Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2018

UMUHIMU WA MAOMBI YA KILA SIKU

Picha
[1/26, 22:22] Mr Zawad Ngailo: *UMUHIMU WA MAOMBI YA KILA SIKU* Mpendwa msomaji Kwa muda mrefu nimekuwa nikikuletea mfululizo wa masomo kuhusu Maombi na Leo nakuletea ujumbe mfupi unaozungumzia umuhimu wa Maombi ya kila siku.    Maombi ni njia nzuri ya kuwasiliana na Mungu . Ni gari ya kila siku inayobeba majibizano na mmoja aliyetuumba sisi . Umuhimu wa Maombi ya kila siku hatuwezi kuuzidisha kwa kiwango cha ziada wala kukadiriwa . Ni muhimu na Biblia ndio maana inatuonyesha zaidi ya 200 Umuhimu wa Maombi ✍Maombi ya kila  siku yanatupa nafasi ya kushirikishana vitu vyote vinavyohusu MAISHA yetu na Mungu ✍Yanatupa nafasi ya kuelezea uzuri wa matendo aliyotutendea ✍Yanatupa nafasi ya kutubu dhambi zetu na kuomba msaada ili kuepukana na dhambi ✍Ni kitendo cha kumwabudu na kumtii Mungu ✍Ni kitendo cha kumshukuru Mungu kwa kuyaongoza MAISHA yetu 1⃣Kutupa nafasi ya kubadilishana vitu vinavyohusu maisha yetu      Msingi wa Maisha unabadiliki kila siku ,mambo yetu ,mipango yet

FAIDA YA KUOMBA KWA KUTUMIA NENO

Picha
FAIDA YA KULITUMIA NENO KWENYE MAOMBI [1/24, 22:15] Mr Zawad Ngailo: Maombi mazuri pia kwetu ni kutumia NENO la Mungu pia ili kumuonyesha Mungu kitu kilichopo ndani yetu .. Mfano Zaburi  107:20 Hulituma neno lake, huwaponya,Huwatoa katika maangamizo yao.     Ukimwambia nalituma NENO la ko likawaokeo kumbuka atakwenda kufanya kile unenacho ..... Nguvu ya Maombi inatoka kwa Mungu mwenyewe Kwenye kusima cha haki Lakini tunapotuma maombi ahadi zake zinajieleza Kutoka moyoni. : Tunajua tunakubaliana na Mungu kwa kutumia NENO lake katika (Sala na Maombi). Kadri tunavyo kumbuka maneno ya kwenye Biblia .. Yatakuwa sehemu yetu : Ukweli tunaojifunza utaingia kwenye   fahamu zetu /fikra zetu ( Mind) tunapokuwa tunaomba [ : Na majibu tunayoyatafuta tunayapokea Tunaposhindwa kuomba tukijua kutumia maandiko ( NENO la Mungu ) tutaongeza maneno ya kuomba Kama hujatambua IPO siri kubwa mno katika kulifahamu kwa wingi NENO la Mungu na kuomba sana Msomaji mzuri wa NENO ni mwombaji mzur

FAIDA YA KUOMBA TOBA

Picha
IJUE FAIDA YA TOBA KABLA YA MAOMBO [1/24, 21:44] Mr Zawad Ngailo: Yakobo  5:16 Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. 1Yohana 5:14 Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. 15 Na kama tukijua kwamba atusikia, tuombacho chote , twajua kwamba tunazo zile haja tulizomwomba . Biblia inasema Ungameni dhambi zetu ninyi kwa ninyi na kuombeana ,Mpate kuponywa Mpendwa katika Kristo tunaishi katika hali ya dhambi na tumetenda dhambi machoni pa Mungu na ndio maana anataka tuungame /Tutubu dhambi zetu sisi kwa sisi . ✍ Kundi hili linaitwa Darasa la Maombi Darasa ni mahali pa kujifunzia .. Nini tunachojifunza hapa ni kwa habari za Maombi Kumbuka  Maombi siku zote ni lazima kwetu sote Maombi si jambo la hiari Bali ni la lazima Kila MTU ni lazima aombe Na katika kuomba ili Mungu akujibu lazima ufuate kanuni na taratibu baadhi ili uweze kusiki

