USIUIGE UBAYA
π *USIUIGE UBAYA* π
β Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
π» 11 *Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.*
3 Yohana 1:11
β Kuna baadhi ya Wakristo leo kanisani wamekuwa waigaji wa maovu kutoka kwa watumishi waovu .
β Wakristo hawa wanaitwa wa kina *mbona fulani anafanya*π¨π¨
β Wakristo hawa wamekuwa adui wa Mungu kwa kuiga ubaya.
β Wanajidhania wao ni watu wa Mungu kumbe wanamilikiwa na ibilisi .
β Wamebaki kusema kwamba
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π€·π»ββ mbona mtumishi fulani anafanya .
π€·π»ββ Mbona fulani alizaa kabla ya ndoa na amebarikiwa .
π€·π»ββ mbona kuna mtumishi anafanya hilo lakini akisimama madhabahuni anaupako β
β Tumefikia nyakati za hatari ambapo watu wanaiga ubaya yaani dhambi .
β Ninataka ujifunze kwamba ukiwa na kauli za mbona fulani anafanya ujue unamilikiwa na adui .
β. Iga mema usiige ubaya maana aigaye ubaya ni wa shetani .
β Wengi wameshindwa kujua kwamba upako hautoki kwa Mungu pekee hata shetani anaupako na anatenda ishara na ajabu .
β Pia utambue kuwa hata mashetani nayo hunena .
βUnaposema mbona fulani anafanya unamsaidia shetani kueneza uovu kanisani na anakumiliki kabisa ijapokuwa unajihudhurisha kanisani wewe ukifikia hatua ya mbona fulani ujue huko unakoelekea utamaliza vibaya safari yako ya wokovu .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π» 8 Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.
Mhubiri 7:8
β Ulipookoka hukuiga ubaya ulianza vizuri sana lakini umesoma neno na kuanza kusema mbona fulani .
β Je , unatambua kuwa unaweza ukawa mhubiri mzuri sana na mwimbaji mzuri sana kanisani lakini kama unaiga ubaya wewe ni mtumwa wa shetani β
β HizBwana Yesu asifiwe hazikufishi mbinguni kama unaiga ubaya maana Mungu atakuja kuchambua kanisani mbuzi na kondoo .
Heri uwe kondoo .
β Usiseme unamjua Mungu kama unaiga ubaya
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π» 16 *Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala kwa kila tendo jema hawafai.*
Tito 1:16
Mungu akubariki sana
Nakutakia tafakari njema .
Mwl.Peter Francis Masanja
From : SMM
App : https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry
ππππππππππππ
β Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
π» 11 *Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.*
3 Yohana 1:11
β Kuna baadhi ya Wakristo leo kanisani wamekuwa waigaji wa maovu kutoka kwa watumishi waovu .
β Wakristo hawa wanaitwa wa kina *mbona fulani anafanya*π¨π¨
β Wakristo hawa wamekuwa adui wa Mungu kwa kuiga ubaya.
β Wanajidhania wao ni watu wa Mungu kumbe wanamilikiwa na ibilisi .
β Wamebaki kusema kwamba
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π€·π»ββ mbona mtumishi fulani anafanya .
π€·π»ββ Mbona fulani alizaa kabla ya ndoa na amebarikiwa .
π€·π»ββ mbona kuna mtumishi anafanya hilo lakini akisimama madhabahuni anaupako β
β Tumefikia nyakati za hatari ambapo watu wanaiga ubaya yaani dhambi .
β Ninataka ujifunze kwamba ukiwa na kauli za mbona fulani anafanya ujue unamilikiwa na adui .
β. Iga mema usiige ubaya maana aigaye ubaya ni wa shetani .
β Wengi wameshindwa kujua kwamba upako hautoki kwa Mungu pekee hata shetani anaupako na anatenda ishara na ajabu .
β Pia utambue kuwa hata mashetani nayo hunena .
βUnaposema mbona fulani anafanya unamsaidia shetani kueneza uovu kanisani na anakumiliki kabisa ijapokuwa unajihudhurisha kanisani wewe ukifikia hatua ya mbona fulani ujue huko unakoelekea utamaliza vibaya safari yako ya wokovu .
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π» 8 Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.
Mhubiri 7:8
β Ulipookoka hukuiga ubaya ulianza vizuri sana lakini umesoma neno na kuanza kusema mbona fulani .
β Je , unatambua kuwa unaweza ukawa mhubiri mzuri sana na mwimbaji mzuri sana kanisani lakini kama unaiga ubaya wewe ni mtumwa wa shetani β
β HizBwana Yesu asifiwe hazikufishi mbinguni kama unaiga ubaya maana Mungu atakuja kuchambua kanisani mbuzi na kondoo .
Heri uwe kondoo .
β Usiseme unamjua Mungu kama unaiga ubaya
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
π» 16 *Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala kwa kila tendo jema hawafai.*
Tito 1:16
Mungu akubariki sana
Nakutakia tafakari njema .
Mwl.Peter Francis Masanja
From : SMM
App : https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry
ππππππππππππ
Maoni
Chapisha Maoni