Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2018

KUUSAFISHA MOYO

📒 KUUSAFISHA MOYO 📙* 💻 Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi. Zaburi 119:11 💫 Moyo hauwezi ukaliweka neno kama haujausafisha vizuri  💻 Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili; uchimbueni udongo wa mashamba yenu, kwa maana wakati umewadia wa kumtafuta Bwana, hata atakapokuja na kuwanyeshea haki. Hosea 10:12 💫 Neno la Mungu haliwezi kukaa moyoni mwako likastawi kama kuna magugu yanayozuia lisiote . 💫 Moyo ni shamba la kiroho Sasa kama kuna magugu udogo hautakuwa mzuri kwa mbegu kuifanya mizizi ipate nafasi ya kuufanya mmea ukue vizuri . 💫 Twende tuyaone haya magugu yanayozuia neno la Mungu lisikae moyoni mwa mtu . 💻 19 Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano; Mathayo 15:19 💫 Magugu yanayozuia neno la Mungu lisizae matunda moyoni mwa mtu ni 📙 MAWAZO MABAYA 📙 UUAJI 📙UZINZI 📙 UASHERATI 📙 WIVI 📙 USHUHUDA WA UONGO 📙 MATUKANO 📙 W

ROHO YA KUKATAA MAFUNDISHO YA UZIMA

Picha
💫 ROHO YA KUKATAA MAFUNDISHO YA UZIMA  Mwl.Peter Francis Masanja . 0679392829 From : SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💻 Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo. Wakolosai 2:8 💫 Kumezuka upinzani mkubwa sana katika kanisa kati ya wale wanaoitaka kweli na wale wanaotaka kupewa mafundisho ya uongo . 💫 Watumishi wa Mungu tuna kazi kubwa sana tukikemea tumetukana watu wakati umetumia neno baadhi ya Wakristo ni wazinzi halafu ukitaka wakuchukie sema inawezekana na humu wamo 🤣🤣🤣🤣🤣 💫 Kwanini ukasirike kama hufanyi na sijakutaja , au nilikuona 🏃🏻‍♂🏃🏻‍♂🏃🏻‍♂ 💫 Leo hii kanisani mtu akisikia masomo ya kukemea uovu anachukia . Oooh ' Anajifanya mtakatifu Oooh anajifanya ameokoka kuliko Roho Mtakatifu . 🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂🚶🏻‍♂ 💻 9 Kwa maana watu hawa ni watu waasi, watoto w

KULITUNZA KUNDI LA MUNGU LISIPOTEE 💒*

Picha
💫 KULITUNZA KUNDI LA MUNGU LISIPOTEE 💒* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💻 28 Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. Matendo ya Mitume 20:28 29 Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi; Matendo ya Mitume 20:29 30 tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao. Matendo ya Mitume 20:30 💫 Leo kumezuka mapotovu mengi katika kanisa la Mungu . 💫 Watu wa Mungu wanaangamia kwa kufuata mafundisho yapotoshayo . 💫 Kuna makanisa leo yameibuka yaani wanasali ibadani huku wanakunywa pombe. 💫 Kuna baadhi ya makanisa leo yanahubiri kubarikiwa eti watu wapate magari na majumba kuliko kuwaambia watubu maana dhambi imewazingira na kuwaharibu wamekuwa watumwa wa dhambi . 💫 Kanisa

KIJANA IMARISHA UHUSIANO WAKO NA MUNGU UHESHIMIKE 💒*

Picha
💫 KIJANA IMARISHA UHUSIANO WAKO NA MUNGU UHESHIMIKE 💒* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💻 vijana wasio na mawaa, wazuri wa uso, wajuzi wa hekima, werevu kwa sababu ya maarifa yao, wenye kufahamu elimu, watakaoweza kusimama katika jumba la mfalme; tena alimwambia awafundishe elimu ya Wakaldayo, na lugha yao. Danieli 1:4  💫 Ujana wako usikubali uutie madoa  yaani sifa mbaya katika jamii . 💫 Wewe kama kijana hupaswi kabisa kujichafua na kubandikwa majina ya aibu hapa duniani .  💫 Kuwa msafi kila wakati , ujana safi ni kutii na kulifuata neno la Mungu . 💻 Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako. Zaburi 119:9 💫 Nguvu zako kijana zimebebwa na neno la Mungu Bila neno haiwezekani uwe na nguvu za kiroho za kumshinda shetani .  💫 Kijana utaiwa una nguvu pale utakapoliweka neno la Mungu moyoni mwako na kuliganyia kazi . Hapo utamshinda shetani . 💻 ........... Nimewaandikia niny

