USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA
*π€£ USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA π₯*
Mwl.Peter Francis Masanja
What's app group
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
https://chat.whatsapp.com/HEplO5f5kuDA74vGPdIxI8
What's group App
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry
BWANA YESU ASIFIWE π
β Kuna kitu mtu wa Mungu lazima utambue kwamba hizi ni nyakati za mwisho.
β Nyakati hizi ni nyakati za hatari sana kwasababu watu wanaikataa kweli waziwazi wakifuata mafundisho ya uongo yatakayowapeleka motoni .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
_
1 Timotheo 4:1
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
1 Timotheo 4:2
β Siku hizi za wisho kumeibuka mahubiri ya majumba , magari, pesa , n.k
β Ni kipindi ambacho mambo mengi yanayofurahisha mioyo ya watu ambayo yapo kinyume cha Mungu yanaruhusiwa katika baadhi ya makanisa.
β Kipindi hiki dhambi haikemewi na baadhi ya wahubiri wanahubiri utajiri kuliko kuwahubiri watu waokoke waishi maisha matakatifu .
β Baadhi ya watumishi walioitwa na Mungu wakikemea dhambi kama maandiko yasemavyo
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 1 Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake;
2 Timotheo 4:1
2 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
2 Timotheo 4:2
3 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti;
2 Timotheo 4:3
4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
2 Timotheo 4:4
5 Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
2 Timotheo 4:5
β Basi watu hawa wakikemea dhambi ( uovu ) wanachukiwa sana .
Kutokana na kukariri maandiko bila kuyajua wakemewao huwaambia hivi
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
Mathayo 7:1
βWakisahau kuwa maandiko yanasema .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 2 Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili kukata hukumu zilizo ndogo?
1 Wakorintho 6:2
3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?
1 Wakorintho 6:3
β Basi kwa sababu ya kuikana kweli watu wanakataa maonyo na kufuata roho zidanganyazo huku wakienda motoni.
β. Imekuwa desturi ya watu waliookoka wakiambiwa acha dhambi hii itakupeleka motoni .
Wanaikataa kweli wakidai wanahukumiwa huku wakimwasi Mungu .
Mwisho wa kunukuu hatukulazimishi kupokea maonyo .
Chagua kupokea maonyo ukaishi au uyakatae ufe .
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
YER 15:19-20
Mwl.Peter Francis Masanja
What's app group
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
https://chat.whatsapp.com/HEplO5f5kuDA74vGPdIxI8
What's group App
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry
BWANA YESU ASIFIWE π
β Kuna kitu mtu wa Mungu lazima utambue kwamba hizi ni nyakati za mwisho.
β Nyakati hizi ni nyakati za hatari sana kwasababu watu wanaikataa kweli waziwazi wakifuata mafundisho ya uongo yatakayowapeleka motoni .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
_
1 Timotheo 4:1
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
1 Timotheo 4:2
β Siku hizi za wisho kumeibuka mahubiri ya majumba , magari, pesa , n.k
β Ni kipindi ambacho mambo mengi yanayofurahisha mioyo ya watu ambayo yapo kinyume cha Mungu yanaruhusiwa katika baadhi ya makanisa.
β Kipindi hiki dhambi haikemewi na baadhi ya wahubiri wanahubiri utajiri kuliko kuwahubiri watu waokoke waishi maisha matakatifu .
β Baadhi ya watumishi walioitwa na Mungu wakikemea dhambi kama maandiko yasemavyo
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 1 Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake;
2 Timotheo 4:1
2 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
2 Timotheo 4:2
3 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti;
2 Timotheo 4:3
4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
2 Timotheo 4:4
5 Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
2 Timotheo 4:5
β Basi watu hawa wakikemea dhambi ( uovu ) wanachukiwa sana .
Kutokana na kukariri maandiko bila kuyajua wakemewao huwaambia hivi
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
Mathayo 7:1
βWakisahau kuwa maandiko yanasema .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 2 Au hamjui ya kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili kukata hukumu zilizo ndogo?
1 Wakorintho 6:2
3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?
1 Wakorintho 6:3
β Basi kwa sababu ya kuikana kweli watu wanakataa maonyo na kufuata roho zidanganyazo huku wakienda motoni.
β. Imekuwa desturi ya watu waliookoka wakiambiwa acha dhambi hii itakupeleka motoni .
Wanaikataa kweli wakidai wanahukumiwa huku wakimwasi Mungu .
Mwisho wa kunukuu hatukulazimishi kupokea maonyo .
Chagua kupokea maonyo ukaishi au uyakatae ufe .
https://peterfrancismasanja.blogspot.com
YER 15:19-20
Maoni
Chapisha Maoni