Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2018

AHADI YA MUNGU

Picha
*πŸ“–πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’»AHADI YA MUNGU* πŸ‘‰Kumseta shetani chini ya miguu yako πŸ“–πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 20 Naye Mungu wa amani atamseta Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi. [Amina.] Warumi 16 :20 πŸ‘‰ Kukukomboa na nguvu za kaburi na roho ya mauti πŸ“–πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 14 Nitawakomboa na nguvu za kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Kujuta kutafichwa na macho yangu. Hosea 13 :14 πŸ‘‰ Kukupatia ulinzi πŸ“–πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha Bwana, msi we na kimya; Isaya 62 :6 https://peterfrancismasanja.blogspot.com

KUWATII VIONGOZI

[2/21, 13:40] Rev.Peter Francis: *πŸ’»KWANINI UWATII WATUMISHI WA MUNGU ( WANAOWAONGOZA) ❓* πŸ’»πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 17 Watiini wenye kuwaongoza, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa kuugua; maana isingewafaa ninyi. Waebrania 13 :17 18 Tuombeeni; maana tunaamini kwamba tuna dhamiri njema, tukitaka kuwa na mwenendo mwema katika mambo yote. Waebrania 13 :18 [2/21, 13:42] Rev.Peter Francis[2/21, 13:40] Rev.Peter Francis: *πŸ’»KWANINI UWATII WATUMISHI WA MUNGU ( WANAOWAONGOZA) ❓* πŸ’»πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 17 Watiini wenye kuwaongoza, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa kuugua; maana isingewafaa ninyi. Waebrania 13 :17 18 Tuombeeni; maana tunaamini kwamba tuna dhamiri njema, tukitaka kuwa na mwenendo mwema katika mambo yote. Waebrania 13 :18 [2/21, 13:42] Rev.Peter Francis: πŸ‘‰Kiongozi yeyote wa kiroho

HASARA YA KUSHINDWA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU NA WANADAMU πŸ’»

Picha
πŸ’»HASARA YA KUSHINDWA KUFANYIKA KIELELEZO MBELE ZA MUNGU NA WANADAMU πŸ’»  πŸ’»πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 17 Kwa maana wakati umefika wa hukumu kuanza katika nyumba ya Mungu; na ikianza kwetu sisi, mwisho wao wasioitii injili ya Mungu utakuwaje? 1 Petro 4 :17  πŸ‘‰ Mungu anapotaka kulihukumu kanisa huanza na viongozi kwanza : πŸ‘‰Kama viongozi wanaowaongoza ni waovu kanisa linapata shida sana  πŸ‘‰Kiongozi, awe mchungaji , mwalimu , nabii , mtume au mwinjilist  akiwa anafanya uovu kuna hatari sana katika kanisa la Mungu  πŸ‘‰Inafikia hatua hata tunaowaongoza hawapendezwi na yale tuyatendayo πŸ‘‰Tumekosa kuwa vielelezo ( mfano wa kuigwa ) πŸ‘‰ZIFUATAZO NI HATARI ZA KUSHINDWA KUFANYIKA KIELELEZO *1⃣KUKOSESHA WATU WA MUNGU*_ πŸ’»πŸ‘¨πŸ»‍πŸ’» 22 Basi Eli alikuwa mzee sana; naye alisikia habari za mambo yote ambayo wanawe waliwatenda Waisraeli; na jinsi walivyolala na wanawake waliokuwa wakitumika mlangoni pa hema ya kukutania. 1 Samweli 2 :22 23 Akawaambia, Mbona mnatenda mambo kama hayo? Maana

MUNGU AWE PAMOJA NAWE

*πŸ’»MUNGU AWE PAMOJA NAWEπŸ’Ύ* Mwlm .Peter Francis πŸ‘‰ Mungu akulinde popote uendako . πŸ’»πŸ’Ύ 1 Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. Zaburi 23 :1 2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Zaburi 23 :2 3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. Zaburi 23 :3 4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Zaburi 23 :4 5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika. Zaburi 23 :5 6 Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele. Zaburi 23 :6 πŸ‘‰ Popote uendapo Mungu akuongoze . πŸ’»πŸ’» Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata. Isaya 48:17 htt

