MAMBO MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU ROHO MTAKATIFU
MAMBO MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA
KUHUSU ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU NI NANI?
Γ ni
mwalimu ,msaidizi , kiongozi wetu anayetuongoza kwenye kweli yote
Nami
nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
Yohana
14 :16
17
ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala
haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.
Yohana
14 :17
Γ Roho
mtakatifu ni Nguvu inayotuwezesha kuwa mashahidi wa nini
·
Utilifu wa ahadi za Bwana
·
Udhihirisho wa nguvu za Mungu
·
Kweli ya Mungu yerusalemu samaria na
hata mwisho wa nchi
Roho
mtakatifu ni msaidizi wetu aliyetumwa kutusaidia kukamilisha kazi ya kujenga
ufalme wa Mungu hapa Duniani
Ndiye
pekee aliyepewa uwezo wa kutusaidia kutimiza mapenzi ya Mungu
·
Madhehebu
·
Makabila
·
Utajiri na umasikini
·
Rangi nk
Haya
ni mapambo na majengo yakujihifadhia tu
Lakini
mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa
mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata
mwisho wa nchi.
Matendo
ya Mitume 1 :8
Baada
ya huo utangulizi sasa tuingie katika somo letu la leo
Natambua
masomo ya walimu wenzangu waliotangulia
Nami
kwa unyenyekevu naomba nieleze kidogo tu
MAMBO MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA
KUHUSU ROHO MTAKATIFU
1.Anauwezo wa kufunua mbingu na kukupa uwezo
wa kuona ndani yake
Mdo
7:55
2.Roho mt anapatikana kwa njia kuu mbili
A.
Mara baada ya kubatizwa yaani unapotoka katika maji mengi
Luka 3:21,22
B.Kwa
kuwekewa mikono na watumishi ambao wamejazwa Roho mtakatifu
Mdo
19:2,Mdo 8:17
3.
Ndiye shahidi mwaminifu ambaye
akikueleza jambo ujue ni hakika na amina.
Shahidi
huyu anaaminika kuliko hata malaika na wakuu wa dini
Mdo
11:12
Lakini
yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona
utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo
ya Mitume 7 :55
4. Mara nyingi
huwa sambamba na neno la Mungu ndio maana Neno linapohubiriwa huambatana na
miujiza.
Siri
hii ndiyo inaitofautisha Biblia na vitabu vingine
5.Anaweza kuamua kuanza kubatiza watu
mwenyewe kabla ya ubatizo wa maji .
Jambo
hili alilitenda kwa kornelio hiyo mdo 11:15
21
Ikawa, watu wote walipokwisha kubatizwa, na Yesu naye amebatizwa, naye anaomba,
mbingu zilifunuka;
Luka
3 :21
22
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti
ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
Luka
3 :22
2
akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia
kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.
Matendo
ya Mitume 19 :2
17
Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
Matendo
ya Mitume 8 :17
12 Roho akaniambia nifuatane nao, nisione
tashwishi. Ndugu hawa sita nao wakaenda pamoja nami, tukaingia katika nyumba ya
mtu yule;
Matendo
ya Mitume 11 :12
15
Ikawa nilipoanza kunena, Roho Mtakatifu akawashukia kama alivyotushukia sisi
mwanzo.
Matendo
ya Mitume 11 :15
6.Roho
mtakatifu ndiye siri ya uwezo waliokuwa nao akina Musa, Eliya, Elisha ,na
manabii wote wa kweli waliopo sasa.
Unataka
kutenda kama wao kaa vizuri na Roho mtakatifu
27
Siku zizo hizo manabii walitelemka kutoka Yerusalemu hata Antiokia.
Matendo
ya Mitume 11 :27
21
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu
walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
2
Petro 1 :21
7.Roho mtakatifu anamipango yake tena ya
kipekee na hapendi kuingiliwa na mtu .
Unataka
kufanya maajabu na kwa ukamilifu na kuwa na utumishi uliotukuka msikilize na
kumtii
Basi
hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema,
Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia.
Matendo
ya Mitume 13 :2
3
Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha
waende zao.
Matendo
ya Mitume 13 :3
4
Basi watu hao, wakiisha kupelekwa na Roho Mtakatifu wakatelemkia Seleukia, na
kutoka huko wakasafiri baharini hata Kipro.
