Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2018

MAFUNDISHO YA AWALI BAADA YA MTU KUOKOKA.

MAFUNDISHO YA AWALI BAADA YA MTU KUOKOKA. Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Leo nina somo fupi kuhusu watu waliookoka karibuni au watu waliookoka zamani ila hawajui wafanyeje. Kuna watu waliwahi kuniomba niandae somo kuhusu mafundisho ya awali baada ya mtu kuokoka. Hii ni sehemu tu ya Masomo kuhusu kipengele hicho. Hata mimi Katika utumishi wangu kwa KRISTO YESU Mwokozi wangu kuna watu kadhaa niliwaongoza sala ya toba, na wengine walinipigia simu ili niwaongoze sala ya toba maana ndio walikuwa wameamua kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wao. Nilifanya hivyo na MUNGU akajitwalia utukufu. Hakika YESU KRISTO anaokoa wote wanaoamua kumpokea na kumtii kupitia Neno lake, Bwana YESU anasema ''Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. - Yohana 10:28'' Mimi nilipompokea Bwana YESU ilikuwa ni Mwishoni mwa mwaka 2008, Baada tu ya kuokoka nilianza juhudi ya

NGUVU YA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI 🛐*

Picha
 NGUVU YA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI 🛐* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY francispeter424@gmail.com 💻 11 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.  Ufunuo wa Yohana 12:11  💫 Damu ya Yesu inanguvu sana ikitumika wakati wa maombi . 💫Damu ya Yesu inanguvu za kumshinda shetani . 💫 Damu ya Yesu inatakasa ( inafuta makosa ) . 💻 22 Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.  Waebrania 9:22 💫Damu ya Yesu inamnyang'anya shetani umiliki. 💻 9 Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,  Ufunuo wa Yohana 5:9 10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.  Ufunuo wa Yohana 5:10 💫 Damu ya Yesu i

TAFAKARI YA LEO

Picha
TAFAKARI YA ASBHI 30 April 2018 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 SAUTI YA MUNGU MINISTRY 💫 JINA LA BWANA LINAKUFANYA UWE IMARA KIROHO NA KIMWILI 💫* 💻 1 Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele. Zaburi 125:1 💫 Mungu anasema wewe umtumikiaye hutatikisika , hutaona hofu ya adui .  💫 Atakufanya imara , atakutia nguvu na uwezo mkubwa . 💫 Atakufanya kichwa na siyo mkia tena . 💫Ameahidi atakubariki mjini na mashambani . 3 Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani. Kumbukumbu la Torati 28:3 💫 Amekuahidi atawatawanya adui zako wanaokufuatia . 7 Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba. Kumbukumbu la Torati 28:7 💫Anasema yeye ni adui wa adui zako . 💫Anasema kwamba wewe ni silaha yake ya vita 💫Anasema kwa wewe atavunjavunja falme na majeshi ya shetani . 💫Kwa wewe atafukuza wachawi na waganga . 💻 20

YUPO MUNGU , ADUI WA ADUI ZAKO ATAKUTETEA 💫*

Picha
*💫YUPO MUNGU , ADUI WA ADUI ZAKO ATAKUTETEA 💫* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 The Voice of God Ministry 💫Ijapokuwa adui ni wengi wamekukatisha tamaa katika maisha yako , usifadhaike wala usiogope maana yupo Mungu atawaondoa hao wanaokutisha. 💻 22 Lakini ukiisikiza sauti yake kweli, na kuyatenda yote ninenayo mimi; ndipo mimi nitakuwa ni adui wa adui zako, na mtesi wa hao wakutesao. Kutoka 23:22 23 Kwa kuwa malaika wangu atatangulia mbele yako, na kukufikisha kwenye Mwamori, na Mhiti, na Mperizi, na Mkanaani, na Mhivi, na Myebusi; nami nitawakatilia mbali. Kutoka 23:23 💫Ijapokuwa hao adui ni wengi sana wewe msikilize Mungu akupe maelekezo ya kuwatawanya mbele zako . 💫 Inawezekana wamekutia katika magereza ya dhambi , magereza ya umaskini , magereza ya magonjwa , n.k BWANA atauyonsha mkono wake kupitia malaika wake naye atakutoa huko . 💻 4 Alipokwisha kumkamata, akamweka gerezani akamtia mikononi mwa vikosi vinne vya askari wanne wanne, wam