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA MAOMBI 🛐

Picha
💫 MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA MAOMBI 🛐 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY  💻 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. Waefeso 6:11 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Waefeso 6:12 13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama. Waefeso 6:13 14 Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, Waefeso 6:14 15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani; Waefeso 6:15 16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. Waefeso 6:16 17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu; Waefeso 6:17  💫 Kama askari aendavyo vitani , vivyo hivyo na mtu ai

USIPENDE KUJITENGA NA KUSANYIKO LA BWANA

*USIPENDE KUJITENGA NA KUSANYIKO LA BWANA Pastor Sponga Bahi _Dodoma JESUS CO_WORKERS MINISTRY 1  Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema. Mithali 18 :1 27  Maana wajitengao nawe watapotea; Umewaangamiza wote waliokuacha Wewe. Zaburi 73 :27 28  Nami kumkaribia Mungu ni kwema kwangu; Nimefanya kimbilio kwa Bwana MUNGU, Niyahubiri matendo yako yote. Zaburi 73 :27  24  Lakini mimi nimewaambia ninyi, Mtairithi nchi yao, nami nitawapa ninyi kuimiliki; nchi iliyojaa maziwa na asali; mimi ni Bwana, Mungu wenu, niliyewatenga ninyi na mataifa. Mambo ya Walawi 20 :24 25  Kwa ajili ya hayo mtapambanua kati ya mnyama aliye safi na mnyama aliye najisi, na kati ya ndege aliye tohara na ndege aliye najisi; nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa machukizo kwa njia ya mnyama, au kwa njia ya ndege, au kwa njia ya kitu cho chote ambacho nchi imejaa nacho, niliowatenga nanyi kuwa ni najisi. Mambo ya Walawi 20 :25 2  Basi hawa

USIOE AU KUOLEWA NA ASIYEOKOKA 💒

Picha
💫 USIOE AU KUOLEWA NA ASIYEOKOKA 💒 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY 🔥 Namwomba Mungu hili somo likufikie wewe kijana ambaye hujaoa au hujaolewa bado . ✍🏻 Kuna madhara makubwa kiroho kufunga ndoa na mtu ambaye hajaokoka au ameokoka lakini bado anatambika . ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻 💫 Mtu yeyote aliye kinyume na Kristo huyo hakufai . 💻 15 Usije ukafanya agano na wenyeji wa nchi, watu wakaenda kufanya uzinzi na miungu yao, na kuitolea sadaka miungu yao; mtu mmoja akakuita, ukaila sadaka yake. Kutoka 34:15 ✍🏻 Mungu anaonya juu ya kufunga ndoa na asiyemwamini. 💫 Unapofunga ndoa na mtu asiyeokoka ujue kuna kutiwa roho za kuabudu miungu ya ukoo wa huyo mtu . 💫 Kuna shida kubwa hapa hasa kwa binti zetu wanaoolewa na wasioamini kuwa Yesu Kristo ni Bwana na mwokozi wa maisha yao .  💫 Ukimwuliza binti anasema amempenda atamwokokesha huyo bwana wake matokeo yake akishaolewa anapelekwa vijijini anakutana na matam

JITAHIDI KUINGIA AU KUTUMIA MLANGO HUU/ NJIA HII

SOMO: JITAHIDI KUINGIA AU KUTUMIA MLANGO HUU/ NJIA HII Na : Pastor Peter Sponga JESUS CO_WORKERS MINIMINISTRY 8  Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo. Isaya 35 :8 13  Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Mathayo 7 :13 14  Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. Mathayo 7 :14 7  na yule wa ndani amjibu akisema, Usinitaabishe; mlango umekwisha fungwa, nasi tumelala kitandani mimi na watoto wangu; siwezi kuondoka nikupe? Luka 11 :7 10  Na hao walipokuwa wakienda kununua, bwana arusi akaja, nao waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye arusini; mlango ukafungwa. Mathayo 25 :10 11  Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufun

