KUUSAFISHA MOYO
๐ KUUSAFISHA MOYO ๐* ๐ป Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi. Zaburi 119:11 ๐ซ Moyo hauwezi ukaliweka neno kama haujausafisha vizuri ๐ป Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili; uchimbueni udongo wa mashamba yenu, kwa maana wakati umewadia wa kumtafuta Bwana, hata atakapokuja na kuwanyeshea haki. Hosea 10:12 ๐ซ Neno la Mungu haliwezi kukaa moyoni mwako likastawi kama kuna magugu yanayozuia lisiote . ๐ซ Moyo ni shamba la kiroho Sasa kama kuna magugu udogo hautakuwa mzuri kwa mbegu kuifanya mizizi ipate nafasi ya kuufanya mmea ukue vizuri . ๐ซ Twende tuyaone haya magugu yanayozuia neno la Mungu lisikae moyoni mwa mtu . ๐ป 19 Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano; Mathayo 15:19 ๐ซ Magugu yanayozuia neno la Mungu lisizae matunda moyoni mwa mtu ni ๐ MAWAZO MABAYA ๐ UUAJI ๐UZINZI ๐ UASHERATI ๐ WIVI ๐ USHUHUDA WA UONGO ๐ MATUKANO ...