URAFIKI , UCHUMBA NA NDOA

Picha
*🌐 URAFIKI , UCHUMBA NA NDOA 💫* Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 The Voice of God Ministry https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sauti.ya.mungu.ministry *💫MAHUSIANO NI UGOJWA WA KIMWILI NA KIROHO* 💫 💫Ni jambo la kushangaza kumwona mtu anamsahau Mungu kisa simu yake haijapokelewa na mchumba wake . 💫Unanuna siku nzima yanini kununa ❓ ➡Huwezi kushindana na mwanadamu mwenye kinywa . 💻 Hata Danielii, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kukabili Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo . Danieli 6:10 💫Mahusiano yasikufanye uhame njia uelekee njia ya mauti . 💫Presha za nini ❓ 💫 Hasira za nini ❓ 💫 Mashaka ya nini ❓ 💫Unatakiwa ujue kuwa mbinguni hawaoi wala kuolewa . 💻 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika waliok

EPUKA ROHO YA MAJIVUNO NA KUJIINUA* 💫

Picha
💫 TAFAKARI YA LEO:     💫Mwl.Wilson Masaba & Peter Francis Masanja The Voice of God Ministry Somo :  *💫 EPUKA ROHO YA MAJIVUNO NA KUJIINUA* 💫 💫Hakuna kitu kibaya kama kujiinua na kuwaona wengine hawafai . 💫. Epuka kiburi cha uzima 💫Usitumie mali yako kunyanyasa wenzako . Bali itumie hiyo mali kuwasaidia waliao na shida zao ili Mungu akuinue zaidi . 💫Usitumie nguvu ulizonazo kunyanyasa wenzako bali zitumie hizo nguvu kuwatetea wanyonge .  Mithali 16:1  Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu;   Bali jawabu la ulimi hutoka kwa BWANA.  5 kila mwenye moyo wa kiburi ni chukizo kwa BWANA; Hakika, hatokosa adhabu.  mtu  wa Mungu endelea tu kusubri majibu yako  kwa BWANA, na wewe unayejivunia pesa zako kuwanyanyasia wanyonge subiri pia.  kama hutaki kubadilika nakuiendea njia iliyo sahihi kiburi  cha uzima chakujiona uko juu yawengine kitakuangamiza,  Bwana aiguse mipango yako. https://peterfrancismasanja.blogspot.com

KANUNI ZA KUPOKEA

*🌐TAFAKARI YA LEO 💫* Tarehe 27 April 2018 Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 The Voice of God Ministry  *💫KANUNI TATU ANAZOTUMIA MUNGU KUKUJIBU MAOMBI YAKO 💫* 1⃣ Matendo mema 2⃣ Sala ( maombi ) 3⃣ Sadaka.  💻 1 Palikuwa na mtu Kaisaria, jina lake Kornelio, akida wa kikosi kilichoitwa Kiitalia, Matendo ya Mitume 10 :1 2 mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Mungu daima. Matendo ya Mitume 10 :2 3 Akaona katika maono waziwazi, kama saa tisa ya mchana, malaika wa Mungu, akimjia na kumwambia, Kornelio! Matendo ya Mitume 10 :3 4 Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu. Matendo ya Mitume 10 :4  💫Mwangalie Konerio kama mfano wa kuiga kwako .  💫Matendo yake mema , maombi yake na sadaka yake ilimfanya Mungu asikie kuomba kwake .  💫Hivyo basi na sisi yatupasa tumtukuze Mun

