DALILI ZINAZOONYESHA KUWA UNAFUATILIWA NA ROHO YA MAUTI
DALILI ZINAZOONYESHA KUWA UNAFUATILIWA NA ROHO YA MAUTI 🍇
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
📖 ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu.
Warumi 9:2
✍ Inapotokea mtu wa Mungu unajisikia huzuni moyoni mwako bila sababu hapo kuna roho ya mauti inakufuatilia .
✍ uonapo uchungu pia ni dalili ya kuwa unafuatiliwa na mauti.
✍ Hasira na kutojisikia kuongea na watu yaani siku hiyo kwako ni mbaya hujisikii vizuri kuongea na watu hiyo ni roho ya mauti.
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
📖 ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu.
Warumi 9:2
✍ Inapotokea mtu wa Mungu unajisikia huzuni moyoni mwako bila sababu hapo kuna roho ya mauti inakufuatilia .
✍ uonapo uchungu pia ni dalili ya kuwa unafuatiliwa na mauti.
✍ Hasira na kutojisikia kuongea na watu yaani siku hiyo kwako ni mbaya hujisikii vizuri kuongea na watu hiyo ni roho ya mauti.
Maoni
Chapisha Maoni