π° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA π*

π° MBINU ZA KUFUNGA NA KUOMBA π* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 π° BWANA YESU ASIFIWE π Nakukaribisha tena katika somo hili wewe ndugu au rafiki yangu wa imani tujifunze kwa pamoja . π Kufunga na kuomba kuna faida kubwa sana kwa kila aliyempokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake π *NAMNA GANI UTAFUNGA NA KUOMBA* ? π Utakapoanza kufunga na kuomba utaona mafanikio makubwa sana kiroho .Sasa unatakiwa upitie hatua fulani ili upate muda mzuri wa kuzungumza na Mungu . π *HATUA ZA KUFUATA KATIKA KUFUNGA NA KUOMBA* π° 1β£ _WEKA MALENGO YAKOππ π° Kwanini unafunga ? Je unafunga kwa sababu ipi ama kwa ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» π Kurudisha uhusiano wako na Mungu π Kutafta uongozi wa Mungu π Kutafta uponyaji . π Kwa ajili ya suluhu ya tatizo π Kutafta namna ya kutatua tatizo . Mwambie Roho Mtakatifu akuongoze na kukupa maelekezo katika malengo ya kufunga kwako . Hii itakusaidia uombe kwa kulenga kwenye eneo maalumu na kwa...