TAFAKARI YA LEO

Picha
*💫TAFAKARI YA LEO 💫* 26 April 2018. Mwl.Peter Francis Masanja The Voice of God Ministry 067392829 Somo : *UKISIMAMA MBELE ZA ADUI KWA JINA LA BWANA ADUI UTAWATIA HOFU* 🔥 💻 1 Ikawa, wafalme wa Waamori, waliokaa ng'ambo ya Yordani pande za magharibi, na wafalme wote wa Wakanaani, waliokuwa karibu na bahari, waliposikia jinsi Bwana alivyoyakausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli, hata tulipokwisha kuvuka, basi mioyo yao iliyeyuka, wala haikuwamo roho ya nguvu ndani yao tena; kwa ajili ya wana wa Israeli. Yoshua 5 :1 Bwana Yesu asifiwe sana . 💫Leo nataka tutafakari jinsi Mungu anavyowatia hofu adui zako ukimtegemea yeye  katika safari ya maisha yako . 💫 Inawezekana ulitiwa hofu na adui zako siku nyingi sana katika maisha yako ya wokovu . 💫 Inawezekana adui walikuandama kwa kukuletea mashambulizi makali ya ndoto lakini mtegemee Mungu aliyekausha mto Yordani mbele ya Israeli. 💫 Adui yako ataona ishara na maajabu ambayo Mungu anakutend

TAFAKARI YA LEO

TAFAKARI YA LEO:        💻Zaburi 20:7 Hawa wanataja magari na hawa farasi, Bali sisi tutalitaja juna la BWANA, Mungu wetu.  Mt wa Mungu niasubuhi nyingine tena ambayo Bwana amefanya lakn chaajabu watu wanajivunia magari yao, nyumba zao, watoto wao , fahari waliyonayo bila kujua vyote hivyo ni mali ya BWANA, wamekuwa sumu kwa maisha ya wenzao kuwainulia makwazo kutokana na jeuri ya miliki yao , wewe mtu wa Mungu usitishwe nahayo uzima ulionao peke yake ni fahari tosha endelea kumwamini Mungu wako kama hajafanya atafanya, uamkapo mshukru Mungu kwanza maana yeye ndiye aliyekuamsha ktk wachache walioamka , nikutakie siku  njema na Bwana akutendee yaliyo mema.

TAFAKARI YA LEO

Picha
_🌐TAFAKARI YA LEO 🌐_ Mwl.Peter Francis Masanja 0679392829 The Voice of God Ministry Somo: 💫 MATENDO YAKO MEMA YANAMFANYA MUNGU AKUOKOE SIKU YA DHIKI 💫 💻 36 Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yafa, jina lake Tabitha, tafsiri yake ni Dorkasi (yaani paa); mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.  Matendo ya Mitume 9 :36 37 Ikawa siku zile akaugua, akafa; hata walipokwisha kumwosha, wakamweka orofani.  Matendo ya Mitume 9 :37 38 Na kwa kuwa mji wa Lida ulikuwa karibu na Yafa, nao wanafunzi wamesikia ya kwamba Petro yuko huko, wakatuma watu wawili kwake, kumsihi na kusema, Usikawie kuja kwetu.  Matendo ya Mitume 9 :38 39 Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika, wakampeleka juu orofani wajane wote wakasimama karibu naye, wakilia na kumwonyesha zile kanzu na nguo alizozishona Dorkasi wakati ule alipokuwa pamoja nao.  Matendo ya Mitume 9 :39 40 Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Ta

SHOCKING NEWS

NI HUKO AFRIKA YA KUSIN MCHUNGAJI WA KANISA LA KIPENTEKOSTE AMESEMA KUWA NI RAHISI KUFANYA NGONO NA WASICHANA WANAOKWENDA KANISANI KULIKO AMBAO HAWAENDI KANISANI. Mchungaji wa Kanisa la Kipentekoste huko Afrika Kusini amesema kuwa ni rahisi sana kwa mhubiri kufanya ngono na wasichana wanaokwenda kanisani kuliko ambao hawaendi kanisani. Mchungaji Benard Pumalaka amesema hayo Jumatano moja huko Afrika kusini  baada ya kuokoka. Amesema kuwa wengi wanaojiita "Manabii" ni maarufu kwa ngono na wasichana na wake za watu. Bernard alisema "kabla sijawa mchungaji wa Pentekoste, nilikuwa nimelala na watu wawili tu-mke wangu, na mwanamke mwingine mmoja tu. Lakini nilipopata uchungaji nimelala na wanawake zaidi ya 200 ktk miaka kumi! Na nimepata utajiri mkubwa kwa kuwadanganya waumini wangu. Nimejipatia fedha nyingi,magari na nyumba kwa kuwahadaa waumini wangu.Hakika sikuwa na Yesu ndani mwangu." Mchungaji huyu aliyeokoka aliendelea kusema " Nawaeleza kuwa n

