kujijua wewe jinsi ulivyo




πŸ’« Angalia uhusiano wako na Mungu kisha uulingalishe uhusiano wako na Mungu na yule unayemtarajia .




πŸ’» 3 Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?

Amosi 3:3



πŸ’« kama vitu vingi sana umepishana naye ahirisha mkataba wa mahusiano .



 πŸ’« Ili uweze kufikia malengo ya urafiki au Uchumba ulionao  usikubali kila mtu awe kampani yako .



πŸ’« Vijana wengi wamejikuta wanapoteza wachumba zao kwa kuwasikiliza watu kuliko kumsikiliza Mungu .



 πŸ’« Kaa karibu na watu wanaokaa katika uwepo wa Mungu



πŸ’«Usikae na watu ambao wanakaa barazani wataua uchumba wako mapema sana .



 πŸ’« Kijana hukuletwa duniani kuchaguliwa nani wa kumuoa , umeletwa duniani kumsikiliza Mungu anataka umuoe nani .



πŸ’« Kwanini mtu akwambie unataka kuolewa au kuoa mtu na sura mbaya ❓

Huyo anayekwambia mchumba wako mbaya huyo macho yake yameharibika akapimwe ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



 πŸ’« Ndoto zako za nani utamuoa au atakuoa zisikatishwe na marafiki zako .



πŸ’« Ukiona mwanamke au mwanaume anadai ngono kabla ya ndoa mkimbie huyo hakufai kabisa .



πŸ’« Binti yangu nataka nikupe siri hii hapa


πŸ‘‰πŸ» Ukitaka kumshinda mwanaume mtizame usoni mwulize shida yake ukiwa umejiamini kabisa .Utamwona amekosa hata cha kuongea na kuanza hadithi zingine zisizoeleweka .




πŸ’« Urafiki na Uchumba unahitaji nguvu ili uweze kuujenga .



πŸ’» 29 Fahari ya vijana ni nguvu zao, Na uzuri wa wazee ni kichwa chenye mvi.

Mithali 20:29



πŸ’« Kijana lazima uwe na nguvu za kufikiri na kupambanua mambo na kumjua Mungu kama kina Yusufu., Timotheo , Shadrack , Meshaki , Abedinego , n.k



πŸ’«Ukiwa na mtu katika Urafiki au katika Uchumba uwe na nguvu au uwezo wa kupambanua mambo anayoyafanya mtu wako ukijiangalia wewe na Mungu unayemtumikia kisha jiulize huyo mtu anakufaa ❓




πŸ’«Vijana wengi wanajikuta wanakufa kiroho kabisa kwa kuwa na wachumba ambao hawafanani nao .




πŸ’«UNAPOMPATA MCHUMBA / RAFIKI JIULIZE MASWALI HAYA ❓



1⃣ Kuna faida yoyote nitakayoipata katika uhusiano huu ❓

πŸ‘‰πŸ» Uchumba usiokuweka karibu na Mungu hauna faida kabisa .



2⃣ Ni marafiki wa aina gani alionao ❓


πŸ‘‰πŸ» Kama hawamleti karibu na Mungu ( wapotoshaji ) .

Achana na mtu huyo.



3⃣ Anampenda  Mungu kweli au anajifanya ameokoka ili akunase ❓


πŸ‘‰πŸ» Mwulize kaokoka lini .




4⃣ Yupo tayari nifahamu yote juu yake ❓

πŸ‘‰πŸ» Kama hayupo tayari huyo hakufai .




5⃣ Ananipenda kweli au anapenda kitu ( vitu ) fulani kutoka kwangu ❓


πŸ‘‰πŸ» Maana unaweza ukadhani unapendwa kumbe unatakwa tu




πŸ’« Vijana wengi walioumia walitakwa hawakupendwa



πŸ‘‰πŸ» Kutakwa maana yake ni mtu kuwa nawewe kwa sababu unavitu fulani anavitaka bila vitu hivyo asingekupenda kamwe .πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂




πŸ‘‰πŸ» Binti za watu wamejikuta wanalizwa kwa kuanishwa kuwa wataolewa na kuwaruhusu wanaume wawaguse kabla ya ndoa , na matokeo yake kuchokwa na kuachika .




