NAKUANDIKIA HAYA UYAFAHAMU
*🖊 NAKUANDIKIA HAYA UYAFAHAMU 🖊*
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
🖊 Matendo mema hayampeleki mtu mbinguni ❌❌
🖊 Jifikirie sana , unaweza ukatenda mema kwa watu na ukawa mwovu kabisa mbele za Mungu .
🖊 Fikiria hata kahaba na mwizi anaweza kutendea watu mema .
🖊 Fikiria wengine ni wafanya kazi wanaiba fedha na huku pia wanasaidia watu .
🖊 Fikiria wazinzi nao hujitoa kuhudumia familia za watu na kusomesha mabinti za watu 😁😁😁
🖊 Njia nzuri ya kuurithi uzima wa milele ni kuwa mtakatifu mbele zake Mungu bila kusahau kumkiri Kristo .
🖊 Tenda mema kwa watu huku ukiishi dhambini ukifa watasema ulitenda mema , hayo mema Mungu hayajui kama hukuwa Mtakatifu
Watasema R.I.P bure haikufanyi Mungu akupe kibali cha kuingia katika ufalme wa mbinguni .
Uwe makini sana siyo kila atendaye mema ataingia katika ufalme wa mbinguni
Bali yule aishie maisha matakatifu
Rejea Mathayo 7:21-23
Tambua basi kuwa si kila atendaye mema kwa watu ataurithi ufalme wa mbingini bali yule mtakatifu .
Mwl.Peter Francis Masanja
0679392829
🖊 Matendo mema hayampeleki mtu mbinguni ❌❌
🖊 Jifikirie sana , unaweza ukatenda mema kwa watu na ukawa mwovu kabisa mbele za Mungu .
🖊 Fikiria hata kahaba na mwizi anaweza kutendea watu mema .
🖊 Fikiria wengine ni wafanya kazi wanaiba fedha na huku pia wanasaidia watu .
🖊 Fikiria wazinzi nao hujitoa kuhudumia familia za watu na kusomesha mabinti za watu 😁😁😁
🖊 Njia nzuri ya kuurithi uzima wa milele ni kuwa mtakatifu mbele zake Mungu bila kusahau kumkiri Kristo .
🖊 Tenda mema kwa watu huku ukiishi dhambini ukifa watasema ulitenda mema , hayo mema Mungu hayajui kama hukuwa Mtakatifu
Watasema R.I.P bure haikufanyi Mungu akupe kibali cha kuingia katika ufalme wa mbinguni .
Uwe makini sana siyo kila atendaye mema ataingia katika ufalme wa mbinguni
Bali yule aishie maisha matakatifu
Rejea Mathayo 7:21-23
Tambua basi kuwa si kila atendaye mema kwa watu ataurithi ufalme wa mbingini bali yule mtakatifu .
Maoni
Chapisha Maoni