KIPIMO CHA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA SITA)

*💥🌍PART SIX🌍💥* _✍21 TYPES OF PASTORS/ MINISTERS_ *🍋Ev. Dr. Jonas Michael* 🍋Phone: +255755931662 🍋Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com *💊GROUP 6💊* *📚6. OCCULTIC PASTORS*  📞Revelation 2:20,24:  📞Revelation 3:9 *Description:*(Maelezo)  *✍These are the people who have no business being in the ministry, but they are there all the same.* _🎯Hawa ni watumishi ambao shida yao kubwa siyo kuwa kwenye huduma wao huwepo kwenye huduma kwa nia tofauti kabisaa_ *✍Some are former occult practitioners* _🎯Wengine walikuwa waganga wa kienyeji wa zamani_ _🎯Wengine walikuwa ni wale Wafanya mazingayombwe wa zamani_ *✍Who claim to be born-again, while *others are herbalists and magicians* _🎯Kwa sasa wanakiri kuwa wameokoka lakini bado ni Waganga na wanaendelea na mambo yao ya kichawi na kimazingayombwe_ *✍Who decide to hood-wink people by modernizing as Pastors.* _🎯Wameamua kuvaa vazi la kichungaji ili kuwadanganya watu na kujifanya ni wachungaji wa kisasa

TAFAKARI YA LEO* 🛐

Picha
💒 *TAFAKARI YA LEO* 🛐 💫Mwl.Peter Francis Masanja . 0679392829 francispeter424@gmail.com 💒The Voice of God Ministry 🛐 💻 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata. Isaya 48 :17 Somo :  🌐 * KUTEMBEA KATIKA UONGOZI WA BWANA* 🌐 💫 Bwana Yesu asifiwe . Karibu katika tafakari ya asbhi ya leo . 💫Kulingana na maandiko matakatifu katika ISAYA 48:17 💻 17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata. Isaya 48 :17 💫 Tunajifunza mambo makuu matano ambayo anayasema juu ya maisha yetu kuhusu kutembea katika njia 👉🏻 Nakukumbusha tena wazo kuu katika tafakari ya leo ni kutembea katika uongozi wa Bwana Mungu . 🌐 Ili tutembee katika uongozi wa BWANA lazima tujue mambo matano yafuatayo : 1⃣ Mungu ni mkombozi w

UJINGA UNAOWAFUNGIA MABINTI WAPOTEZE SIFA ZA KUOLEWA

Picha
UJINGA UNAOWAFUNGIA MABINTI WAPOTEZE SIFA ZA KUOLEWA 💫*  _👉🏻THE IGNORANCE THAT CHAINS GIRLS TO BE UNMARRIED_ 💫 Mwl. Peter Francis Masanja . 0679392829 The Voice of God Ministry . 💫The devil is using the girls to overthrow the God's plans concerning with marriage . 👉🏻Shetani anawatumia wanawake kuzuia mpango wa Mungu kuhusu ndoa. 💫 Lucifer have planted the of spirit  wickedness to most of Christian girls and thus they are not walking in the light but their deeds are attached in the darkness. Shetani amepandikiza roho ya uasi ndani ya binti za kikristo , wanatembea gizani wakiiache njia ambayo Mungu anataka waiendee. 😘😘: Nitachambua Kuanzia Kwenye eneo LA 1⃣ Kipato 👉🏻 shetani katia roho gani kwa wasichana kuhusu kipato ❓ 2⃣ Elimu 👉🏻 Shetani kapandikiza roho gani kwa wasichana kwenye eneo la elimu 3⃣ Imani 👉🏻Shetani kapandikiza roho gani kwa mabinti kuhusu imani .  😘😘: 1⃣ Katika eneo la kipato ( uchumi ) 👉 Shetani a

