MUNGU KAKULETA DUNIANI UFANIKIWE KIROHO , KIMWILI ( KIUCHUMI ) NA KIAFYA .📒*
*📒 MUNGU KAKULETA DUNIANI UFANIKIWE KIROHO , KIMWILI ( KIUCHUMI ) NA KIAFYA .📒*
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
Sauti ya Mungu Ministry
💻 Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
3 Yohana 1:2
✍🏻 Mungu alipokuleta hapa duniani alikuleta ufanye mambo makuu matatu ili akufanikishe .
1⃣ Umtumikie ( ibada )
2⃣ Umtii
3⃣ Kujitoa kwake .
💻 1 Heri kila mtu amchaye Bwana, Aendaye katika njia yake.
Zaburi 128:1
2 Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.
Zaburi 128:2
3 Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Vyumbani mwa nyumba yako. Wanao kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.
Zaburi 128:3
4 Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye Bwana.
Zaburi 128:4
5 Bwana akubariki toka Sayuni; Uone uheri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako;
Zaburi 128:5
6 Naam, ukawaone wana wa wanao. Amani ikae na Israeli.
Zaburi 128:6
✍🏻 Afya njema , uchumi mzuri na ukuaji wa kiroho ni matokeo ya kumcha BWANA.
✍🏻 Agizo moja kakupa kwamba ili ufanikiwe kiuchumi lazima uwe na kazi yoyote ambayo unajishughulisha nayo .
✍🏻 Kingine ameweka ahadi kwako kuwa atakuepusha na maradhi .
💻 Na Bwana atakuondolea ugonjwa wote; wala hatatia juu yako maradhi yo yote mabaya uyajuayo ya Misri, lakini atayaweka juu ya wote wakuchukiao.
Kumbukumbu la Torati 7:15
✍🏻 Katika uzao wako hatakuwepo mwenye kuharibu mimba
✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
💻 Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza.
Kutoka 23:26
📙 HITIMISHO 📙
Mche Bwana , mtukuze yeye peke yake ili ufanikiwe kiroho , na kiuchumi na kuwa na afya njema
[6/6, 07:32] Mwl.Peter Francis Masanja: Mungu akubariki sana
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
Sauti ya Mungu Ministry
💻 Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
3 Yohana 1:2
✍🏻 Mungu alipokuleta hapa duniani alikuleta ufanye mambo makuu matatu ili akufanikishe .
1⃣ Umtumikie ( ibada )
2⃣ Umtii
3⃣ Kujitoa kwake .
💻 1 Heri kila mtu amchaye Bwana, Aendaye katika njia yake.
Zaburi 128:1
2 Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.
Zaburi 128:2
3 Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Vyumbani mwa nyumba yako. Wanao kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.
Zaburi 128:3
4 Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye Bwana.
Zaburi 128:4
5 Bwana akubariki toka Sayuni; Uone uheri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako;
Zaburi 128:5
6 Naam, ukawaone wana wa wanao. Amani ikae na Israeli.
Zaburi 128:6
✍🏻 Afya njema , uchumi mzuri na ukuaji wa kiroho ni matokeo ya kumcha BWANA.
✍🏻 Agizo moja kakupa kwamba ili ufanikiwe kiuchumi lazima uwe na kazi yoyote ambayo unajishughulisha nayo .
✍🏻 Kingine ameweka ahadi kwako kuwa atakuepusha na maradhi .
💻 Na Bwana atakuondolea ugonjwa wote; wala hatatia juu yako maradhi yo yote mabaya uyajuayo ya Misri, lakini atayaweka juu ya wote wakuchukiao.
Kumbukumbu la Torati 7:15
✍🏻 Katika uzao wako hatakuwepo mwenye kuharibu mimba
✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
💻 Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza.
Kutoka 23:26
📙 HITIMISHO 📙
Mche Bwana , mtukuze yeye peke yake ili ufanikiwe kiroho , na kiuchumi na kuwa na afya njema
[6/6, 07:32] Mwl.Peter Francis Masanja: Mungu akubariki sana
Maoni
Chapisha Maoni