Matendo
ya Mitume 13 :4
8.Ndiye anayetusaidia kujua kipi halali na
kipi usifanye wakati gani
Mdo
9:1
1kor
12:3
Wakapita
katika nchi ya Frigia na Galatia, wakikatazwa na Roho Mtakatifu, wasilihubiri
lile neno katika Asia.
Matendo
ya Mitume 16 :6
Anaweza
kumchagua yeyote bila kujali umri wake katika huduma rangi wala kabila
Lakini
Sauli, akizidi kutisha na kuwaza kuwaua wanafunzi wa Bwana, akamwendea Kuhani
Mkuu,
Matendo
ya Mitume 9 :1
..Kwa
hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu
amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho
Mtakatifu.
1
Wakorintho 12 :3
Watu
wa Mungu hugombana na Mungu hapa wanadhani kisa ni haki yao basi ni halali
kuchukua kusema na hata kutenda
1
Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika
Roho Mtakatifu,
Warumi
9 :1
πMmiliki
wa kanisa ni Roho mtakatifu hawa maaskofu wachungaji nk ni waajiliwa shambani .
Ni
sawa na vinyozi, watu wa saluni , shoe shiner , mafundi cherehani wa mwili wa
Kristo
Mdo
20: 28
Ikawa,
Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika
Efeso; akakutana na wanafunzi kadha wa kadha huko;
Matendo
ya Mitume 19 :1
2
akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia
kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.
Matendo
ya Mitume 19 :2
3
Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana.
Matendo
ya Mitume 19 :3
28
Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka
ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu,
alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.
Matendo
ya Mitume 20 :28
1. Roho mtakatifu anatudhihirishia kuwa sisi ni sehemu ya ufalme .
Kupitia
π€πΎamani
moyoni
π€πΎkuwa
naHaki mbele za Mungu
π€πΎFuraha
isiyotegemea vinavyoonekana
Rumi
14:17
Rumi
15:13
2.
Roho mtakatifu husababisha sadaka zetu
kupata kibali kwa
⌨Kuzitakasa
⌨kukuelekeza
kiasi na kitu cha kutoa
⌨
Sehemu ya kupeleka
⌨
lini na kwa nani
:
π 16 ili niwe mhudumu wa Kristo Yesu kati ya watu wa Mataifa, niifanyie
Injili ya Mungu kazi ya ukuhani, kusudi Mataifa wawe sadaka yenye kibali,
ikiisha kutakaswa na Roho Mtakatifu.
Warumi
15:16
3.Roho mtakatifu pekee ndiye awezaye kufanya
miujiza na ishara za kweli na za kudumu .
Haya
tunayoyaona mengi ni maigizo
mazingaombww na uganga
Mdo
15:19
4. Roho
mtakatifu ndiye anayetuwezesha kuwa
ππΏ.
Safi
ππΏ.na
Elimu
ππΏ.Wavumilivu
ππΏ.Watu
wema
ππΏ.na
Upendo usio na unafiki
2korintho
6:6
5.
Roho mtakatifu akiwa anahuzunika kila
mara ndani yako hiyo ni dalili kuwa anataka kukuacha
Waefeso
4:30
Maana
ukileta unafiki wako atatujulisha tu
Ukijichafua
atatujjlisha
Ndio
maana hatuna haja ya sheria maana Roho wa Mungu mwenyewe atakushughulikia bila
huruma
6.
Huwezi kuwa mpya na kuachana na tabia
zako za kale kisa eti unasali kanisa la kilokole la ghorofa au la.
Tunafanywa
kwa kumpokea Roho mtakatifu
Tito
3:5
HITIMISHO
Amini
ufanyike kuwa mwanafunzi .
Batizwa ubatizo wa Yesu ili ukitoka kwenye
maji ujazwe na Roho mtakatifu.
Kubali
kuwekewa mikono na watumishi waliojazwa Roho mtakatifu.
Unataka kuwa mcha Mungu kubali kuwa Hekalu la
Roho mtakatifu
1
korintho 6:19
Pastor Sponga:
MUNGU
AWABARIKI SANA
Maoni
Chapisha Maoni