TAFAKARI YA LEO ( ASBH )

*🛐TAFAKARI YA LEO* 💒 MATENDO YA MITUME 8 MWL.Peter Francis Masanja 0679392829 The Voice God Ministry 1⃣ Tunamwona Stefano wanamzika baada ya kuuawa kwa kupigwa mawe kwa sababu ya kutangaza habari za Yesu . 2⃣ Tunamwona Filipo anahupiri injili ya Yesu na kufanya ishara na miujiza na watu wanamwamini na kubatizwa . 3⃣ Tunamwona Simoni mchawi naye anaamini na kubatizwa 💻 12 Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri habari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake. Matendo ya Mitume 8 :12 13 Na yeye Simoni mwenyewe aliamini akabatizwa, akashikamana na Filipo; akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka. Matendo ya Mitume 8 :13 👉🏻Kwahiyo kubatizwa kunaanza na kuamini kwanza . 4⃣ Tunawaona mitume wengine wamekuja Samaria kuwawekea mikono walioamini na kubatizwa wampokee roho Mtakatifu. 💻 14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, waka

KIPIMAJOTO KWA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA TANO )

*💥🌍PART FIVE🌍💥* _✍21 TYPES OF PASTORS/ MINISTERS_ *🍋Ev. Dr. Jonas Michael* 🍋Phone: +255755931662 🍋Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com *💊GROUP 5💊* *📚5. POLITICAL PASTORS* _✍WACHUNGAJI WA KISIASA_ 🎉Jeremiah 10:21; 🎉Jeremiah 23:11; 🎉 Micah 3:11 *Description:* (Maelezo) *🎯They were once Servants of the Lord, but are now backslidden.* _✍Mwanzoni walikuwa watumishi wazuri wa Bwana Yesu lakini sasa wamesharudi nyuma_ *🎯At the beginning they valued Fasting and prayers but now after success they are no longer praying* _✍Hawa mwanzoni walikuwa wanaheshinu sana maombi na kufunga ila sasa hawaombi tena_ *🎯These Pastors they started as people of mountains to seek the face of God but now they no longer seeking the face of God after being surrounded with wealth* _✍Watumishi hawa walianza kama wazamia Milimani kwenye maombi lakini sasa wameacha baada ya utajiri_ *🎯In the past they were people of Overnight and Vigilant but now very busy with files* _

UWEZA ULIOPO KATIKA DAMU YA YESU

*📕 WHAT THE BLOOD OF JESUS CHRIST CAN DO FOR YOU * _💊Kile Damu ya Yesu yaweza kufanya juu ya maisha yako_ 📞Dr. Rev. Jonas Michael 📞Phone: +255755931662 📞Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com *📍1⃣  Jesus' Blood gives us Authority* _📌Damu ya Yesu inatupa sisi mamlaka_ *📚1 John 5:6-8,11* *📚 Rev: 19:13* *📍2⃣  Jesus' blood gives us confidence and assurance* _📌Damu ya Yesu inatupa ujasiri Na uhakika katika Bwana_ *📚Hebr 10:19* *📚Hebr 12:24* *📍3⃣ Jesus' blood  reconciles us with Our Father* _📌Damu ya Yesu imetupatanisha Na Babá_ *📚 Eph 2:13* *📚 Col  1:20* *📍4⃣  Jesus' blood justifies us against our accusers* _📌Damu ya Yesu inatupa haki dhidi ya washitaki wetu_ *📚 Rom 5:8-10* *📚 Rev. 12:10-11* *📍5⃣ Jesus' blood gives us life* _📌Damu ya Yesu inatupa Uhai_ *📚John 6:53-56* *📚 1 Cor 10:16* *📍6⃣  Jesus' blood redeems us from slavery of Sin* _📌Damu ya Yesu inatukomboa sisi kutoka katika utumwa wa dhambi_ *📚