TAFSIRI YA NENO KIROHO

Picha
TAFSIRI YA NENO KIROHO 12 Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. Waebrania 4 :12 NENO πŸ‘‰ linaishi ( li hai ) πŸ‘‰ linanguvu ⇏ πŸ‘‰ linakata ⇏ Linachoma ⇏linatambua makusudi ya moyo ⇏ Neno ni roho ⇏ Neno linakamata ⇏ Neno ni mtego ⇏ Neno linaumba ⇏Neno linajenga imani ndani ya mtu ⇏ Tuanze sasa kuona tabia za neno ⇏Kabla hatujaangalia sifa za neno unatakiwa ujue kuwa neno linaweza kumkamata au kumfunga mtu kwa kinywa chake mwenyewe kulingana na jinsi alivyojitamkia. ⇏Neno linaweza likatamkwa na mtu lakini likakukamata utakapokuwa umeamua kulisikia. ⇏ Kuna tofauti kati ya kusikiliza na kusikia. ⇏ Kusikiliza kunamfanya mtu afurahie tu sauti ya kitu fulani na asikumbuke tena . ⇒kusikia ni kushika kile ulichokisikiliza yaani neno ⇒Naomba niis

YESU ALISHINDA MAUTI

πŸ’»πŸ’Ύ Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi, Waebrania 2:14 awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa. Waebrania 2:15

MUNGU NI KIONGOZI WA MAPITO YAKO

Picha
Yehova Anawaongoza Watu Wake “Yehova [atakuongoza] sikuzote.”— ISA. 58:11 . NYIMBO: 152, 22 JE, UNAWEZA KUELEZA? Ni kwa njia gani wanaume waliotumiwa na Mungu kuongoza watu wake wa kale na vilevile Yesu Kristo walionyesha kwamba . . .  walitiwa nguvu na roho takatifu? walisaidiwa na malaika? waliongozwa na Neno la Mungu? 1, 2. (a) Wale wanaoongoza kati ya Mashahidi wa Yehova wanatofautianaje na viongozi wa dini nyingine? (b) Tutachunguza mambo gani katika makala hii na itakayofuata? “KIONGOZI wenu ni nani?” Mashahidi wa Yehova huulizwa swali hilo mara nyingi. Na hilo halishangazi! Dini nyingi huongozwa na mwanamume au mwanamke mmoja. Tofauti nao, tunafurahi kuwaeleza wanaotuuliza kwamba Kiongozi wetu si mwanadamu asiye mkamilifu. Badala yake, tunafuata mwongozo wa Kristo aliyefufuliwa, ambaye pia hufuata mwongozo wa Baba yake, Yehova.— Mt. 23:10 . 2 Hata hivyo, kuna kikundi cha wanaume wanaosimamia kazi kati ya watu wa Mungu leo ambao Biblia huwaita “m

KARAMA NA TUNDA LA ROHO MTAKATIFU

Picha
KARAMA NA TUNDA LA ROHO MTAKATIFU (Gifts and Fruits of the Spirit) https://peterfrancismasanja.blogspot.com UTANGULIZI: I.                   Who is the Holly sprit? (huyu Roho Mtakatifu ni nani?) (kulingana na majina ya asili ya Roho mtakatifu yeye anaitwa ni Roho wa Mungu (Hebr. 9:14; Zab 39:7 – 10; Luka 1:35; Kor 2:10 – 11 ). Yeye anaitwa kwa sababu ana sifa za Mungu. Math 18 na pia Roho Mtakatifu ni mtu au nafsi kwa sababu ana sifa za ubinadamu. II.                Yeye anaufahamu au kukumbuka (Rum 8:26 – 27)         Yeye ana will – Ana mapenzi (1 Kor 12:11)         Yeye ana feeling – Anaona (Efe 4:30)         Yeye ana intercedes – Anatuombea (Rum 8:16)         Yeye ana speaks – Anaamuru (Mdo 16:6-7, Uf 2:7)         Testifies – Anashuhudia (Yn 13:26) III.             Roho Mtakatifu anaitwa Roho wa Kristo, kwa sababu alitumw akwa jina la Yesu, (Yn 14:25; 1:12-13, 4:10, 7:28; Math 3:11).         Pia Roho Mtakatifu anaitwa Roho w