DHAMBI YA UZINZI

[1/23, 20:32] Rev. Peter Francis: *🔥HATARI YA UASHERATI NA UZINZI 🔥* 📖🖍Mwl.Peter Francis 🏹🏹🏹🏹🏹 🔥🔥UASHERATI NI KIFO CHA KIMWILI NA KIROHO . 👉🏼 Uasherati na uzinzi ni dhambi za mwili ambazo zinamchafua mtu na kukataliwa na MUNGU kiroho asipotubu kikamilifu  👉🏼dhambi hizi zinachafua mwili na kumfanya roho wa MUNGU amkimbie mtu . 👉🏼 Dhambi hizi zinaua kiroho na kimwili [1/23, 20:55] Rev. Peter Francis: 👉🏼 *KIMWILI* Mtu anaweza kupata magonjwa Mtu anaweza kuchakaa Kukosa heshima 👉🏼 *KIROHO* Mtu anakosa akili Mtu anakosa maarifa Mtu anakosa ibada Kwasababu ufahamu wake umefungwa  Hatari zingine ni kuandamwa na roho ya umaskini na kukataliwa [1/23, 20:55] Rev. Peter Francis: 📖🖍 3 Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta; Mithali 5 :3 4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili. Mithali 5 :4 5 Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua za

NGUVU YA MAOMBI

Picha
*🔥TRIUMPHANTIC AND VICTORIOUS PRAYER 🔥* Peter Francis 0679392829 francispeter424@gmail.com 🔥 KATIKA JINA LIPITALO MAJINA YOTE LA BWANA WETU YESU KRISTO . 🔥NINAAMURU KILA NGUVU ZA GIZA NA UFALME ZA GIZA ZIPIGE MAGOTI MBELE YA YESU , NA KILA ULIMI UKIRI KUWA YESU NI BWANA .MAANA IMEANDIKWA KATIKA WAFILIPI 2:10_11 KUSEMA : 📖🖍 10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; Wafilipi 2 :10 11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba. Wafilipi 2 :11 🔥 NASIMAMIA ANDIKO HILI KUAMURU KILA GOTI LIPIGWE , LA VITU VYA MBINGUNI NA DUNIANI NA KATIKA NCHI ( ARDHI ) NA KILA ULIMI UMTII YESU KRISTO , BWANA WA MABWANA , SHUJAA WA VITA , MWAMBA WA WOKOVU , NA MWANZO NA MWISHO ( ALPHA AND OMEGA ) . 🔥NINAKEMEA NA KUYAFUNGA NA KUYASETA KUZIMU MAPEPO YOTE YALIYOTUMWA NA SHETANI KUTOKA ANGANI, ARDHINI ,BAHARINI,NA CHINI YA BAHARI .NINAYAAMURU YAFUNGIWE MPAKA SIKU YA HUKUMU YA BWANA ,

RAFIKI MWEMA

⛪ *RAFIKI MWEMA* ⛪ Mwlm.Peter Francis SERHEMU YA PILI 👉🏼Kosea rafiki ufe Rafiki mwema lazima mfanane tabia na vitu mpendavyo 👉🏼 Rafiki mwema lazima mfanane kimisimamo 👉🏼 misimamo ya imani 👉🏼kusimamia kweli 👉🏼Kusimamia utakatifu Musa aliambatana na haruni 🏃‍♂🏃‍♂ 👉🏼 Kwanini Musa aliambatana na haruni ❓ kwasababu walifanana katika eneo la utumishi 👉🏼😀😀 📖🖍 Bwana akanena na Musa na Haruni, akawaagiza wawaendee wana wa Israeli, na Farao, mfalme wa Misri, ili awatoe hao wana wa Israeli katika nchi ya Misri. Kutoka 6:13 👉🏼Musa na Haruni wote walikuwa wanamcha MUNGU na kumpenda 👉🏼 HAO VIJANA WALISHIKAMANA MPAKA WAKATUPWA KWENYE TANURU YA MOTO KWA KUISIMAMIA KWELI YA MUNGU 📖🖍 12 Wako Wayahudi kadha wa kadha uliowaweka juu ya mambo ya wilaya ya Babeli, yaani, Shadraka, na Meshaki, na Abednego; watu hawa, Ee mfalme, hawakukujali wewe; hawaitumikii miungu yako, wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha. Danieli 3