THAMANI YA UJANA WAKO 🌐

Picha
*🌐 THAMA THAMANI YA UJANA WAKO 🌐 SEHEMU YA KWANZA Mwl. Peter Francis Masanja francispeter424@gmail.com 067392829 💫The Vioce of God Ministry 💫 UTANGULIZI . 💻 Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi. 1 Timotheo 4:12 💫Bwana Yesu asifiwe , 👉🏻 Karibu katika somo hili namwomba Mungu.afungue macho yako ya kiroho na masikio yako ya kiroho ili uweze kwenda pamoja nami katika somo hili . .. Mungu afungue moyo wako upate kupokea kile ambacho Mungu amekusudia ukipokee ili upige viwango vya juu sana kupitia jina la Yesu .Amen 💫Ujana ni nini ❓ 👉🏻 Ujana ni kipindi ambacho mtu anakuwa na umri kati ya miaka 18 mpaka 45 .. 👉🏻Kipindi hiki ni cha thamani sana katika maisha ya MTU. 👉🏻 kwanini hiki kipindi ni cha thamani ❓ ➡ Ni kwasababu mtu katika kipindi hiki anatakiwa asikichezee na kukiacha kipite bila kufanikiwa kiroho na kimwili. ➡ Katika kipindi hiki ki

KIPIMO CHA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA NNE)

*🌍PART FOUR 4🌍* _✍21 TYPES OF PASTORS/MINISTERS_ 📞Ev. Dr. Jonas Michael 📞Phone: +255755931662 📞Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com *💊GROUP NO. 4* *4. YESTERDAY’S PASTORS* _✍WACHUNGAJI WENYE MTAZAMO WA JANA_ *Description:* (MAELEZO) ✍They are called by the Lord, but *they are not in tune with the moves of God today.* _⏲Wameitwa na Mungu lakini hawaendani na Kasi ya Mungu ya kipindi hiki_ *✍They are holy, godly and righteous  but they are trapped in *yesterday’s ways* because they are ultra-conservative. _⏲Ni watakatifu na wenye haki kabisa lakini wametawaliwa na mambo ya jana au kipindi kilichopita na ni watu wasiopenda mabadiliko_ *✍They want to use the Old ways of evangelizing* _📞Hutumia njia za kizamani katika kushuhudia injili_ *✍They spend only on their *one gift* *to lead the Church* _📞Hutumia Karama moja au huduma moja kuliongoza kanisa_ *✍They detest learning and change.* _📞Hawataki kujifunza na kubadilika_ *Basic Motive:* _🏹Msuk

KIPIMAJOTO CHA WATUMISHI WA LEO ( SEHEMU YA TATU )

*🌍PART THREE🌍* _💥SEHEMU YA TATU💥_ *✍21 TYPES OF PASTORS/MINISTERS* 🎉By Ev. Dr. Jonas Michael 🎉Phone: +255755931662 🎉Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com *💊GROUP NUMBER 3* *📚3. VOCATIONAL Or TOURIST PASTORS* _🏹Wachungaji wa KUTALII_ ✍(Ezekiel 34:2, 3) *Description:*(MAELEZO)  ✍They are in the ministry, *not as a result of God’s call, but by the call of men.* _🔨Wako kwenye huduma  siyo kwasababu ya WITO WA KIMUNGU bali ni Wito wa wanadamu_  *✍They see pastoring as a hobby.* _🎉Huona kama huduma ya kichungaji ni Fani ya kupenda_ *✍They don't have the real call of God* _🔨Hawana wito sahihi wakimungu_  *✍They love the honour and respect being given to Pastors.* _🎉Wanapenda masifa na heshima zile ambazo wachungaji huwa wanapewa_ *✍They entered into pastoral ministry basing on their Tribal* _🎉Wameingia kwenye huduma kupitia kujuana KIKABILA_ *✍Wealth was used to make them pastors* _🎉Utajiri ulitumika kuwafanya kuwa wachungaji_ *✍

