KIBALI NA WITO
*🖊 KIBALI NA WITO* 🖊
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
SAUTI YA MUNGU MINISTRY
🖊 Bwana Yesu Kristo apewe sifa .
🖊 Leo tuangazie tofauti kati ya kibali na wito .
📖 7 *Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.*
Mwanzo 4 :7
🖊 Tunamwona Kaini hakubarikiwa na Mungu kwa sababu hakutenda vema yaani sadaka aliyoitoa haikuwa njema kwa Mungu .
🖊 Kibali ni majibu ya chanya ya kile ukiombacho mbele za Mungu .
🖊 Kibali ni baraka ambayo mtu anaipata kutoka kwa Mungu..
🖊 Kibali ni matokeo mazuri ya kitu ambacho mtu kakiomba kuonyesha kuwa maombi yake yamekubaliwa .
🖊 Kaini hakupata majibu ya maombi yake kwa sababu sadaka yake haikumpendeza Mungu .
🖊 Vivyo hivyo hata leo watu hawapati majibu ya maombi yao yaani kibali kwasababu ya dhambi au kutokujua kuomba .
🖊 WITO
Wito au kuitwa na Mungu ni kitendo cha Mungu kumweka mtu kwaajili ya kutimiza kusudi au kufanya kazi fulani akiwepo hapa duniani .
Yeremia aliitwa kuwa nabii .Alipewa kazi hiyo na Mungu aifanye .
📖 *5 Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.*
Yeremia 1 :5
🖊 Mtu aliyeitwa na Mungu ,Mungu humfundisha nini cha kufanya .Na kile akifanyacho akifanya sawasawa na neno la Mungu .
🖊 Aliyeitwa huisimamia kweli ya Mungu hatafuata matakwa ya wanadamu bali ataliangalia neno .
Mungu akubariki
Install app yetu kupata masomo mengine
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
SAUTI YA MUNGU MINISTRY
🖊 Bwana Yesu Kristo apewe sifa .
🖊 Leo tuangazie tofauti kati ya kibali na wito .
📖 7 *Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.*
Mwanzo 4 :7
🖊 Tunamwona Kaini hakubarikiwa na Mungu kwa sababu hakutenda vema yaani sadaka aliyoitoa haikuwa njema kwa Mungu .
🖊 Kibali ni majibu ya chanya ya kile ukiombacho mbele za Mungu .
🖊 Kibali ni baraka ambayo mtu anaipata kutoka kwa Mungu..
🖊 Kibali ni matokeo mazuri ya kitu ambacho mtu kakiomba kuonyesha kuwa maombi yake yamekubaliwa .
🖊 Kaini hakupata majibu ya maombi yake kwa sababu sadaka yake haikumpendeza Mungu .
🖊 Vivyo hivyo hata leo watu hawapati majibu ya maombi yao yaani kibali kwasababu ya dhambi au kutokujua kuomba .
🖊 WITO
Wito au kuitwa na Mungu ni kitendo cha Mungu kumweka mtu kwaajili ya kutimiza kusudi au kufanya kazi fulani akiwepo hapa duniani .
Yeremia aliitwa kuwa nabii .Alipewa kazi hiyo na Mungu aifanye .
📖 *5 Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.*
Yeremia 1 :5
🖊 Mtu aliyeitwa na Mungu ,Mungu humfundisha nini cha kufanya .Na kile akifanyacho akifanya sawasawa na neno la Mungu .
🖊 Aliyeitwa huisimamia kweli ya Mungu hatafuata matakwa ya wanadamu bali ataliangalia neno .
Mungu akubariki
Install app yetu kupata masomo mengine
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry
Maoni
Chapisha Maoni