USIPENDE KUOMBEWAOMBEWA , SIMAMA MWENYEWEπ*
*π USIPENDE KUOMBEWAOMBEWA , SIMAMA MWENYEWEπ*
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
β Wakati natoka kwenye ibada ya maombi mchana huu Roho wa Mungu akaniambia , Mwl.Peter waambie watu wangu waliompokea Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yao kwamba ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Sitasema nao kupitia wewe bali nitasema nao kupitia neno hili ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π *_1 Akaniambia, Mwanadamu, simama kwa miguu yako, nami nitasema nawe_*
Ezekieli 2:1
β Mtu wa Mungu baada ya kusikia hiyo sauti nikaona tena nikukumbushe kwamba Mungu anasema na wewe kupitia maombi yako .
β Hajaishia hapo akakusafisha ukawa safi kabisa , ukatakaswa
Kama maandiko yanavyosema hapa
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 9 Kisha nikakuosha kwa maji; naam, nalikuosha kabisa damu yako, nikakupaka mafuta;
Ezekieli 16:9
β Kumbuka Mungu alipokutoa ulikuwa mchafu yaani kwenye uchafu kweli kama maandiko yanavyosema hapa
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 4 Na katika habari za kuzaliwa kwako, siku ile uliyozaliwa, kitovu chako hakikukatwa, wala hukuoshwa kwa maji usafishwe; hukutiwa chumvi hata kidogo, wala hukutiwa katika nguo kabisa.
Ezekieli 16:4
5 Hapana jicho lililokuhurumia, ili kukutendea lo lote la mambo hayo kwa kukuhurumia; lakini ulitupwa nje uwandani, kwa kuwa nafsi yako ilichukiwa, katika siku ile uliyozaliwa.
Ezekieli 16:5
6 Nami nilipopita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako, nalikuambia, Ujapokuwa katika damu yako, uwe hai; naam, nalikuambia, Ujapokuwa katika damu yako, uwe hai.
Ezekieli 16:6
β Bado tena akaniambia nikuambie kwamba ili uweze kusimama mbele za adui lazima uache maisha ya dhambi ili awe pamoja nawe .
Kama maandiko yasemavyo :
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia katika mikono ya watu waliowateka nyara, akawauza na kuwatia katika mikono ya adui zao pande zote; hata wasiweze tena kusimama mbele ya adui zao.
Waamuzi 2:14
β Baada ya kuacha dhambi Mungu atawapiga adui zako wote nawe huku ukiuona ukuu wa Mungu .
π 20 Nami nitakufanya kuwa kama ukuta wa boma la shaba juu ya watu hawa; nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, ili nikuokoe, na kukuponya, asema Bwana.
Yeremia 15:20
21 Nami nitakuokoa na mkono wa watu wabaya, nami nitakukomboa katika mkono wao wenye kutisha.
Yeremia 15:21
β Akaendelea kusema kwamba , unaweza ukateswa na magonjwa mengi sana kwasababu umemwacha Mungu na kugeukia miungu mingine ππ»ββππ»ββππ»ββππ»ββ
π² Embu angalia hii miungu unayoweza ukawa unaitumikia .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Uzinziπ
Uasheratiπ
Chukiπ
Hasira ambayo huzaa uchungu
Na matokeo yake vidonda vya tumbo ππ»ββππ»ββ
Baada ya kuitumikia miungu hiyo Mungu akakutenda mabaya .
Kama maandiko yanavyosema
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 11 Wana wa Israeli walifanya yaliyokuwa ni maovu mbele za macho ya Bwana, nao wakawatumikia Mabaali.
Waamuzi 2:11
12 Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewaleta kutoka katika nchi ya Misri, wakafuata miungu mingine, baadhi ya miungu ya watu wale waliokaa karibu nao pande zote, wakajiinamisha mbele yao; wakamkasirisha Bwana, akaghadhibika.
Waamuzi 2:12
13 Wakamwacha Bwana, wakamtumikia Baali na Maashtorethi.
Waamuzi 2:13
14 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia katika mikono ya watu waliowateka nyara, akawauza na kuwatia katika mikono ya adui zao pande zote; hata wasiweze tena kusimama mbele ya adui zao.
Waamuzi 2:14
15 Kila walikokwenda mkono wa Bwana ulikuwa juu yao kuwatenda mabaya, kama Bwana alivyosema, na kama Bwana alivyowaapia; nao wakafadhaika sana.
Waamuzi 2:15
β Akasema tena kwamba siyo kila shida uliyonayo ni shetani bali kuna dhambi siku ukiiacha ukatubu Mungu ataokoa kabisa .
Inawezekana ni binti unasumbuliwa na mapepo unaenda kanisani kuombewa yanatoka
Halafu jioni unaenda kwa bwana kujichafua π
Mapepo yanarudi tena zaidi ya sana πππ
Usipoacha hiyo dhambi utamaliza watumishi wote bila kupona π₯π₯π₯π₯
Ondoa hiyo miungu ili Bwana akuponye
β Mungu hakufrahii kuugua kwako lakini anataka uondoe miungu uliyonayo
Hata michepuko ni miungu π€£π€£π€£
Ulevi ni miungu πππ
Zinaa kwa ujumla ni miungu π€£π€£π€£
Embu kuanzia leo kaondoe uone kama Mungu hajakuweka viwango vya juu
Israel walipoiondoa miungu , Mungu aliwaponya kabisa kama maandiko yasemavyo
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π 15 Wana wa Israeli wakamwambia Bwana Tumefanya dhambi; utufanyie yote uyaonayo kuwa ni mema; lakini tuokoe, twakusihi, siku hii ya leo, haya tu.
Waamuzi 10:15
16 *Nao wakaiondoa hiyo miungu ya kigeni iliyokuwa kati yao, nao wakamtumikia Bwana; na roho yake ilihuzunika kwa sababu ya msiba wa Israeli.*
Waamuzi 10:16
β Kumbe matatizo mengine chanzo chake ni dhambi zetu π¨π¨π¨π¨
Ili tupone lazima kuacha hizo dhambi lazima useme
Kwaheri uzinzi ππππ»ββππ»ββ
Kwaheri uasherati ππππ»ββππ»ββ
Kwaheri michepuko mmenifilisi mno mkaniharibia ndoa yangu ππππ»ββππ»ββ
Kwaheri pombe ππππ»ββππ»ββ
Kisha Yesu akamponya yule mgonjwa akamwambia hivi
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π *Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.*
Yohana 5:14
β Kwahiyo napenda nikwambie kwamba ili Mungu akutendee simama mwenyewe acha uovu kisha omba lolote atakutendea .
Kama maandiko yanavyosema
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π *Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa* .
Yohana 15:7
β Basi na mimi Mwl.Peter Francis Masanja nahitimisha kwa kusema kwamba
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π Unaweza ukasimama mbele za Mungu ukisema akuponye lakini kama unaishi maisha ya dhambi kupona kwako sahau .
β Hata ubadilishe watumishi kama nguo kama hujaacha dhambi mabaya yatakuandama tu .
Mwisho kabisa nasema hivi ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π₯ Ili Mungu aseme na wewe na akuokoe zingatia saaana yafuatayo
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
ππ» Tubu na kuacha dhambi kabisa.
ππ» Ishi maisha ya kufunga na kuomba
ππ» Soma neno .
Na mengineyo .....
Mungu akubariki sana
ππππππππ
Maoni
Chapisha Maoni