πŸ‘‰πŸ» Mchumba siyo mume mpaka akuguse kabla ya ndoa ,

Tambua mwili wako ni kwaajili ya mumeo na siyo kwa ajili ya mchumba wala rafiki .




 πŸ’«Mwili wako ni mali ya Kristo na kwaajili ya mumeo na siyo mchumba wako .
✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



πŸ’» 18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

1 Wakorintho 6:18

19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;

1 Wakorintho 6:19

20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

1 Wakorintho 6:20




πŸ’« Kuna jambo pia naomba niliweke wazi kwa vijana wenzangu leo ambao hawajaoa au kuolewa .


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻




πŸ’« Vijana msifanye maamuzi haraka sana na kuwaaminisha watu kwamba ndiyo wanawafaa kuwa ndyo wametoka kwa  Mungu .




πŸ’« Vijana wengi leo wanaona kabisa Mungu anawaambia huyu hakufai lakini hawataki kumsikiliza kabisa .




πŸ’« Sikilizeni kwa makini vijana labda ufahamu wenu utafumbuka leo


✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻



 πŸ’« Kitu cha msingi kabisa katika kumpata mwenzi sahihi wa maisha yako


πŸ‘‰πŸ» Amjue Mungu na kuisimamia kweli ya Mungu

πŸ‘‰πŸ» Awe ameokoka kiroho na kimwili ( uvaaji wake ).


πŸ‘‰πŸ» Sikuhizi wokovu wa midomo bila matendo umejaa makanisani kwahiyo kijana akikuambia kaokoka siyo kwamba kaokoka kweli inabidi ufuatilie sana huo wokovu wake upo viwango gani .



πŸ’« Wokovu unavipimo vijana , usishangae kuja kumgundua mtu anamiaka mitano katika wokovu hajui kufungua biblia lakini magazeti ya udaku anayajua sana tu
πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂



 πŸ’« Unaona mtu anajua waimbaji wengi wa nyimbo za kidunia kuliko wanaoimba nyimbo za Mungu halafu nawewe unajifariji umepata bwana bila kujua unaolewa ukaabudu sanamu .πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂πŸƒπŸ»‍♂



πŸ’« Simu yake imejaa video za bongo fleva , na siku nzima yeye kuzungumzia wasanii wa bongofleva aiseee huna mume au mke hapo atakuua kiroho .



πŸ’« Usishangae akikuta wewe umeweka wimbo wa kwaya kwenye runinga anakuja kuutoa na kuweka bongo fleva



πŸ’« Haya mambo vijana huonyesha mapema sana wanayapuuzia kabisa



πŸ’« Wanaonyeshwa kwenye

1⃣ Uvaaji

πŸ‘‰πŸ» Vimini, Vijikaptura, Vijisuruali, milegezo na vijisuruali vya kuvulia sabuni kwa wanaume .


2⃣ Nyimbo na videos

πŸ‘‰πŸ» Videos za nusu uchi ( bongo fleva )

3⃣ Mengineyo yasiyomtukuza Mungu



πŸ’« Mtu uliye naye wewe kijana uliyeokoka kama hataki kuyaacha haya huyo hakufai



 Hapa vijana wengi waliookoka wamejikuta wanaingia motoni huku wanaona kabisa lakini wanajifanya hawaoni .


πŸ’« Oooh mtumishi jamani nina mtu wangu nampenda lakini hapendi mambo ya Mungu nifanyaje ❓


πŸ‘‰πŸ» Huyo ni mpinga Kristo achana naye kabisa

Na aina ya watu huwaomba wadada wawatumie picha za kuonyesha miili yao
[πŸ’«Mungu akubariki sana


Tukutane siku nyingine


πŸ’«πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’πŸ’’



HITIMISHO



Usiamue kimwili katika Uchumba amua kiroho

Na ukiona mtu wako hapendi mambo ya Mungu na kuitii sheria za Mungu huyo siyo mwema kwako .

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU

NGUVU NA FAIDA ZA MSAMAHA

πŸ”° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA πŸ›*