ALIYE NA ROHO WA MUNGU HUKETISHWA PAMOJA NA WAKUU 💒

Picha
💫 ALIYE NA ROHO WA MUNGU  HUKETISHWA PAMOJA NA WAKUU 💒* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💫 Je unajua kuwa wewe ukiongozwa na roho wa Mungu utawatisha wakuu dunia? 💫 Je , unajua kuwa ukiongozwa na roho wa Mungu unapata kibali ❓  💫 Maisha yako ya wokovu yategemee uongozi wa Roho Mtakatifu . 💻 Mwanzo 41 38 Farao akawaambia watumwa wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye roho ya Mungu ndani yake? 39 Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe. 40 Basi wewe utakuwa juu ya nyumba yangu, na kwa neno lako watu wangu watatawaliwa. Katika kiti cha enzi tu nitakuwa mkuu kuliko wewe. 💫 Mwangalie Yusufu alipata kibali akawa mkuu katika utawala wa Farao. 💫 Unaona hadi farao anashangaa akisema 🎤 Tupate wapi mtu kama huyu , mwenye roho ya Mungu ndani yake ❓ 💫 Alipomwangalia Yusufu aliona ukuu wa Mungu yaani Bwana wa majeshi . 💫 Alishangaa ile ndot

UTAISHIJE NA MCHUMBA WAKO ILI MFIKIE MALENGO YENU 💒*

Picha
💫 UTAISHIJE NA MCHUMBA WAKO ILI MFIKIE MALENGO YENU 💒* SIKU YA SITA Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY Karibu tuendelee ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻  Tujifunze namna ya kuyapalilia  Uchumba wenu usiote magugu 💫 Watu huuliza je nifanyeje ili tusiachane na mchumba Wangu ?  ✍🏻 Sikiliza kwa makini sana tega sikio lako 🤣✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻 💫 Uchumba umeshikiliwa na mawasiliano kati ya wawili wanaopendana . 💫 Wataalamu wa Lugha husema hivi kuna kanuni tatu katika mazungumzo pale mtu anapohitaji ka kumjibu mtu . 💫 Pale mtu unapopokea ujumbe kutoka kwa mtu wako unaweza ukachagua jambo moja kati ya haya matatu . 1⃣ Kujibu hapohapo 2⃣ Kutokujibu 3⃣Kuchelewa kujibu 💫 Katika haya mambo matatu mawili huweza kubomoa mahusiano na kuleta kutokuaminiana 💫 Mambo haya mambo matatu yanapima maswali haya matatu. ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻 1⃣ Je ananithamini ❓ 2⃣ Je ananijali ❓ 3⃣ Je yupo tayari kuni

👫 URAFIKI 💍UCHUMBA na NDOA

Picha
👫 URAFIKI 💍UCHUMBA na NDOA 👪 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY  *💫 KUFANYIKA KUWA MUME MWEMA* 🍷 💫. Ili uwe mume wa kumfurahisha mkewako lazima ujue wajibu wako kabla ya ndoa na ndani ya ndoa pia . ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻 💫 Ipo faida kubwa sana kwa mwanaume kutambua wajibu wake katika Uchumba au ndoa .  💫 Hakuna kitu kizuri kama kuwa mume wa kuigwa katika jamii inayokuzunguka 💫 Sasa tuangalie mambo yanayomfanya mwanaume aitwe mume mwema . 1⃣ Kumpenda mke wake 💫 Jambo la kumpenda mke wako linaanzia kwenye kipindi cha Uchumba . Usisubirie uonyeshe upendo ndani ya ndoa utafeli 💫 Wanaowapenda wake zao na kuishi kwa furaha waliwapendea kwenye urafiki na uchumba kisha kwenye ndoa ni maboresho ya kuupalilia upendo . 💻 25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; Waefeso 5:25 26 ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; Waef

IJUE NGUVU YA KUMSIFU MUNGU KATIKA MAOMBI 🎤🥁

Picha
🎤🎺 IJUE NGUVU YA KUMSIFU MUNGU  KATIKA MAOMBI 🎤🥁 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829  SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💫 Fahamu kwamba unapomsifu Mungu kwa nyimbo unazidi kumfukuza shetani . 💫 Ivi unajua kuwa ukimsifu Mungu mapepo hukimbia ❓ 💫 Mpendwa maombi yako yanategemea kumsifu Mungu maana Mungu anaketi mahali pa sifa .  💻 25 Lakini panapo usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. Matendo ya Mitume 16:25 26 Ghafula pakawa tetemeko kuu la nchi, hata misingi ya gereza ikatikisika, na mara hiyo milango ikafunguka, vifungo vya wote vikalegezwa. Matendo ya Mitume 16:26 27 Yule mlinzi wa gereza akaamka, naye alipoona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, alifuta upanga, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia. Matendo ya Mitume 16:27 28 Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tupo hapa. Matendo ya Mitum