KIPIMAJOTO KWA WATUMISHI ( SEHEMU YA PILI )

*💊Inaendelea toka Part one* *📚21 Types of Pastors/ministers*         *💊Group 2* *2. IMMORAL PASTOR* _🎯WACHUNGAJI WAZINZI_  🏹(2 Timothy 4:3, 4; 🏹Jeremiah 6:13) *Description:* (MAELEZO) *🌍Worldly,* _📞Wamejaa udunia_ *🌍Carnal,* _📞Wamejaa mambo ya mwili_ *🌍Ungodly Pastors* _📞Hawana tabia za Kimungu_ *🌍Worldliness words* _📞Wamajeaa maneno ya kidunia_ *🌍They encourage women to wear prostitute  dresses* _📞Wanawatia moyo wanawake kuvaa mavazi ya kikahaba_  *🌍Who watered down the gospel to please people.* _📞Hawa wanatia Injili maji ili kuwapendezesha watu_ *🌍They don't care about outside appearance 🧜‍♀💃💃💃💃💃💃* _📞Hawajali mwonekano wa Injili wa mtu_ *🌍They dress anyhow and they allow anything in the Church.* _📞💃Wanavaa vyovyote vile na wanaruhusu kila kitu kanisani_ *🌍They are immoral and sex-maniac who take advantage of people.* _📞Ni wazinzi waliojaa maswala ya uasherati na kuwabebesha watu mizigo_ *🌍They kiss women w

KIPIMA JOTO CHA WATUMISHI WA LEO🇦🇽*

*🇦🇽KIPIMA JOTO CHA WATUMISHI WA LEO🇦🇽* 💊Delivared by Ev. Dr. Jonas Michael 💊Email: mwinjilistjonasmichael@gmail.com _👺LIMEJAA SURA KADHAA ZA WATUMISHI TULIONAO KATIKA KANISA LA LEO_ *👺Different faces of ministers in the Church* ❓⁉❓⁉❓⁉❓⁉❓⁉ *🕹WHICH FACE ARE YOU?* _🤡👺WEWE NI SURA GANI?_ *THEME.  21 KINDS OF PASTORS IN THE CHURCH* _📚AINA 21 ZA WACHUNGAJI KATIKA KANISA_ *📚The term Pastor in this article it stand for all FIVE PILLARS OF THE CHURCH* _🇦🇽 Jina Mchungaji katika Ujumbe huu unawakilisha   HUDUMA ZOTE TANO ZA KANISA_ *✍1. Apostles* (Mitume) *✍2. Prophets* (Manabii) *✍3. Evangelists* (Wainjilist) *✍4. Pastors* Wachungaji *✍5. Teachers* (Waalimu) *✍I have come to discover 21 kinds of Pastors that are visible in the Church today.* _🎉Nimekuja kugundua kuwa kuna aina 21 ya Sura au makundi ya Wachungaji wanaoonekana ndani ya kanisa la leo_  *These twenty one represent majority of Pastors leading Churches today.* _📚Aina hiz

GIZA LINALOZUIA BARAKA ZA MUNGU KUKUFIKIA 🌐

Picha
🌐GIZA LINALOZUIA BARAKA ZA MUNGU KUKUFIKIA 🌐 SIKU YA SABA Mwl. Peter Francis Masanja 0679392829 The Voice of God Ministry 💻 9 Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?  Mwanzo 4 :9 10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.  Mwanzo 4 :10 11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako;  Mwanzo 4 :11 12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.  Mwanzo 4 :12 Bwana Yesu apewe sifa. 💫 Kumekuwa na mambo mengi yanayomfanya mtu asifikie maisha ambayo Mungu anataka aishi . 💫 Katika siku ya kwanza mpaka ya sita tumejifunza mambo mengi ambayo yamekuwa ni giza linalomzuia mtu asione baraka za Mungu . 💫 Katika siku hii ya saba na ya kuhitimisha somo hili tutaangalia jambo lingine linalomzuia mtu asione baraka za Mungu .  _🌐 UMW