MASWALI YA KUJIULIZA KABLA YA KUFANYA MAAMUZI YA KUOA AU KUOLEWA
❓ MASWALI YA KUJIULIZA KABLA YA KUFANYA MAAMUZI YA KUOA AU KUOLEWA
π Je , unaye mtu mwingine aliyeingia kwa njia ya uzinzi ❓
Kama unaye mng'oe kwanza anaweza kuwa kizuizi kwako kumpata mwenzi sahihi .
π Umeamua kweli kuoa au kuolewa ❓
✍ Usiolewe kwa sababu umechoka kukaa nyumbani au umri unaenda .
π Utaolewa lini na nani utampa mwili wako ❓
✍ Tambua kuwa mwili wako ni wa mume wako peke yake tu .
✍ Na wewe kijana unaoa lini , nani unamuoa❓
πUtaoa au utaolewa wapi na kivipi ❓
✍ Usikubali kuolewa kienyeji
πUnajua kuwa ndoa itakubadilishia mfumo wa maisha yako ❓
✍ Utaacha wazazi , utahama maeneo ya kazi , utaacha baadhi ya marafiki , utakuwa Mrs fulani au Mr fulani .
π Unajua kuwa ndoa ni wajibu ❓
✍ Ndoa siyo starehe tu kijana .
Na
Mwl.Peter Francis Masanja
π Je , unaye mtu mwingine aliyeingia kwa njia ya uzinzi ❓
Kama unaye mng'oe kwanza anaweza kuwa kizuizi kwako kumpata mwenzi sahihi .
π Umeamua kweli kuoa au kuolewa ❓
✍ Usiolewe kwa sababu umechoka kukaa nyumbani au umri unaenda .
π Utaolewa lini na nani utampa mwili wako ❓
✍ Tambua kuwa mwili wako ni wa mume wako peke yake tu .
✍ Na wewe kijana unaoa lini , nani unamuoa❓
πUtaoa au utaolewa wapi na kivipi ❓
✍ Usikubali kuolewa kienyeji
πUnajua kuwa ndoa itakubadilishia mfumo wa maisha yako ❓
✍ Utaacha wazazi , utahama maeneo ya kazi , utaacha baadhi ya marafiki , utakuwa Mrs fulani au Mr fulani .
π Unajua kuwa ndoa ni wajibu ❓
✍ Ndoa siyo starehe tu kijana .
Na
Mwl.Peter Francis Masanja
Maoni
Chapisha Maoni