DALILI ZA BINTI MWENYE JINI MAHABA
πDALILI ZA BINTI MWENYE JINI MAHABA π
✍ Kuota ndoto unafunga ndoa( harusi) na wafu au mtu usiyemjua .
✍ Kuota unanyonyesha.
✍ Kuota tumbo lako limevimba .
✍ Kuanzisha mahusiano na kila mtu na kuishia njiani .
✍ Kuachika na kila mwanaume .
✍ Kufiwa na kila mchumba anayekuja kukuchumbia .
✍ Kugombana na mchumba wako mara kwa mara.
✍ Kukataa kuolewa
✍ Kudharau wanaume na kuwa na majibu ya mikato.
✍ Kuwa muongo kwenye mahusiano .
✍ Kukosa moyo wa kujishusha kipindi ukipishana na mchumba wako .Hujui hata kusema samahani mkipishana unamjia juu .
✍ Kuota umeachana na mchumba wako
✍ Kuota unafukuzwa na mbwa .
✍ Kuota umeibiwa nguo za ndani .
✍ Kuota upo kwenye mahusiano na mume wa mtu.
✍ Kuota ndoto unafunga ndoa( harusi) na wafu au mtu usiyemjua .
✍ Kuota unanyonyesha.
✍ Kuota tumbo lako limevimba .
✍ Kuanzisha mahusiano na kila mtu na kuishia njiani .
✍ Kuachika na kila mwanaume .
✍ Kufiwa na kila mchumba anayekuja kukuchumbia .
✍ Kugombana na mchumba wako mara kwa mara.
✍ Kukataa kuolewa
✍ Kudharau wanaume na kuwa na majibu ya mikato.
✍ Kuwa muongo kwenye mahusiano .
✍ Kukosa moyo wa kujishusha kipindi ukipishana na mchumba wako .Hujui hata kusema samahani mkipishana unamjia juu .
✍ Kuota umeachana na mchumba wako
✍ Kuota unafukuzwa na mbwa .
✍ Kuota umeibiwa nguo za ndani .
✍ Kuota upo kwenye mahusiano na mume wa mtu.
Maoni
Chapisha Maoni