URAFIKI 💍UCHUMBA na NDOA 👪

Picha
👫 URAFIKI 💍UCHUMBA na NDOA 👪 SIKU YA TATU Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829/ 0744056901 SAUTI YA MUNGU MINISTRY  *💫 KUFANYIKA KUWA MKE MWEMA* 👫 💻 Basi, mwanangu, usiogope; mimi nitakufanyia yote uyanenayo; kwa maana mji wote pia wa watu wangu wanakujua ya kwamba u mwanamke mwema. Ruthu 3:11 💫 Kuitwa mke mwema siyo kazi rahisi kama unavyofikiria binti yangu . 💫 Kuitwa mke mwema ni kazi ya Mungu na wazazi . 💫 Wazazi ndyo chanzo kikubwa cha wewe kuitwa mke mwema . 💫 Jinsi walivyokulea ndivyo itakavyokuwa na kwenye ndoa yako binti yangu Hata kama utabadili mfumo wa kuishi bado kunamfumo wa maisha ya wazazi wako utauishi tu . 💫 Ukiona binti yupo vizuri kitabia na anawajibu watu vizuri jua mama yake ni mstaarabu sana . Alimlea malezi ya adabu . 💻 Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee. Mithali 22:6  💫 Malezi ( makuzi ) yako yanaweza kuamua uwe mke mwema au mke jina tu 🏃🏻‍♂🏃🏻‍♂🏃🏻

URAFIKI 💍UCHUMBA na NDOA 👪

Picha
👫URAFIKI 💍UCHUMBA na NDOA 👪 SIKU YA PILI Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY *💫 IMARISHA UCHUMBA AU NDOA YAKO KWA MAWASILIANO MAZURI 💒* 💫 Siyo kwamba huyo uliyenaye ametulia kwako kwasababu ya uzuri wako au haoni wengine wazuri kuliko wewe. 👉🏻 Ametulia kwa sababu unaongea naye vizuri . 👉🏻 Kama utabisha jaribu kuongea naye kwa ukali uone kama atabaki kwako . Nakuhakikishia hatatamani tena kuwa nawewe na kama ndye ni mchumba ataanza kuandaa mazingira ya kukuacha kabisa I'll asije kufunga nawewe ndoa ukampeleka jehanamu . ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻 💫 Unaweza kujiona unamikosi na kwamba umelaaniwa kisa kila mwanaume au mwanamke anaye kuja kwako anakukimbia kumbe uongeaji wako unawafanya wachumba wakukimbie kabisa ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻 💫 Uchumba mwingi unavunjika kwa sababu ya mazungumzo mabaya , ( majibizano ya kiburi ). 💫Embu tuangalie namna unavyotakiwa kuongea na mtu wako ili mfikie malengo yen

👫 URAFIKI💍 UCHUMBA na NDOA👪

Picha
👫 URAFIKI💍 UCHUMBA na NDOA👪*  Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SIKU YA KWANZA SOMO : 💫 KANUNI ZA KUMPATA MWENZI SAHIHI WA MAISHA YAKO 💒 💫 Kijana uliyeokoka na upo ndani ya Yesu sawawa 💪🏻 👉🏻 Tafuta kwanza kujijua wewe jinsi ulivyo 💫 Angalia uhusiano wako na Mungu kisha uulingalishe uhusiano wako na Mungu na yule unayemtarajia . 💻 3 Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana? Amosi 3:3 💫 kama vitu vingi sana umepishana naye ahirisha mkataba wa mahusiano .  💫 Ili uweze kufikia malengo ya urafiki au Uchumba ulionao  usikubali kila mtu awe kampani yako . 💫 Vijana wengi wamejikuta wanapoteza wachumba zao kwa kuwasikiliza watu kuliko kumsikiliza Mungu .  💫 Kaa karibu na watu wanaokaa katika uwepo wa Mungu 💫Usikae na watu ambao wanakaa barazani wataua uchumba wako mapema sana .  💫 Kijana hukuletwa duniani kuchaguliwa nani wa kumuoa , umeletwa duniani kumsikiliza Mungu anataka umuoe nani