URAFIKI UCHUMBA NA NDOA

Picha
*👫URAFIKI , UCHUMBA NA NDOA* 💍 MWL. Peter Francis Masanja francispeter424@gmail.com 👉🏼Hatua ya kwanza katika mahusiano ni 1⃣ URAFIKI 📖Katika urafiki kila mtu atataka kumfahamu mwenzake 👉🏼Anapenda nini 👉🏼Anachukia nini 👉🏼Hali yake ya kiroho ikoje 🅰 Ameimarika 🅱Hajaimarika 👉🏼Anaishi wapi 👉🏼Ana wazazi 👉🏼Anamchumba 👉🏼 Umri wake 👉🏼 Elimu yake 👉🏼 Anajishughulisha na nini HAYA NI MASWALI YA KUULIZANA KIPINDI CHA URAFIKI 📖Kipindi cha urafiki ndicho kipindi cha kumsoma mwenzako kabla ya kufanya maamuzi ya kumwambia ukweli unampenda na unatamani muingie hatua ya pili ya mahusiano Ambayo ni 👉🏼UCHUMBA 📖Kijana ukiruka hatua ya kwanza ya mahusiano ukakimbilia ya pili utaacha wengi sana 📖Usiharakie kisa umeona sura tu ukaamua kuanzisha uchumba Mfanye rafiki kwanza ili upate nafasi ya kumfahamu zaidi Ukifanya hivyo utapata mke mwema kabisa. 📖 Ukishamfahamu tabia na mwenendo wake sasa unaweza kuingia hatua ya pili ya mahusiano , yaani UCHUMBA

AINA ZA MAOMBI

Picha
AINA ZA MAOMBI            NA                   Mr ZAWADI NGAILO                     Sikonge TABORA   ⇒ Inawezekana si Mara nyingi umesikia habari zinazohusiana na Maombi Umesoma Maandiko mbalimbali yanayohusu Maombi Na umefundishwa masomo mbali mbali kuhusu Maombi Lakini na Leo pia napenda tukumbushane pia kuhusu kipengele hiki Tunapozungumzia habari za Maombi Tunaweza kumanisha vitu vingi na maana tofauti tofauti kulingana na Mazingira tofauti tofauti *Maombi* inaweza kuwa ni  njia ya  ... Msaada wa kusaidiwa .. Muunganiko wa kitu Fulani katika Eneo Fulani . Ninaposema ni njia ya ⇒ Maana yake Maombi yanaweza kutumika kama njia ya kukuunganisha wewe ,Kuinganisha nafsi yako ,Roho yako na Eneo Fulani /Na kitu au MTU Fulani .. Maombi ni njia ya kuunganisha /kutengeneza daraja kati yako wewe na Mungu pia     1 Timotheo 2:1 1 Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike k

KUIJENGA IMANI

Picha
.*📖KUIJENGA IMANI 📖* MWL.Peter Francis Masanja  📖🖍 2 Tukamtuma Timotheo ndugu yetu, mtumishi wa Mungu katika Injili ya Kristo, ili kuwafanya ninyi imara na kuwafariji kwa habari ya imani yenu;  1 Wathesalonike 3 :2 👉🏼kuana wakati haitoshi kukaa peke yako na kuyatafakari maandiko  Hii inakulazimu ujifunze kwa walio juu zaidi yako ili imani yako izidi kukua zaidi  👉🏼Ipo faida kubwa kutaka kujifunza zaidi ili  ukue zaidi kiimani  ZIFUATAZO NI FAIDA AMBAZO LEO NATAKA TUZIONE  📗KUKUZA UWEZO WA KUMTAFAKARI MUNGU  📗KUONGEZA KIWANGO CHA IMANI  📖 Mitume wakamwambia Bwana, Tuongezee imani. Luka 17:5 👉🏼 Kumbuka hili jambo , ili imani ijengeke ndani yako lazima uondoe mashaka ndani yako kwanza  📖 23 Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia mlima huu, Ng'oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake, ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.  Marko 11 :23 24 Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali,

SEMINA YA MAOMBIVQ

Bwana Yesu asifiwe Karibu tujifunze kwa Ufupi kuhusu Somo linaloitwa MAOMBI ..  Inawezekana si Mara nyingi umesikia habari zinazohusiana na Maombi Umesoma Maandiko mbalimbali yanayohusu Maombi Na umefundishwa masomo mbali mbali kuhusu Maombi Lakini na Leo pia napenda tukumbushane pia kuhusu kipengele hiki Tunapozungumzia habari za Maombi Tunaweza kumanisha vitu vingi na maana tofauti tofauti kulingana na Mazingira tofauti tofauti *Maombi* inaweza kuwa ni njia ya ... Msaada wa kusaidiwa .. Muunganiko wa kitu Fulani katika Eneo Fulani . Ninaposema ni njia ya Maana yake Maombi yanaweza kutumika kama njia ya kukuunganisha wewe ,Kuinganisha nafsi yako ,Roho yako na Eneo Fulani /Na kitu au MTU Fulani .. Maombi ni njia ya kuunganisha /kutengeneza daraja kati yako wewe na Mungu pia    *1 Timotheo 2:1 1 Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;* [1/9, 15:40] ‪+255 762 450 772‬: Mtume Paulo anasema Basi (Yatosha ) kabla ya Mambo y